Kamati Kuu ya CHADEMA yawavua nyadhifa na uanachama Halima Mdee na wenzake 18 walioapishwa kuwa Wabunge wa Viti Maalum

Wewe jamaa una mambo ya kipumbavu sana. Hivi huwezi kuongea bila kukejeri watu? Jifunze ustaarabu basi.
Nani nimemkejeri mkuu. Kwani ni siri kuhusu Mbowe na Faru John? Mbona nakunywa naye kila mara hapa Triple 7 na anajua huwa namwambia kila nikikutana naye?
 
Nani nimemkejeri mkuu. Kwani ni siri kuhusu Mbowe na Faru John? Mbona nakunywa naye kila mara hapa Triple 7 na anajua huwa namwambia kila nikikutana naye?
Kama na wewe unakunywa faru john kama unavyodai mbona wewe hujiiti faru john?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…