dolevaby
JF-Expert Member
- Aug 25, 2013
- 12,958
- 9,516
Yaap ni tofauti nadhani na alivyotegemea akikumbuka mipicha ya Ikulu nakuahudiwa chama kikuu cha upinzani bichwa likawa kubwa! alidhaniKiuhalisia Mbatia katelekezwa
kuwa chama kikuu cha upinzani unaokota mezani Chadema kesi kila mahali wengine wanapotezwa yeye mjinga anataka apewe akidhani mtawala ndio anapiga kura