Kamba uliomba nafasi za kazi TRA jipange, jiandae mapema

Kamba uliomba nafasi za kazi TRA jipange, jiandae mapema

muda huu ndio mkague vyeti vyenu majina kama yanatofautiana kwenye cheti cha kuzaliwa na vyeti vya shule ukatafute deed pole mapemaaa lasivyo utachoma nauli yako buree cheti cha kuzaliwa umaendikwa MIRIAM cha shule MARRY unaishia mlangoni
Vipi kwenye initial name Huku TRA wanazingua yaani kwenye vyeti vya shule jina la kati likiwa initial wanaweza wakazingua ???
Mfano:
Vyeti vya shule: Abuu J. Mwanakijiji
NIDA na cheti cha kuzaliwa Abuu Juma Mwanakijiji
 
Vipi kwenye initial name Huku TRA wanazingua yaani kwenye vyeti vya shule jina la kati likiwa initial wanaweza wakazingua ???
Mfano:
Vyeti vya shule: Abuu J. Mwanakijiji
NIDA na cheti cha kuzaliwa Abuu Juma Mwanakijiji
Sijajua kwa sasa itakuaje,ila mimi nilipitia utumishi.
Vyeti vyangu vinasomeka hivi
Mfano vyeti vya form 4 &6 vinasomeka Jakaya M. kikwete.
Vyeti vya chuo,kuzaliwa na NIDA vinasomeka hivi Jakaya Mrisho Kikwete.
Na sijawahi kuzinguliwa kabisa ktk zile harakati zangu za kusaka ugali kupitia utumishi.
 
Vipi kwenye initial name Huku TRA wanazingua yaani kwenye vyeti vya shule jina la kati likiwa initial wanaweza wakazingua ???
Mfano:
Vyeti vya shule: Abuu J. Mwanakijiji
NIDA na cheti cha kuzaliwa Abuu Juma Mwanakijiji
hyo sijui hila kuna mdogo wangu alikuwa majina yametofautiana herufi ya mwisho mfano kwenye cheti cha chuo ipo MARIAM hila cha kuzaliwa kina MARIAMU tofauti hyo U ya mwisho na alikaziwa
 
Leo, Kamishna Mkuu wa Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA), Yussuf Mwenda, ametangaza kuwa waombaji 135,027 wamejitokeza kuomba nafasi za kazi 1,596 zilizotangazwa na mamlaka hiyo.
Nafasi hizi za ajira zilitangazwa mnamo Februari 6, 2025, zikijumuisha kada mbalimbali.

Kutokana na idadi kubwa ya waombaji ikilinganishwa na nafasi zilizopo, ushindani unatarajiwa kuwa mkali. Hivyo, ni muhimu kwa waombaji kujipanga na kujiandaa vyema.
Katika hao waombaji 135,027 wengi wao wapo kwenye ajira zingine ila wanatamaa hawaridhiki na sehemu walipo wanaona bora wakawazibie wenzao ambao hawana ajira yoyote
 
Sijajua kwa sasa itakuaje,ila mimi nilipitia utumishi.
Vyeti vyangu vinasomeka hivi
Mfano vyeti vya form 4 &6 vinasomeka Jakaya M. kikwete.
Vyeti vya chuo,kuzaliwa na NIDA vinasomeka hivi Jakaya Mrisho Kikwete.
Na sijawahi kuzinguliwa kabisa ktk zile harakati zangu za kusaka ugali kupitia utumishi.
Utumishi kule hawana shida mkuu mwezi wa 10 mwaka jana nipiga saili hawakunizingua
 
hyo sijui hila kuna mdogo wangu alikuwa majina yametofautiana herufi ya mwisho mfano kwenye cheti cha chuo ipo MARIAM hila cha kuzaliwa kina MARIAMU tofauti hyo U ya mwisho na alikaziwa
Ahaa hapo kwel Affidavit ilikuwa muhimu
 
Hao ndo wanaozingua mkuu walishapata cheq no. bado hawaridhiki 😥😥
Interview iliyopita ilifanyika DUCE- Keko walikiwepo waajiriwa kibao Tena wamekuja na gari zao kabisa wengi wanatoka taasisi za serikali na ma benki walikuja kukaba nafasi za wasio na ajira
 
Leo, Kamishna Mkuu wa Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA), Yussuf Mwenda, ametangaza kuwa waombaji 135,027 wamejitokeza kuomba nafasi za kazi 1,596 zilizotangazwa na mamlaka hiyo.
Nafasi hizi za ajira zilitangazwa mnamo Februari 6, 2025, zikijumuisha kada mbalimbali.

Kutokana na idadi kubwa ya waombaji ikilinganishwa na nafasi zilizopo, ushindani unatarajiwa kuwa mkali. Hivyo, ni muhimu kwa waombaji kujipanga na kujiandaa vyema.
Hapo tunajaa taifa ,uhuru,chamazi,kmc,major isamuyo,kwa mwamposa,gwajima, mpaka magufuli terminal
 
Hapo tunajaa taifa ,uhuru,chamazi,kmc,major isamuyo,kwa mwamposa,gwajima, mpaka magufuli terminal
HYO IDADI WALIOOMBA SASA UNAFIKIRI WATAITWA WOTE HAO WALIOOMBA?MAANA WALIO ATTACH TRANSCRIPT HAWAKOSI HUMO NA AMBAO HAWAJA VERIFY YATATAFUTWA MAKOSA MADOGO MADOGO INIMLADI WAKUCHOMOE.
 
Interview iliyopita ilifanyika DUCE- Keko walikiwepo waajiriwa kibao Tena wamekuja na gari zao kabisa wengi wanatoka taasisi za serikali na ma benki walikuja kukaba nafasi za wasio na ajira
Daah ngoj tupambane nao tu mkuu wanatubania ridhiki
 
HYO IDADI WALIOOMBA SASA UNAFIKIRI WATAITWA WOTE HAO WALIOOMBA?MAANA WALIO ATTACH TRANSCRIPT HAWAKOSI HUMO NA AMBAO HAWAJA VERIFY YATATAFUTWA MAKOSA MADOGO MADOGO INIMLADI WAKUCHOMOE.
Kwel kiongoz hapo lazim watafute sabab za kuwachomoa watu
 
Sijajua kwa sasa itakuaje,ila mimi nilipitia utumishi.
Vyeti vyangu vinasomeka hivi
Mfano vyeti vya form 4 &6 vinasomeka Jakaya M. kikwete.
Vyeti vya chuo,kuzaliwa na NIDA vinasomeka hivi Jakaya Mrisho Kikwete.
Na sijawahi kuzinguliwa kabisa ktk zile harakati zangu za kusaka ugali kupitia utumishi.
Na kama cheti chako ni og kila kitu ila kimechakaa(form 4) wanaruhusu uingie?
 
Back
Top Bottom