kopites
JF-Expert Member
- Jan 28, 2015
- 9,229
- 11,531
Leteni live.sio vipande vipandeMungu ibariki Chadema
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Leteni live.sio vipande vipandeMungu ibariki Chadema
Safari hii jiwe atazima jukwaaniMbeya mmeanza kutufokea mapema sana. Jiwe ataparalyze huko aliko leo. Yaani hapa ni Mbalizi watu wanamsubiri Lissu waende naye Ruanda Nzovwe yaani. View attachment 1559387
Itafaa uje tena November kukumbushia huu ujumbe wako Mkuu.Lissu ni Rais mtake msitake manyang'au nyie matanga"
Mbeya na Songwe this time tutachukua majimbo 7 in total.Kyela hesabu tayari wamepoteza
asante kwa ushuhudaNimepishana na msafala wake maeneo ya Mwanjelwa, huyu jamaa amepata mapokezi makubwa sana. Ingekuwa mikoa yote wameamka kama hawa Mbeya, kwa maoni yangu kusingekuwa na chama kinaitwa CCM madarakani.
Mmejaribu kidogo hapo mmepata watuMungu ibariki Chadema
Ha ha ha ha naona mitandaoni Leo hapatoshi. Nawaza mkimaliza Mbeya na Iringa mtafanyaje
Asimame atubu kwanza kwa madhambi yote aliyofanya kwa waTz na nchi yao na MUNGU wetu muumba.Jiwe mwenyewe hahitajiki ije kuwa huyo Tulia aliyeingizwa bungeni kwa mlango wa nyuma. Asisahau kuwataja wazee wa goli la mkono waliopitisha ubunge wa viti maalum bila kupingwa ili waende Zanzibar kusaidia kuiba kura kama walivyofanya 2015 kwenye chumba chao masaki .View attachment 1559451
Umejitaidi Nazgur!Mmejaribu kidogo hapo mmepata watu
AMEN.P1 tutashinda, kila la kheri
Kwani ni wakati wa kupiga kura?Mbeya mjini inawapiga kura zaidi ya laki moja, hapo kuna wastani Wa watu 15 elfu. Ingawa sijaona picha ya drone.
Wapo wapiga kura laki moja siwaoni hapo. Ngoja tusubiri Tulia naye tutathimini
Huwezi kulaumiwa, matumaini yanaongeza maisha!! Hapo ukizingatia na dawa, mwaka utaumaliza na mchakato wa transition of power utauona!Mbeya mjini inawapiga kura zaidi ya laki moja, hapo kuna wastani Wa watu 15 elfu. Ingawa sijaona picha ya drone.
Wapo wapiga kura laki moja siwaoni hapo. Ngoja tusubiri Tulia naye tutathimini
Nimetoa angalizo la kufurahia mafuriko bila ya kuangalia nyuma ya pazia kuna wapiga kura wangapi.Kwani ni wakati wa kupiga kura?
Kumbe ndio maana mnajaza wasanii.Nimetoa angalizo la kufurahia mafuriko bila ya kuangalia nyuma ya pazia kuna wapiga kura wangapi.
Ni angalizo tu, ili mafuriko yasituaminishe ushindi.