Chumchang Changchum
JF-Expert Member
- Nov 1, 2013
- 5,988
- 6,226
Shamba lao lipo BagamoyoHawa wanaumia sana maisha ya Ubunge.. wakalime sasa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Shamba lao lipo BagamoyoHawa wanaumia sana maisha ya Ubunge.. wakalime sasa
Pole sana kijana, kesho hakuna atakaye andamana.Na kwa kadri ya ninavyofahamu haya ni mafanikio ya Maandamano hata kabla hayajaanza
Acha basi mikwara ya mbuzi, vijana wote hao utawalisha kwenye maandamano au umewapa per diemMm nimeshajiandaa na vijana wenzangu kama 70 hivi. Mabali na sisi Coaster kumi na mbili toka maeneo mengine ikiwemo Arusha ziko njiani muda huu
Kama haki na ukweli ndio shetani, basi sawa.Endelea kumshabikia shetani
Yaani tayari Amsterdam kishatuma taarifa ICC. Magufuli. Ana hali ngumu.Na kwa kadri ya ninavyofahamu haya ni mafanikio ya Maandamano hata kabla hayajaanza
Usitake kujua siri yetuAcha basi mikwara ya mbuzi, vijana wote hao utawalisha kwenye maandamano au umewapa per diem
Yeye mwenyewe, matendo anayoyafanya, hayana tofauti na wavuta bangiKamanda wa Polisi kanda maalumu ya Dar es Salaam ACP Lazaro Mambosasa amesema wanawashikilia watu kadhaa wakiwemo viongozi watatu wa CHADEMA...
Hao wanatukera sana, nadhani siyo kuwashikilia tu hata mkiamua muondoke nao moja kwa moja. Watanzania zaidi ya milioni 50 ni muhimu kuliko watu hao watatu. Kwa sababu kuchoma vituo vya mafuta ni zaidi ya siasa, ni ugaidi. Kama wapo mashekhe ambao wapo ndani kwa tuhuma tu za ugaidi na wakati hawa ushahidi wao unaanza kutolewa waziwazi, basi isiwe shida nao hao kusukumwa wapotelee huko au vinginevyo.Kamanda wa Polisi kanda maalumu ya Dar es Salaam ACP Lazaro Mambosasa amesema wanawashikilia watu kadhaa wakiwemo viongozi watatu wa CHADEMA...
We endelea kutumika, utavuna mabua.Masikini wengi wanawaza kama wewe
Ubunge sio nafasi ya milele ukiamua kuwa Mbunge inabidi ufanye kazi ya Wananchi wamekutuma pesa za ruzuku zikawa za familia. watulie walime ikiwashinda kuna vitambulisho vya elfu 20K wakachukue maisha yaendelee. na nyie wote.. 20K tu.. mkikosa muombeni Rais mpendwa msaada.. ni Rais wa Wananchi na tumemchagua tena.Kwann Jiwe ameamua kujipigia kura feki. Akalime naye kule porini kwake Chato!
Endelea kuandamana kwa kutufuatilia kwenye mitandao ya kijamii.pole sana kijana, kesho hakuna atakaye andamana
Unajua kilicho nyuma ya pazia au?This is very unnecessary.
The should free them ASAP with no conditions.
Huyu huyu anayeuwa, kuteka na kufilisi watu?ni Rais wa Wananchi
Mhuni ni yule aliyewatuma baada ya kuiba kura.Wakamatwe tu wahuni