imhotep
JF-Expert Member
- Oct 13, 2012
- 55,997
- 88,219
Atajwe tumtemeshe huo mshikoLeo anateketezwa rasmi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Atajwe tumtemeshe huo mshikoLeo anateketezwa rasmi
Sugu jimbo la mbeya aisee mnajidanganya hivyo hivyo kwa urais.
Tulia anahitajika sana mbeya same Magufuli akiwa rais mbeya itapaa.
Sent from my Infinix X650B using JamiiForums mobile app
Usishupaze ubongo, ukweli unaufahamu. Tatizo lenu CHADEMA mnatiana moyo kwenye mambo mnayoona hayawezekani kabisa na uhalisia upo wazi...Tulia anahitajika Mbeya na nani ?
Brother ni kwa kura za wazi kabisa.JE NI KWA KULA ZA WAZI?
Ijapokuwa jiji la Mbeya halihitaji Mbunge Msela linahitaji Mbunge wa rika zote.
Hivi hujui hata watu wa kuwadanganya ?Usishupaze ubongo, ukweli unaufahamu. Tatizo lenu CHADEMA mnatiana moyo kwenye mambo mnayoona hayawezekani kabisa na uhalisia upo wazi...
Haya tukutane ruanda nzovwe.
Sent from my Infinix X650B using JamiiForums mobile app
Sasa wewe mimi nakuja hadi jina la utoto wako nitashindwaje kukudanganya.Hivi hujui hata watu wa kuwadanganya ?
Endeleeni kula hela za Tulia , lakini kipigo atakachopata hamtaaminiSasa wewe mimi nakuja hadi jina la utoto wako nitashindwaje kukudanganya.
Sent from my Infinix X650B using JamiiForums mobile app
Mkaropoke na nyie. Tuwasikie.Samia alichoropoka amechokoza nyuki , ajiandae kwa kipigo kitakatifu , hakutakuwa na mswalie mtume
Siku matokeo yana tangazwa nitakuwa hapo mlangoni kwako.Endeleeni kula hela za Tulia , lakini kipigo atakachopata hamtaamini
Umeshafungasha virago kwani? October siyo mbali, unahamia nchi gani?Lissu ni Rais mtake msitake manyang'au nyie matanga"
Hiyo pombe atainywa mwenyekiti, ihifadhini tuu.Twende na Lissu,.....
ile pombe sijui chang'aa rudisha huko burigi...
#mitano ya wahutu imetosha#
Rais wa ufipa kwa baba mkwe ofisini.Kampeni za Rais mtarajiwa wa Tandale kwa tumbo.
huna hojaRais wa ufipa kwa baba mkwe ofisini.
Tulia hofu imetandaaMwaka 2015 huu ndio uliluwa umati pale Mbeya mjini ngoja tuone leo Lisu atapata idadi gani maana anajifanya yeye ni zaidi ya Lowasa
View attachment 1559263
Sio kila post lazima uchangie nyingine unapita kimya kimya tu sio mbayaKwanini anatengeneza misururu ya watu huyu tundulisu kwa kipindi hiki cha korona?
Inamaana chadema na nyie mumekubali kuua wanainchi wa Tanzania jamaaniii?
Chadema na tundulisu kwanini mnatengeneza misongamano ya watu huku mkijua korona ipoo??
Au mnaunangana na MAGUFULI anasema korona haipo Tanzania?
Semeni ukweli au nanyie mumeshaunga juhudi za raisi magufuli???
Tandale kwa miguu yakoKampeni za Rais mtarajiwa wa Tandale kwa tumbo.
shukrani sana kwa kufuatilia ChademaMwaka 2015 huu ndio uliluwa umati pale Mbeya mjini ngoja tuone leo Lisu atapata idadi gani maana anajifanya yeye ni zaidi ya Lowasa
View attachment 1559263
Kwa hiyo kaishiwa SeraHuyo ni miongoni mwa watakaolipuliwa leo na huenda akajitoa baada ya kuumbuliwa