Yani upate maendeleo kwa kuuwa tu wachawi? Sidhani kama uchawi ndio kikwazo cha maendeleo, tukitoka kuuwa wachawi tutaanza kuuwa mashabiki wa simba na yanga.Ulaya waliendelea baada ya kuwaua wachawi wote.
Africa ifanye hivyo,hata vitabu vyote vya Dini vinatoa ruhusa wachawi kuuwawa
Halafu baada ya hapo zile za sababu za kuwaondoa hao wachawi(athari za uchawi) zinaendelea kuwepo?Huo mchezo Wala hakuna mwenye ujuzi wa mambo hayo, kinachofanyika ni kusingizia wazee wa watu. Usiku wanapita kuchimba irizi na madude kwenye nyumba za watu, halafu asubuhi wanapita wakijifanya wanakimbiza vitu visivyoonekana wanaenda kuishia kwenye mashimo waliyochimba usiku na kufukia vitu vyao. Basi wakifukua na kutoa irizi raia wanashangilia kumbe wamepigwa na wazee wa watu kupewa shutuma za uongo.
HAO HAO NDIO WANAOWACHANJA CHALE MANABII MIKONONI ILI NABII AKIKUSHIKA KAMA UNA PEPO UNADONDOKA CHINI, The intelegency game for stupid.Safi sanaaa wakandarasi roka DRC & NIJA, Wachawi washenzi sanaa! Wanasumbua
Niko Kigoma mida hii, ni noma Sana mkoa umekuwa wa Moto balaa, wachawi wanalia Kama watoto wadogo wanatamani Hadi kufa lakini wapi.
Baada ya tabia za ovyo za kichawi kuzidi, ilibidi wananchi watoe 'contract' kwa magwiji kutoka Congo na Nigeria Kuja kushugulika nao.
Mchakato wa kuwapata hao wataalamu umefuata kanuni zote za manunuzi ya umma, mchakato ni Kama ule wa DP World sema huu Hauna mazingira ya rushwa, baada ya mchakato wa zabuni Wacongo na Wanigeria walishinda.
Kabla ya kuanza kazi makotrankta huwa wanaingia Kijiji husika kimyakimya wanapita kwenye mipaka ya Kijiji na kuweka kufuli (hamna mchawi hatakayeweza kutoroka Wala kupitisha silaha zake wakati zoezi likiendelea.
Baadae makotrankta uingia ndani ya Kijiji kuanza kazi rasmi.
Kuna vitu vya ajabu zimetolewa kwenye majumba ya watu sio poa.
Wachawi wa Kigoma wanajua mpaka wanajua tena, yaani ni Kama wachezaji wa World Cup sema ndio hivyo tena na hawa makontrakta Ni Kama marefa wa Uefa, wanaona hata bila VAR. Ukileta kontrakta levo za RAMADHAN Kayoko anabadilishwa kuwa nyau fasta.
Nitaendelea kuwaletea update baadae kidogo wakuu
Zamani kuna kijiji waliita mganga toka Malawi ili aondoe uchawi. Wachawi wwengi kwenye kile kijiji walikamatwa na kutolewa uchawi. Cha ajabu baada ya mganga kurudi kwao Malawi, uchawi uliendelea kwenye kile kijiji 😀😀😀Niko Kigoma mida hii, ni noma Sana mkoa umekuwa wa Moto balaa, wachawi wanalia Kama watoto wadogo wanatamani Hadi kufa lakini wapi.
Baada ya tabia za ovyo za kichawi kuzidi, ilibidi wananchi watoe 'contract' kwa magwiji kutoka Congo na Nigeria Kuja kushugulika nao.
Mchakato wa kuwapata hao wataalamu umefuata kanuni zote za manunuzi ya umma, mchakato ni Kama ule wa DP World sema huu Hauna mazingira ya rushwa, baada ya mchakato wa zabuni Wacongo na Wanigeria walishinda.
Kabla ya kuanza kazi makotrankta huwa wanaingia Kijiji husika kimyakimya wanapita kwenye mipaka ya Kijiji na kuweka kufuli (hamna mchawi hatakayeweza kutoroka Wala kupitisha silaha zake wakati zoezi likiendelea.
Baadae makotrankta uingia ndani ya Kijiji kuanza kazi rasmi.
Kuna vitu vya ajabu zimetolewa kwenye majumba ya watu sio poa.
Wachawi wa Kigoma wanajua mpaka wanajua tena, yaani ni Kama wachezaji wa World Cup sema ndio hivyo tena na hawa makontrakta Ni Kama marefa wa Uefa, wanaona hata bila VAR. Ukileta kontrakta levo za RAMADHAN Kayoko anabadilishwa kuwa nyau fasta.
Nitaendelea kuwaletea update baadae kidogo wakuu
Uchawi unadumaza fikra,we uoni watu wanapotoshana huwezi fanikiwa bila dawa huu si upumbavu wa fikra chanzo ni wachawi.Yani upate maendeleo kwa kuuwa tu wachawi? Sidhani kama uchawi ndio kikwazo cha maendeleo, tukitoka kuuwa wachawi tutaanza kuuwa mashabiki wa simba na yanga.
Sasa hilo suala lina athari kiasi gani? Nachojua pamoja na hizo imani za kichawi ila bado watu wanafanya kazi kwa bidii.Uchawi unadumaza fikra,we uoni watu wanapotoshana huwezi fanikiwa bila dawa huu si upumbavu wa fikra chanzo ni wachawi.
Hata maandiko usema wachawi wauwawe
As usualHalafu baada ya hapo zile za sababu za kuwaondoa hao wachawi(athari za uchawi) zinaendelea kuwepo?
Ndio lakini wanafeli kwa kuweka nguvu zao za Imani kwenye ushirikina badala ya ukuzaji maarifaSasa hilo suala lina athari kiasi gani? Nachojua pamoja na hizo imani za kichawi ila bado watu wanafanya kazi kwa bidii.
giza na mwanga vyote vimeumbwa na Mungu ....ishu ni nia...........Kweli, huwezi kuondoa giza kwa kutumia gizà yaani uchawi kwa uchawi.
Ukitaka kuondoa gizà lete nuru (Yesu), giza (uchawi) lazima liondoke.
Basi naomba utoe please 😥Hapana mkuu Leejay
Okay,I'm so sorry ma'am, sikupendezwa na ulivyomjibu. It was bit harsh and aggressive. It wasn't your persona