Kamati Kuu ya CHADEMA yawavua nyadhifa na uanachama Halima Mdee na wenzake 18 walioapishwa kuwa Wabunge wa Viti Maalum

Mbowe hana hayo mamlaka unayotaka kumpa , halafu wewe na Mahera tumsikilize nani ?
 
Ni bora kuwa na chama kimoja makini kuliko hawa wahuni wasiojitambua.

Mwanzoni nilijua CCM ina shida, kumbe hawa waigizaji ni tatizo kubwa zaidi.
 
Ni ajabu kuona mtu mwenye brains kama lisu anafubaa kwenye chama cha MBOWE.

Ni bora aajiriwe kwenye tule tukazi tudogo dogo alichotusema magufuli.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…