Kamati Kuu ya CHADEMA yawavua nyadhifa na uanachama Halima Mdee na wenzake 18 walioapishwa kuwa Wabunge wa Viti Maalum

Kamati Kuu ya CHADEMA yawavua nyadhifa na uanachama Halima Mdee na wenzake 18 walioapishwa kuwa Wabunge wa Viti Maalum

Wasikae kimya maana ni haki yao kuongea, lakini wataongea wakiwa sio wanachama wa cdm. Wakamfuate Lijualikali maana na yeye alikuwa na nyimbo hizo hizo lakini sasa hivi hauzi kabisa.
Maaamuzi ya kikao hicho nibatiri maana walengwa hawakupata mda wa kujieleza. Na sababu za kutokufika kwao ni sahihi kwa kua walitishiwa na matamushi ya viongozi wao mfano akina pambalu na mnyika. Pili eneo la mkutano halikua salama kwao kwakua kulijitokeza kikundi cha waandamanaji walioshika mabango yenye matusi juuu ya kwa kuwaita wao nikorona covid 19. Kamati kuu imepewa barua ya sababuu , hivyo ilipaswa iheshimu na iwevumilivu. Kwakuwavua uanachama wamama hao nikuwaonea kwa mjibu wa katiba zote.
 
Wabunge 19 wa Viti Maalum kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) waliokula kiapo kuwa wabunge wa viti maalum hivi karibuni akiwemo Mwenyekiti wa Baraza la Wanawake wa Chama hicho, Halima Mdee wamevuliwa uanachama wa chama hicho na nafasi zao za uongozi kwa maamuzi ya kikao cha dharura cha Kamati Kuu ya Chama hicho kilichoketi Leo jijini Dar es Salaam.

Katika hatua nyingine Mwenyekiti wa CHADEMA FREEMAN MBOWE amesema wanachama waliovuliwa Uanachama wao Leo na Kamati Kuu ya Chama hicho bado, wanayo nafasi ya kuomba radhi au kukata rufaa iwapo hawajaridhishwa na maamuzi yaliyotolewa dhidi yao.
Yaani umetoa taarifa kwa mwandishi kanjanja ndio unafanya reference, tafuta kile chenyewe kilichosemwa. Hao makanjanja tu Kama manyumbu
 
-"Wanasema Mbowe nimetoa authorization akina Mdee waende kuapa. Mimi over my dead body. I am not and I will never be a person to betray this party. This part is my blood and sweat. This party is our future as a nation. Nitakuwa wa mwisho kwa gharama yoyote kukihujumu chama changu"
 
2625844_20201128_002823.jpg
 
Maaamuzi ya kikao hicho nibatiri maana walengwa hawakupata mda wa kujieleza. Na sababu za kutokufika kwao ni sahihi kwa kua walitishiwa na matamushi ya viongozi wao mfano akina pambalu na mnyika. Pili eneo la mkutano halikua salama kwao kwakua kulijitokeza kikundi cha waandamanaji walioshika mabango yenye matusi juuu ya kwa kuwaita wao nikorona covid 19. Kamati kuu imepewa barua ya sababuu , hivyo ilipaswa iheshimu na iwevumilivu. Kwakuwavua uanachama wamama hao nikuwaonea kwa mjibu wa katiba zote.

Watu 19 wawe na sababu moja? Wakate rufaa au wahamie ccm huko kuna vyeo vingi tu.
 
Maaamuzi ya kikao hicho nibatiri maana walengwa hawakupata mda wa kujieleza. Na sababu za kutokufika kwao ni sahihi kwa kua walitishiwa na matamushi ya viongozi wao mfano akina pambalu na mnyika. Pili eneo la mkutano halikua salama kwao kwakua kulijitokeza kikundi cha waandamanaji walioshika mabango yenye matusi juuu ya kwa kuwaita wao nikorona covid 19. Kamati kuu imepewa barua ya sababuu , hivyo ilipaswa iheshimu na iwevumilivu. Kwakuwavua uanachama wamama hao nikuwaonea kwa mjibu wa katiba zote.
Wewe na Ndugai akili moja..hamjapona ugonjwa wenu.
 
Wana-JF,

Kama ilivyo issue ya kuku na yai ni nini kilianza, issue ya akina Mdee nayo yaweza kuangaliwa hivyo hivyo.

