Matunda _Kuniga
JF-Expert Member
- Jun 2, 2019
- 231
- 178
Raisi yupo kwa Mujibu wa katiba yetu kwa awamu ya mwisho akiongeza ndio urudi hapa ,ila kwa sasa hakuna wakumtoa yupo ndani ya katiba.Vita ndogo sana,kikubwa serikali hii inachoweza kuwafanyia wapinzani ni kuwaweka jera kwa muda,hawawezi kuwapiga risasi na kuwaua,
Mandela,alifungwa na makaburu,wangeweza kumuua huko gerezani,akatoka akawa raisi wa nchi.
Mijitu Kama Ghadafi,Hussein mubarak,Omar albashir,Mugabe,kamuzu banda,Bagbo,hawakutegemea Kama Kuna siku watatoka Madarakani,yapo wapi?
Unaifananisha Tanzania na Libya? Kisa Mbowe,Lema ,Mdee na wewe mmekosa ubunge?. LibyaEti vijana wavuta bangi! Imenikumbushia Gaddafi ndivyo alivyokuwa akisema wakati Libya inaanza kuanguka! Alisema ni vijana wamepewa madawa ya kulevya wafanye fujo na maandamano!
Mh... Kwa hiyo hapa Tanzania ukipotea polisi hawawezi kukupeleka unapotakiwa kwenda? Hata kama polisi wanamapungufu huu mfano ni wa hovyo kabisa.Police wakishirikiana na kina Bashite walivamia clouds wakawapa kichapo waliowakuta cctv footage ipo serikali na police wako kimya
Juzi sabaya na genge lake wakamvamia mbowe na cctv footage hadi wanatumia plate number za UN ila ajabu polisi iko kimya Sabaya anatumia hadi bunduki ni sawa? Mafunzo ya kipolisi kapata wapi ? Serikali ina cha kujibu hapo
Kwa bongo police bado sana kutenganisha na ccm kuna nchi nliwahi kufika nilipotezana na mwenyeji wangu tulipopaswa kukutana ila kwa kua niliambiwa ukipotea tu mtafute police yoyote atakupa uelekeo basi baada ya kuwaona mapolice walinirudisha hadi home kwa gari yao na hadi hapo mwenyeji wangu aliponielekeza tena tukaonana ndio maana nasema police ya bongo ni policeccm ukubali ukatae
Mfano wa hovyo? Police ipi unayozungumzia wewe ile inayosema mtu kajiteka? Mara mtu kachoma ofisi yake kutafuta kiki! Pole sana tembea uone dunia ikoje na ukutoke ujinga juu ya yanayoendelea ulimwenguniUnaifananisha Tanzania na Libya? Kisa Mbowe,Lema ,Mdee na wewe mmekosa ubunge?. Libya
Mh... Kwa hiyo hapa Tanzania ukipotea polisi hawawezi kukupeleka unapotakiwa kwenda? Hata kama polisi wanamapungufu huu mfano ni wa hovyo kabisa.
Hujajibu hoja yangu.Mfano wa hovyo? Police ipi unayozungumzia wewe ile inayosema mtu kajiteka? Mara mtu kachoma ofisi yake kutafuta kiki! Pole sana tembea uone dunia ikoje na ukutoke ujinga juu ya yanayoendelea ulimwenguni
Kwenye andiko langu umeona nimeandika Libya mahali?Hujajibu hoja yangu.
Mh..!Kwenye andiko langu umeona nimeandika Libya mahali?
Nadhani hukuelewa maana ya bandiko langu ni kuwa police wa tz hawako friendly u can imagine police wanatetea chama tawala kuliko maslahi ya umma nimekupa matukio mawili hapo hayo uliona serikali imetolea tamko? Unafikiri huku nchi za wenzetu police wanatumika kisiasa kama bongo huko ndio maana wapinzani hawana imani na police na police hawana imani na wapinzani ndio maana ni ngumu kuitenganisha police na ccmMh..!
Ulikwa hujaniuliza swali! Kudhamiria kufanya maandamano bila kibaliWanevunja sheria gani?
Hujajibu swali.
Baada ya spana Mzee alisema vitambulisho sio lazima.. Hivyo hawaitaji votambulisho, wao waanze tu moja kwa moja..!!20K wakachukue maisha yaendelee. na nyie wote.. 20K tu..
Vipi upo wapi sijakuona kwenye maansamano?Mimi nimeshajiandaa na vijana wenzangu kama 70 hivi. Mabali na sisi Coaster kumi na mbili toka maeneo mengine ikiwemo Arusha ziko njiani muda huu.
Kudhamiria ni kosa?Ulikwa hujaniuliza swali! Kudhamiria kufanya maandamano bila kibali
Walishatoa matamko mara ngapi? Alhamis JPM anaapishwaBalozi wa kiranja wa Dunia kesha sema waachiwe tena haraka bisheni muone
Subiri utakuja kuniambiaUnaifananisha Tanzania na Libya? Kisa Mbowe,Lema ,Mdee na wewe mmekosa ubunge?. Libya
Mh... Kwa hiyo hapa Tanzania ukipotea polisi hawawezi kukupeleka unapotakiwa kwenda? Hata kama polisi wanamapungufu huu mfano ni wa hovyo kabisa.
Kuchamba kwingi hamna lolote. Libya ingekuwa mbele kama angeachia sauti za wananchi.Kanali alikuwa sahihi
We umetokea wapi? Unaota?Subiri utakuja kuniambia