Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
Asante kwa kuchangiaKwa hiyo kaishiwa Sera
Kwani wananchi Wa Mbeya wanataka kusikia milipuko.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Asante kwa kuchangiaKwa hiyo kaishiwa Sera
Kwani wananchi Wa Mbeya wanataka kusikia milipuko.
Sugu moto chini, haaa..
Jiandae kisaikolojiaRais mtarajiwa wa Mioyo ya CDM na siyo Rwis mtarajiwa JMT.
Jibu hojaaSio kila post lazima uchangie nyingine unapita kimya kimya tu sio mbaya
una hoja gani weweJibu hojaa
Limekukwama hilooo
Poleee
[emoji23][emoji23][emoji23]Tandale kwa miguu yako
Korona imeisha?una hoja gani wewe
Na Mungu abariki juhudi zetu za kuchangia kampeni za CHADEMA hadi kieleweke.Mungu ibariki Chadema
Nyie mbwa mlisema akienda Mwanza hatapata hata mtu mmoja.... Haya kavunja rekodi zote kwa umati wa maelfu kwa maelfu.......Mwaka 2015 huu ndio uliluwa umati pale Mbeya mjini ngoja tuone leo Lisu atapata idadi gani maana anajifanya yeye ni zaidi ya Lowasa
View attachment 1559263
Hii ni saa ya ukomboziMbeya mmeanza kutufokea mapema sana. Jiwe ataparalyze huko aliko leo. Yaani hapa ni Mbalizi watu wanamsubiri Lissu waende naye Ruanda Nzovwe yaani. View attachment 1559387
Magufuli anastahiki kazi ndogo ndogo..... Tundu Lissu ndio rais wetuLazima aapishwe tu bwana yule ameshakiri hadharani