Kama wewe ni mchawi usije Kigoma kipindi hiki, Kuna operesheni kubwa sana inaendelea

Kama wewe ni mchawi usije Kigoma kipindi hiki, Kuna operesheni kubwa sana inaendelea

Ulaya waliendelea baada ya kuwaua wachawi wote.
Africa ifanye hivyo,hata vitabu vyote vya Dini vinatoa ruhusa wachawi kuuwawa
Yani upate maendeleo kwa kuuwa tu wachawi? Sidhani kama uchawi ndio kikwazo cha maendeleo, tukitoka kuuwa wachawi tutaanza kuuwa mashabiki wa simba na yanga.
 
Huo mchezo Wala hakuna mwenye ujuzi wa mambo hayo, kinachofanyika ni kusingizia wazee wa watu. Usiku wanapita kuchimba irizi na madude kwenye nyumba za watu, halafu asubuhi wanapita wakijifanya wanakimbiza vitu visivyoonekana wanaenda kuishia kwenye mashimo waliyochimba usiku na kufukia vitu vyao. Basi wakifukua na kutoa irizi raia wanashangilia kumbe wamepigwa na wazee wa watu kupewa shutuma za uongo.
Halafu baada ya hapo zile za sababu za kuwaondoa hao wachawi(athari za uchawi) zinaendelea kuwepo?
 
Safi sanaaa wakandarasi roka DRC & NIJA, Wachawi washenzi sanaa! Wanasumbua
HAO HAO NDIO WANAOWACHANJA CHALE MANABII MIKONONI ILI NABII AKIKUSHIKA KAMA UNA PEPO UNADONDOKA CHINI, The intelegency game for stupid.
 
Niko Kigoma mida hii, ni noma Sana mkoa umekuwa wa Moto balaa, wachawi wanalia Kama watoto wadogo wanatamani Hadi kufa lakini wapi.

Baada ya tabia za ovyo za kichawi kuzidi, ilibidi wananchi watoe 'contract' kwa magwiji kutoka Congo na Nigeria Kuja kushugulika nao.

Mchakato wa kuwapata hao wataalamu umefuata kanuni zote za manunuzi ya umma, mchakato ni Kama ule wa DP World sema huu Hauna mazingira ya rushwa, baada ya mchakato wa zabuni Wacongo na Wanigeria walishinda.

Kabla ya kuanza kazi makotrankta huwa wanaingia Kijiji husika kimyakimya wanapita kwenye mipaka ya Kijiji na kuweka kufuli (hamna mchawi hatakayeweza kutoroka Wala kupitisha silaha zake wakati zoezi likiendelea.

Baadae makotrankta uingia ndani ya Kijiji kuanza kazi rasmi.
Kuna vitu vya ajabu zimetolewa kwenye majumba ya watu sio poa.
Wachawi wa Kigoma wanajua mpaka wanajua tena, yaani ni Kama wachezaji wa World Cup sema ndio hivyo tena na hawa makontrakta Ni Kama marefa wa Uefa, wanaona hata bila VAR. Ukileta kontrakta levo za RAMADHAN Kayoko anabadilishwa kuwa nyau fasta.

Nitaendelea kuwaletea update baadae kidogo wakuu

Napinga vikali hao ma contractor kutoka nchi zingine kwani hapa hatuna wataalam wetu waliobobea kwenye hio fani [emoji3302][emoji3430]hii tenda ingefanywa na wazawa kwani wapo wakufunzi waliobobea wengi tuh hapa
 
Tunavyuo vikuu vingi hapa tz vinatoa ma engineer [emoji3302][emoji3430] kila mwaka
Chuo kikuu cha sumbawanga au tanga hakijawai toa ma engineer vilaza [emoji3362]
 
sasa hawa wachawi wakiwamaliza wote hlf usalama wa nchi unakuwaje au hao wachawi hawalindi nchi? maana hata hao waganga ni wanga vile vile wasijekuwamaliza hlf wao ndo wakawa wanaingia na kutoka km shamba la bibi
 
Niko Kigoma mida hii, ni noma Sana mkoa umekuwa wa Moto balaa, wachawi wanalia Kama watoto wadogo wanatamani Hadi kufa lakini wapi.

Baada ya tabia za ovyo za kichawi kuzidi, ilibidi wananchi watoe 'contract' kwa magwiji kutoka Congo na Nigeria Kuja kushugulika nao.

Mchakato wa kuwapata hao wataalamu umefuata kanuni zote za manunuzi ya umma, mchakato ni Kama ule wa DP World sema huu Hauna mazingira ya rushwa, baada ya mchakato wa zabuni Wacongo na Wanigeria walishinda.

Kabla ya kuanza kazi makotrankta huwa wanaingia Kijiji husika kimyakimya wanapita kwenye mipaka ya Kijiji na kuweka kufuli (hamna mchawi hatakayeweza kutoroka Wala kupitisha silaha zake wakati zoezi likiendelea.

Baadae makotrankta uingia ndani ya Kijiji kuanza kazi rasmi.
Kuna vitu vya ajabu zimetolewa kwenye majumba ya watu sio poa.
Wachawi wa Kigoma wanajua mpaka wanajua tena, yaani ni Kama wachezaji wa World Cup sema ndio hivyo tena na hawa makontrakta Ni Kama marefa wa Uefa, wanaona hata bila VAR. Ukileta kontrakta levo za RAMADHAN Kayoko anabadilishwa kuwa nyau fasta.

Nitaendelea kuwaletea update baadae kidogo wakuu
Zamani kuna kijiji waliita mganga toka Malawi ili aondoe uchawi. Wachawi wwengi kwenye kile kijiji walikamatwa na kutolewa uchawi. Cha ajabu baada ya mganga kurudi kwao Malawi, uchawi uliendelea kwenye kile kijiji 😀😀😀
 
Yani upate maendeleo kwa kuuwa tu wachawi? Sidhani kama uchawi ndio kikwazo cha maendeleo, tukitoka kuuwa wachawi tutaanza kuuwa mashabiki wa simba na yanga.
Uchawi unadumaza fikra,we uoni watu wanapotoshana huwezi fanikiwa bila dawa huu si upumbavu wa fikra chanzo ni wachawi.
Hata maandiko usema wachawi wauwawe
 
Uchawi unadumaza fikra,we uoni watu wanapotoshana huwezi fanikiwa bila dawa huu si upumbavu wa fikra chanzo ni wachawi.
Hata maandiko usema wachawi wauwawe
Sasa hilo suala lina athari kiasi gani? Nachojua pamoja na hizo imani za kichawi ila bado watu wanafanya kazi kwa bidii.
 
Sasa hilo suala lina athari kiasi gani? Nachojua pamoja na hizo imani za kichawi ila bado watu wanafanya kazi kwa bidii.
Ndio lakini wanafeli kwa kuweka nguvu zao za Imani kwenye ushirikina badala ya ukuzaji maarifa
 
Kweli, huwezi kuondoa giza kwa kutumia gizà yaani uchawi kwa uchawi.
Ukitaka kuondoa gizà lete nuru (Yesu), giza (uchawi) lazima liondoke.
giza na mwanga vyote vimeumbwa na Mungu ....ishu ni nia...........
 
Back
Top Bottom