Uchaguzi 2020 Kamati ya Maadili ya Uchaguzi yamsimamisha James Mbatia kufanya kampeni kwa siku 7

Uchaguzi 2020 Kamati ya Maadili ya Uchaguzi yamsimamisha James Mbatia kufanya kampeni kwa siku 7

Igizo hili linaletwa kwenu kwa udhamini mkubwa wa Lady Pepeta.
 
Mbona hakupewa fursa ya kukata rufaa, au wamesahau kuandika kipengele hicho?
 
Huyu jamaa wameamua kumtema? Makubaliano ya Ikulu yameisha vipi? Urafiki na CCM ni urafiki wa mashaka. Akina TL wanaolijua hilo hawana tabu kabisa.
Sheatani hajawahi kuwa na rafiki.
Ukufanya uarafiki naye mwisho wa siku lazima uaibike!
 
Kamati ya Maadili imemkuta Mgombea wa Jimbo la Vunjo kupitia NCCR Mageuzi, James Mbatia na hatia katika tuhuma ya uvunjivu wa Maadili ya Uchaguzi wa Rais, Wabunge na Madiwani ya Mwaka 2020

Hivyo Kamati hiyo imemsimamisha James Mbatia kufanya kampeni kwa muda wa siku 7 kuanzia tarehe 17 Oktoba 2020 hadi tarehe 23 Oktoba 2020 kwa mujibu wa Kanuni ya 5.11 (d) ya Maadili ya Uchaguzi wa Rais, Wabunge na Madiwani ya Mwaka 2020

Hiyo ni baada ya Kamati ya Maadili Jimbo la Vunjo iliyokaa Oktoba 16, 2020 kupitia tuhuma ya uvunjivu wa Maadili ya Uchaguzi wa Rais, Wabunge na Madiwani ya Mwaka 2020 dhidi Mbatia ya kujihusisha na kutumia kipeperushi cha kampeni ambacho hakijaidhinishwa na Msimamizi wa Uchaguzi wa Jimbo la Vunjo

Asante sana kamati ya maadili ya Vunjo. Kazi mliyoifanya imetukuka....Mshahara wa dhambi ni mauti. Mbatia umepoteza dira...Chama chako na wewe mmekuwa vituko. Hivi kweli unasapoti wengine kufungiwa? Sasa yamekukuta wewe....Hongera sana Mbatia kwa chama chako kuwa kambi rasmi ya Upinzani! Usaliti ni dhambi kubwa, wasaliti hawajawahi kushinda hata siku moja.
 
Kamati ya Maadili imemkuta Mgombea wa Jimbo la Vunjo kupitia NCCR Mageuzi, James Mbatia na hatia katika tuhuma ya uvunjivu wa Maadili ya Uchaguzi wa Rais, Wabunge na Madiwani ya Mwaka 2020

Hivyo Kamati hiyo imemsimamisha James Mbatia kufanya kampeni kwa muda wa siku 7 kuanzia tarehe 17 Oktoba 2020 hadi tarehe 23 Oktoba 2020 kwa mujibu wa Kanuni ya 5.11 (d) ya Maadili ya Uchaguzi wa Rais, Wabunge na Madiwani ya Mwaka 2020

Hiyo ni baada ya Kamati ya Maadili Jimbo la Vunjo iliyokaa Oktoba 16, 2020 kupitia tuhuma ya uvunjivu wa Maadili ya Uchaguzi wa Rais, Wabunge na Madiwani ya Mwaka 2020 dhidi Mbatia ya kujihusisha na kutumia kipeperushi cha kampeni ambacho hakijaidhinishwa na Msimamizi wa Uchaguzi wa Jimbo la Vunjo

Sina imani na tume, hadi wachukuwe hatua kwa wanao ongea kilugha kwenye mikutano, eti kujifanya wanasalimia!
 
...walianza na Lissu, Mara Mdee, Jana Maarim eti na Mbatia! Serious?

Kwani wa CCM ni malaika? Yaani mpk Kibajaj kawa mstaarabu kuliko Maarim Seif? Gwajiboy mzee wa 'gogo' nae kawa mwema kuliko Mbatia???

Double standard will never build our country! Hii nchi sio ya CCM ni nchi yetu sote!!
 
Nawaasa watanzania wenzangu kuepuka kumpa kura Lisu kwani watageuzwa watumwa wa wazungu jambo ambalo babu zetu walishalikataa,

Tuwaenzi babu zetu kwa kumkataa Lisu na wazungu wake.

Uwe mtumwa wa mzungu mara 2? Mpaka sasa wanatudai zaidi ya 40t pitia kwenye deni letu la taifa ujionee. Kizazi cha kutawaliwa kwa propaganda mfu kiliisha na watu wa aina yako.
 
