Kwa maudhui, upo sambamba na mimi. Mimi nimesema mdahalo hautabadilisha msimamo wa mjumbe mmoja mmoja, hadi sasa kila mmoja anajua atampigia nani. Huo mdahalo labda kwa ajili ya wasio wapiga kura kuongeza maarifa ya kinachojili, na sio kubadilisha misimamo ya wajumbeKwani unadhani tatizo ni nani anapigiwa kura?
Tatizo anachaguliwa kiongozi wa wajumbe au wanachama.
Kwani hujui hapo wajumbe walimchagua nani?
Tulia wewepwagu na pwaguzi wanapeana matumaini hewa 🤣
Gentleman,
kwani katiba yao inasemaje kuhusu uchaguzi wa viongozi wa kitaifa?
au kuna mahali ilikiukwa?🐒
Kunguru anazidi kuwavuruga ili awatafune vizurina kunguru anahubiri panzi wachoshane kwanza na kuumizana kisha awatafune vizuri right?🐒
Kwa maudhui, upo sambamba na mimi. Mimi nimesema mdahalo hautabadilisha msimamo wa mjumbe mmoja mmoja, hadi sasa kila mmoja anajua atampigia nani. Huo mdahalo labda kwa ajili ya wasio wapiga kura kuongeza maarifa ya kinachojili, na sio kubadilisha misimamo ya wajumbe
Mdahalo wa wagombea wa vyama tofauti ni sawa, maana kila chama kina sera yake, na hilo huwa liko wazi. Sasa mdahalo wa wagombea wa chama kimoja, ina maana yeyote atakayeshika madaraka ataongoza kwa sera zake na si za chama tena?Huo mdahalo ulikuwa muhimu, kukumbuka hata Biden na wafuasi wake wakimdhania alikuwa jembe, ulikuwa mdahalo wa kwanza uliodhihirisha kumbe apumzike tu, kwa maslahi ya wengi.
Mkuu nyani huwa haoni k*ndule!
Au nasema uongo ndugu yangu?
Mdahalo wa wagombea wa vyama tofauti ni sawa, maana kila chama kina sera yake, na hilo huwa liko wazi. Sasa mdahalo wa wagombea wa chama kimoja, ina maana yeyote atakayeshika madaraka ataongoza kwa sera zake na si za chama tena?
Anazikimbia simu?
Muwe mnatumia akili mumesha ambiwa mambo ya walawi , ni sawa na kuambiwa mambo ya wazaramo, sijui huwa mnaelewa nyie watu!?Mambo ya Walawi 11:7-8
"Na nguruwe, kwa sababu ana kwato zilizogawanyika, naye hagungi, yeye ni najisi kwenu. Nyama yao msile, wala mizoga yao msiiguse; hao ni najisi kwenu."
Nguruwe wanatajwa moja kwa moja kuwa najisi kwa sababu wanakosa sifa zote mbili zinazohitajika kwa wanyama wa kula: kuwa na kwato zilizogawanyika na kuchakura.
Kumbukumbu la Torati 14:8
"Tena nguruwe, kwa sababu ana kwato, lakini hagungi, yeye kwenu ni najisi; msile nyama yao, wala msiiguse mizoga yao."
Katiba inamruhusu kugombea mnataka ushindi wa mezani ?
Nyie wafuasi wa Lisu akili hamna
Hamtaki demokrasia ichukue mkondo wake kwenye sanduku la kura?
Mbona mumehamaki sana Mbowe kugombea wakati ni haki yake kikatiba
Friends, ladies and gentlemen,Tlaatlaah hiyo mwingine si anaendesha kuelekea kwenu?
View attachment 3188327
Kwani hata yahitaji jicho la siasa?
Kwa mustakabala mwema wa chama ashauriwe kupokea simu!
Huo ndiyo ulio msingi wa hoja ndugu.
Okay, labda tufanye brainstorming ya typical questions/issues ambazo zitahitaji mgombea atolee maelezo. Unadhani ni maswali gani ambayo Odero, Lissu na Mbowe watatakiwa wajieleze? Lengo la swali langu ni kutaka kutoa picha kama kweli kuna umuhimu wa mdahalo wa uchaguzi wa ndani ya chamaUnayaona je mawazo haya?
View attachment 3188326
Unadhani hayaakisi hali halisi iliyopo na hasa umuhimu wa mdahalo huu?
Na hasa kwa kila mjumbe, mwanachama na hata mgombea?
Okay, labda tufanye brainstorming ya typical questions/issues ambazo zitahitaji mgombea atolee maelezo. Unadhani ni maswali gani ambayo Odero, Lissu na Mbowe watatakiwa wajieleze? Lengo la swali langu ni kutaka kutoa picha kama kweli kuna umuhimu wa mdahalo wa uchaguzi wa ndani ya chama
Wala hatuondoki humu, tutabaki dormant tu mpaka siku tumfundishe adabu huyo fisadi wenu akikosa support ya sisi wanachama na campaign zikawa failure basi atajiuzuru tu ma chama tutakurudisha kwa wapinzani halisi.Hahaha usiogope sana, Tutachanga wananchi mazombi tusio jielewa na kujitambua. October 2025, CCM huwa inashinda miaka yote, sasa sisi mnatusubiri ili iweje?
Mlitakiwa muendelee na mchakato wa kufikiria kuchukua Dola kwa chama kingine, badala ya kutusubiri sisi.
Sisi hatuna ushawishi, hatujielewi, kwanini msisajiri chenu mawakili wasomi, mtengeneze katiba bora na mchukuwe nchi October 2025, au nanyi hamjiamini huko nje mpaka muwe ndani ya CDM?
Haohao wajumbe sikuizi huwa wanadilisha gia angani hiyo nimeishuhudia kigoma wakati wa kura za maoni baruani muhuza alijuwa kwa nguvu aliowekeza lazima apite kumbe wajumbe walikuwa wanamchora tu alipokuja muwekezaji zaidi yake chaliNimeanza kupiga kura tangu 1995 nikiwa sekondari tena hata kabla umri haujatimia, sema NCCR walikuwa watoto wa mjini kabla ya CCM, wakatupigisha kura wanafunzi na wakashinda ubunge. Nimeandikisha wapiga kura kwenye BVR 2015 na 2020, nimekuwa msimamizi msaidizi wa kituo cha kura 2015 na nimekuwa msimamizi mkuu wa kituo cha kura 2020.
Hao wanaobadilisha mawazo ni wapiga kura wa mtaani au wajumbe wa Mkutano Mkuu wa Uchaguzi?
Na kati ya hizi figure kubwa mbili, aliyewekeza kwa wajumbe ni MboweHaohao wajumbe sikuizi huwa wanadilisha gia angani hiyo nimeishuhudia kigoma wakati wa kura za maoni baruani muhuza alijuwa kwa nguvu aliowekeza lazima apite kumbe wajumbe walikuwa wanamchora tu alipokuja muwekezaji zaidi yake chali
Nakubaliana wewe lakini wacha tungoje muda uamuweNa kati ya hizi figure kubwa mbili, aliyewekeza kwa wajumbe ni Mbowe