TANZIA Kamanda wa Polisi ACP Jonathan Shana afariki Dunia

sawa, basi usiseme alazwe pema, mwache alazwe anapostahili
Mahindi yanayobanikwa juu ya mkaa ama nyama ndani ya freezer vyote vipo mahali pema kulingana na nature za hivyo vitu....hata peponi roho zote zitakuwa mahali pema kulingana na nature za hizo roho.
 
Msimpangie Mungu, Mwacheni apange ghalani, matendo ya mtu yamfuate.
Jana Yani Turky analiliwa na kila mtu wa kila chama, tuliobaki tujiulize.
 
Nimepitia comment zote, hitimisho: kumbe kweli wema hauozi, ubaya haulipi. Huyu kiongozi kaondoka lakini yaliyo andikwa humu kumhusu kama ni ya kweli, ndugu na familia kawaachia aibu kubwa.

Sent from my Infinix X650B using JamiiForums mobile app

Wanaomjua wanasema alikua ni mtu poa sana,ila sisi member wa JF tulikua tunamuona tu kwenye media alipokuwa anashabikia ccm basi eti ndio tunamhukumu,tunasahau hilo kosa la u CCM halipo kabisa kwenye mambo ya ki mungu,kuwa CCM hakuwezi kumfanya asiende mbinguni walioishi nae wanasema alikuwa mtu mwema
 
Siku za mwanadamu hapa duniani si nyingi, tuache ujivuni. RIP Kamanda
Maskini! RIP kamanda Shana! hivi huyu ndiye aliyekuwepo kipindi Lema amekwekwa mahabusu miezi sita huko Arusha?🙁
 
Wewe ni sawa na nyasi moja kudondoka juu ya nyumba huku ukitegeme nyumba ivuje,
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…