SAGAI GALGANO
JF-Expert Member
- Nov 13, 2009
- 47,706
- 69,281
Kiswaswadu popote ulipo jiandae,zile kashfa za vitenge na kuchepuka na nke wa tumbili haikuwa bahati mbaya ujue.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kijana kutatuliwa marinda siyo poa, lakini ndiyo hivyo hakuna namna hicho ni kilema cha maisha!Tiss hao hao si wamejaa huko Chadema
Kichaa Mnyika kaishia wap?
Jamaa kawa Kama kanyea kitanda vile
Yuko kifuani kwa mamako anamuatamia akupatie mdogo wako. Muheshimu ni babako yuleTiss hao hao si wamejaa huko Chadema
Kichaa Mnyika kaishia wap?
Jamaa kawa Kama kanyea kitanda vile
Kumbe na wewe unampata huyo choko Gilbert Masawe, akilewa anazuga kuanguka kifudifudi ili wahuni wamfokoe fresh. Mama yake ameshajaribu kujiua mara mbili kwa fedheha ya ushoga wa mwanawe.Kijana kutatuliwa marinda siyo poa, lakini ndiyo hivyo hakuna namna hicho ni kilema cha maisha!
WanajichekeshaJamaa kishaandika barua ya kujiuzulu na imeletwa kwenu na imepokelewa , mmemkubalia , sasa mnachunguza kiitu gani tena
Hakuna haja ya kupoteza muda kuchunguza yanayojulikana , hivi Kinana akijiuzulu kesho kutwa ( kama tunavyotarajia ) naye atachunguzwa ?
Acheni kutupotezea muda , jazeni nafasi zilizoachwa wazi
Walisema kuna picha zake chafu zimevuja, kumbuka kuchafuana kwa namna hiyo kulifanywa kwa;Jamaa kishaandika barua ya kujiuzulu na imeletwa kwenu na imepokelewa , mmemkubalia , sasa mnachunguza kiitu gani tena
Hakuna haja ya kupoteza muda kuchunguza yanayojulikana , hivi Kinana akijiuzulu kesho kutwa ( kama tunavyotarajia ) naye atachunguzwa ?
Acheni kutupotezea muda , jazeni nafasi zilizoachwa wazi
Kwani pia yanakuhusu!Jamaa kishaandika barua ya kujiuzulu na imeletwa kwenu na imepokelewa , mmemkubalia , sasa mnachunguza kiitu gani tena
Hakuna haja ya kupoteza muda kuchunguza yanayojulikana , hivi Kinana akijiuzulu kesho kutwa ( kama tunavyotarajia ) naye atachunguzwa ?
Acheni kutupotezea muda , jazeni nafasi zilizoachwa wazi
Mzee baba hakuna connection kama vijana wa mjini wanavyosema?😄Walisema kuna picha zake chafu zimevuja, kumbuka kuchafuana kwa namna hiyo kulifanywa kwa;
Nani yupo nyuma ya hiyo movement na kwanini?
- Gwajima
- Majaliwa
- Chongolo
Kwanini aliyejiuzulu awekwe chini ya Ulinzi ? acheni ushambaKwani pia yanakuhusu!
Unaelewa maana ya kuchochea kuni ?Acheni kucheza mgoma ya Lumumba, we tujuze mipamgo mkakati ya ufipa
Kwamba ni kosa la jinai chama kile kijiuzulu?Kwanini aliyejiuzulu awekwe chini ya Ulinzi ? acheni ushamba
Kikao cha Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) Taifa kilichofanyika leo tarehe 29 Novemba, 2023 Jijini Dar es salaam na kuongozwa na Mwenyekiti wa Chama hicho, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassan kimeridhia kujiuzulu kwa aliyekuwa Katibu Mkuu wa Chama hicho Comrade Daniel Chongolo
Taarifa ya Katibu wa Itikadi na Uenezi na Mafunzo, Paul Makonda imeeleza walioteuliwa kugombea nafasi ya Uenyekiti kwa mikoa ya Arusha, Mbeya na Mwanza pamoja na Wilaya za Mpanda na Kusini Unguja.
---
Mwenyekiti wa CCM na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan ameijulisha Halmashauri Kuu ya CCM ya Taifa kupokea barua ya kujiuzulu kwa Katibu Mkuu wa CCM Daniel Chongolo, na ameridhia ombi hilo.
Katibu wa NEC, Itikadi, Uenezi wa CCM Taifa, Paul Makonda amesema hayo leo Jijini Dar es salaam wakati akitoa taarifa kuhusu Kikao cha kawaida cha Halmashauri Kuu ya CCM ya Taifa kilichoketi leo Jijini Dar es salaam chini ya Mwenyekiti na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassan.
Pamoja na mambo mengine, kikao hicho kimejadili hali ya kisiasa ndani ya Chama na nje ya Chama hicho nchini na kimefanya uteuzi wa mwisho wa Wagombea wa nafasi za uongozi ndani ya Chama kwa ngazi ya Mkoa na Wilaya ili kujaza nafasi zilizoachwa wazi kutokana na sababu mbalimbali ikiwemo kifo na uteuzi wa nafasi nyingine.
Pia soma:
- Katibu Mkuu wa CCM, Daniel Chongolo aandika barua ya kujiuzulu
View attachment 2828888View attachment 2828889
Kuna taarifa kuwa yupo chini ya ulinzi na ana chunguzwaKwanini aliyejiuzulu awekwe chini ya Ulinzi ? acheni ushamba