Uchafuzi wa uchaguzi wa 27 na 28 Oktoba 2020 ulikuwa wazi kabisa nchi nzima. Wakubwa kwa wadogo waliona kilichotokea. Uchafuzi ule ulipigwa picha na video sehemu mbalimbali za Tanzania. Unyang'anyi na udhalimu ule haukufichwa hata kidogo.

Baada ya hilo, viongozi waliitisha maandamano ya amani. Wananchi hawakujitokeza. Hawa hawa walioshuhudia wizi wa kura mpaka wakapiga video na kuweka kwenye social media, walikataa kuandamana walipotakiwa kufanya hivyo. Kule Zanzibar niliona Maalim akindamana na kundi la watu kama 20 hivi. Mita kama 50, wakapigwa mabomu na kukamatwa. Na ndio uliokuwa mwisho huo.

Hivi Watanzania tunategemea viongozi watuletee mabadiliko bila sisi kushiriki? Je, attitude hii ya Watanzania, haihusiki katika kukatisha tamaa viongozi? Viongozi nao wakiamua kutafuta riziki zao na familia na kuweka masilahi ya Watanzania nyuma, wanastahili lawama?

Naamini 100% kuwa saliti ni kitu kibaya. Lakini sisi Watanzania kwa tabia zetu, hatuchangii katika hali hii?

Fikiria na chukuwa hatua.
 
Ni bora kuwa na chama kimoja makini kuliko hawa wahuni wasiojitambua.

Mwanzoni nilijua CCM ina shida, kumbe hawa waigizaji ni tatizo kubwa zaidi.
Chadema imewafukuza covid 19 wanandungai tayari
 
Mwenyekiti wa CHADEMA Taifa, Freeman Mbowe atazungumza na Umma wa Watanzania kupitia mkutano na waandishi wa habari, leo Novemba 27, 2020, kuanzia saa 3.00 (usiku huu), kuhusu maamuzi ya Kikao cha Kamati Kuu ya Chama

Vyombo vya habari vya Kitaifa na Kimataifa vimealikwa.

Stay Tuned for Updates

======================
Waandishi wanaanza kuwasili ukumbini wanaoingia wanatakiwa kuwa vitambulisho.
Muda wowote kuanzia Viongozi wa Chadema wataingia ukumbini kuongea na waandishi wa habari.
22:08
Bado Viongozi wa Chadema hawajafika ukumbini
Mkutano huo utakuwa live kupitia
Tayari Mwenyekiti wa CHADEMA Taifa Freeman Mbowe ameshafika ukumbini
Tunawashukuru Watanzania wengi ambao wanafuatilia kikao maalum cha ajenda moja ya kujadili, kushauriana na kutafakari juu ya wanachama wetu 19 waliokwenda kuapa kuwa wabunge wa viti maalum- Freeman Mbowe
"Sisi kama kamati kuu ya chama kikuu cha upinzani, tumeona na kuridhishwa kuna ukiukwaji mkubwa umekiukwa katika mchakato mzima wa uchaguzi na huu wa viti maalum. Tumejiridhisha ndani ya chama kuhusu mapungufu kadhaa yaliyofanyika-; Mbowe
“Chama chetu hakijateuwa Wabunge wa Viti Maalum lakini tunaona wapo Bungeni wanaapishwa”Mbowe
Tangu nchi hii ipate uhuru hatujawai kuona Mbunge/Wabunge wakiapishwa garage, mambo ya kihuni kabisa haya..." Mbowe
“Hiki chama kinaongozwa na principles bila kujali maumivu makubwa tuliyopitia chama chetu kitafuata utaratibu siku zote, kwahiyo kamati kuu imewavua nafasi zao za uongozi viongozi wote waliokua na nafasi katika mabaraza ya chama.”
@freemanmbowetz

“Kamati Kuu imewavua Uongozi wale wote ambao walikuwa Viongozi kwenye Mabaraza kati ya hao Dada zetu 19 sitaki kupoteza muda kuwataja majina, kwahiyo kuanzia sasa hawapaswi kushughulika na lolote kama Viongozi na tumeelekeza nafasi zao zizibwe haraka” -MBOWE

"Ili kanuni ambayo Spika ametumia iweze kufanya kazi kuapisha wabunge wetu. Kwanza wangestahili kubadilisha Katiba iruhusu wabunge kuapishwa nje ya utaratibu ambao ni ndani ya Bunge" -


Nusrate Hanje Katibu wa Bavicha amefungwa jela siku 133 kwa makosa yenye dhamana, hawa Watesi wetu wanakwenda kumtoa saa moja usiku akaape.”