Kamati ya Maadili imemkuta Mgombea wa Jimbo la Vunjo kupitia NCCR Mageuzi, James Mbatia na hatia katika tuhuma ya uvunjivu wa Maadili ya Uchaguzi wa Rais, Wabunge na Madiwani ya Mwaka 2020

Hivyo Kamati hiyo imemsimamisha James Mbatia kufanya kampeni kwa muda wa siku 7 kuanzia tarehe 17 Oktoba 2020 hadi tarehe 23 Oktoba 2020 kwa mujibu wa Kanuni ya 5.11 (d) ya Maadili ya Uchaguzi wa Rais, Wabunge na Madiwani ya Mwaka 2020

Hiyo ni baada ya Kamati ya Maadili Jimbo la Vunjo iliyokaa Oktoba 16, 2020 kupitia tuhuma ya uvunjivu wa Maadili ya Uchaguzi wa Rais, Wabunge na Madiwani ya Mwaka 2020 dhidi Mbatia ya kujihusisha na kutumia kipeperushi cha kampeni ambacho hakijaidhinishwa na Msimamizi wa Uchaguzi wa Jimbo la Vunjo

Ccm wanatuhadaa ili tuone hawaonei vyama siriasi tu. Sasa wanaadhibu mpaka vyama mamluki,
Hizo hadaa tu. Mbatia Ni hawRa yake ccm
 
T
Hii ni zuga tu ili isionekane Lissu, Mdee na Seif wanaonewa.

Kwa kifupi, hii inaweza kuwa ni damage control tu baada ya kuwafungia wapinzani wa kweli na pengine kuna adhabu nyingine kwa wapinzani wa kweli inakuja.
True
 
Kamati ya Maadili imemkuta Mgombea wa Jimbo la Vunjo kupitia NCCR Mageuzi, James Mbatia na hatia katika tuhuma ya uvunjivu wa Maadili ya Uchaguzi wa Rais, Wabunge na Madiwani ya Mwaka 2020

Hivyo Kamati hiyo imemsimamisha James Mbatia kufanya kampeni kwa muda wa siku 7 kuanzia tarehe 17 Oktoba 2020 hadi tarehe 23 Oktoba 2020 kwa mujibu wa Kanuni ya 5.11 (d) ya Maadili ya Uchaguzi wa Rais, Wabunge na Madiwani ya Mwaka 2020

Hiyo ni baada ya Kamati ya Maadili Jimbo la Vunjo iliyokaa Oktoba 16, 2020 kupitia tuhuma ya uvunjivu wa Maadili ya Uchaguzi wa Rais, Wabunge na Madiwani ya Mwaka 2020 dhidi Mbatia ya kujihusisha na kutumia kipeperushi cha kampeni ambacho hakijaidhinishwa na Msimamizi wa Uchaguzi wa Jimbo la Vunjo

Hi itakuwa ni propaganda tu ili ccm wawe na kisingizio kuwa: "mbona hata kibaraka wetu mbatia tulimsitishia kampeni?.."
 
Mie pia nanusa kuwa kuna adhabu ya siku 7 inayohusu kina fulani wa upinzani hasa ili wasi conclude kampeni zao vizuri. Sheria ya uchaguzi Tanzania ni mbaya na ya ovyo kuliko sheria zote duniani.

Eti mgombea aweza kuenguliwa kwa kuandika Chama cha Demokrasia na Maendeleo badala ya CHADEMA na mwingine akaenguliwa kwa kuandika Chadema vadala ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo.

Tume ni hiyohiyo yenye vigezo tofauti vya hukumu. Kijisababu kinatafutwa tu ili mtu anayeonekana tishio akwamishwe. Mbatia ni nani? Amefanya kampeni wapi na wapi wakati wa kampeni hii ya uraisi?

Nangojea kuona mizengwe mingi inayohusu mawakala wa wagombea. Hawataapishwa, majina yao hayatawakilishwa vituoni, watakatazwa kuingia vituoni na mizengwe mingine mingi.

Tume ni ya makada wa Ccm, wasimamizi wa kila jimbo ni makada wa Ccm na tutarajie tu migogoro kwa kuwa wanajua hamna njia nyingine ya kushinda ila kwa kuiba tu!
Tatizo ni pale unapoingia mchezo bila kufahamu sheria zake. Unaambiwa penati ndo unaanza kuuliza sheria gani hiyo?
 
Hapana hayo ndio makubaliano kuwa atatumika kuhalalisha au kuonekana wale wapinzani halisi kama Lissu na Maalim sio wanafungiwa wao tu hata Mbatia kwa hiyo sio target. si uliona juzi kasema alitaka kutekwa akija kutekwa mwingine watasema hata Mbatia. This is all game, huyu jamaa ni hatari kuliko CCM maana bora umjue adui yako kuliko adui usiomjuwa hatari sana.
True. Alidai kutekwa lakini aliweza kumwambia RC na Polisi na wakafika kwenye tukio na kuwakamata wahusika. Isidingo hii ! Hivi mtekaji gani asikuzabe hata vibao tu kukuchangamsha badala yake anakupa muda wa kufanya mawasiano nyeti km hayo? Sawa, sasa tunataka kujua hao watu ni kina nani na lengo lao lilikuwa ni nini hasa.
 
Nawaasa watanzania wenzangu kuepuka kumpa kura Lisu kwani watageuzwa watumwa wa wazungu jambo ambalo babu zetu walishalikataa,

Tuwaenzi babu zetu kwa kumkataa Lisu na wazungu wake.
Wewe kapige kura yako kwa umtakaye. Acha kuimba mashairi yasiyo na vina.
 
Ata kama, vp kwa chama chake?? Kiafaidika vp kwa mbatia kupewa viti maalum??
Sioni faida ya kumBAN
Hujaelewa. Wanampiga ban ili ionekane sio kila siku Chadema tu ndio wanaopigwa ban. Wapo na wengine.
 
Back
Top Bottom