Da'Vinci
JF-Expert Member
- Dec 1, 2016
- 35,812
- 107,628
It's doneOkay,
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
It's doneOkay,
Thank youIt's done
Leo maeneo gani?Wakuu zoezi bado linaendelea
Kipindi cha Yesu na miujiza yake wale vichwa vizito kuamini walisema Yesu anatumia nguvu za giza, unalijua ilo?HAO HAO NDIO WANAOWACHANJA CHALE MANABII MIKONONI ILI NABII AKIKUSHIKA KAMA UNA PEPO UNADONDOKA CHINI, The intelegency game for stupid.
Na hapo hapo walijiuliza na kujipa majibu iweje pepo mchafu akamtoa pepo mchafu mwenzieKipindi cha Yesu na miujiza yake wale vichwa vizito kuamini walisema Yesu anatumia nguvu za giza, unalijua ilo?
Na hapo hapo walijiuliza na kujipa majibu iweje pepo mchafu akamtoa pepo mchafu mwenzie
Sent from my HUAWEI KII-L22 using JamiiForums mobile app
Uvivu wakusoma NENO wanataka kutafuniwa tu.Hawa wa sasa hivi wazito kujiuliza
It was international competitive biddingNapinga vikali hao ma contractor kutoka nchi zingine kwani hapa hatuna wataalam wetu waliobobea kwenye hio fani [emoji3302][emoji3430]hii tenda ingefanywa na wazawa kwani wapo wakufunzi waliobobea wengi tuh hapa
Sadism... Pia kwenye jamii zetu sio uchawi tu kuna wengine wakisababisha madhara kwa wengine ndio wanapata amani na furaha... Kiingereza wanawaita sadistswachawi bana.hivi akimlaza mtu kwenye mwembe anafaidika nini..?
Tupo pia busy kutafuta nguo wananchi walizovaa mitaani.Wakati India juzi wamefika mwezini, sisi tupo bize na mambo ya uchawi na uganga! Katika ubora wetu