”Chama chetu hakijateua Wabunge wa Viti Maalum tunaona tu Watu wetu wanaapishwa na hatuna taarifa, hatujapeleka majina, fomu za Tume zipo ofisini Mama zetu hawa Dada zetu hawajajaza fomu, ila tunaona tu wanaaapishwa”-

"Sisi kama chama cha siasa, hii 'process' yote hatuijui, tunaona tu wabunge wetu wanaapishwa. Chama chetu hakijateua wabunge wa viti maalum" -

"Wabunge hawa 19, mama zangu na dada zangu wameapishwa kiapo batili kwani Katiba inasema waapishwe mbele ya Bunge. Sasa kanuni zimebadilishwa ili kumruhusu Spika kumwapisha popote hata eneo la gereji-

“Tangu Nchi yetu imeanza hatujawahi kuona Wabunge wanaapishwa Gereji, lakini Dada zetu na Mama zetu hawa wameapishwa nje ya Bunge, wakati Katiba inataka waapishwe ndani ya Bunge, kwahiyo wamekula kiapo batili”
Mwenyekiti wa CHADEMA Freeman Mbowe amesema Kamati Kuu ya Chama hicho iliyoketi leo Nov 27,2020 imeazimia kuwavua uanachama Halima Mdee na wenzake 18 waliopishwa juzi kuwa Wabunge Viti Maalum “wamekinajisi Chama na wamekataa kuja kwenye Kamati Kuu”

”Chama chetu hakijateua Wabunge wa Viti Maalum tunaona tu Watu wetu wanaapishwa na hatuna taarifa, hatujapeleka majina, fomu za Tume zipo ofisini Mama zetu hawa Dada zetu hawajajaza fomu, ila tunaona tu wanaapishwa”

“Kamati Kuu imewavua Uongozi wale wote ambao walikuwa Viongozi kwenye Mabaraza kati ya hao Dada zetu 19 sitaki kupoteza muda kuwataja majina, kwahiyo kuanzia sasa hawapaswi kushughulika na lolote kama Viongozi na tumeelekeza nafasi zao zizibwe haraka”
"Kamati Kuu imeazimia kuwavua uanachama wake wote 19 wakiongozwa na Halima Mdee , walioapa kule Dodoma.-Mbowe

Good riddance!
 
Maaamuzi ya kikao hicho nibatiri maana walengwa hawakupata mda wa kujieleza. Na sababu za kutokufika kwao ni sahihi kwa kua walitishiwa na matamushi ya viongozi wao mfano akina pambalu na mnyika. Pili eneo la mkutano halikua salama kwao kwakua kulijitokeza kikundi cha waandamanaji walioshika mabango yenye matusi juuu ya kwa kuwaita wao nikorona covid 19. Kamati kuu imepewa barua ya sababuu , hivyo ilipaswa iheshimu na iwevumilivu. Kwakuwavua uanachama wamama hao nikuwaonea kwa mjibu wa katiba zote.
Walivyoenda kuapa walipata muda wa kujieleza,ccm akili zenu huwa mmezikalia
 
Nyumbu hovyo kabisa, Sasa CCM inahusika vipi na kikao Cha saccos ambayo hawajielewi?
Kama pressure inashuka na kupanda ni kwa nyie nyumbu, Mbowe atabariiki na utakuja kurukaruka hapa, hao wabunge wa chadema wamewadharau hao viongozi wa saccos ndo maana hawana habari na hiyo kitchen party.
Nyumbu ni CCM kwani hata mbugani nyumbu ni wengi kama CCM chadema siyo saccos ingekuwa ni saccos nyinyi wapumbavu msingekuwa mkishirikiana na CCM kuidhoofisha chadema kuwabambikia kesi kesi kuwapiga risasi uonevu mateso manyanyaso kwao
 
Kweli keze zinasukumwa kwa akili na mahesabu makali but ubaya wa kete za chadema hazina nguvu sana.

Tunaweza kusema chadema ni sawa amekata kiganja chake cha mkono na tukaona kama hana akili ila amekata kiganja chake kwa akili ya kutaka kujichomowa kwenye pingu ilio mshika ila angalizo atavuja damu nyingi sna kwa mda
 
Back
Top Bottom