Uchaguzi 2020 Kampeni za Tundu Lissu zaingia rasmi kanda ya Nyasa, Mbeya Mjini

Uchaguzi 2020 Kampeni za Tundu Lissu zaingia rasmi kanda ya Nyasa, Mbeya Mjini

Hii ndio yenyewe
Magufuli anastahiki kazi ndogo ndogo..... Tundu Lissu ndio rais wetu
IMG_20200905_131243.jpeg
 
Rwanda nzovwe ndio pale Edward Lowasa memorial stadium?
 
Kwanini anatengeneza misururu ya watu huyu tundulisu kwa kipindi hiki cha korona?
Inamaana chadema na nyie mumekubali kuua wanainchi wa Tanzania jamaaniii?
Chadema na tundulisu kwanini mnatengeneza misongamano ya watu huku mkijua korona ipoo??
Au mnaunangana na MAGUFULI anasema korona haipo Tanzania?
Semeni ukweli au nanyie mumeshaunga juhudi za raisi magufuli???
Subiri. Weka kwanza Corona pembeni. Tunataka kieleweke kwanza halafu tutapambana na Korona baadaye.
 
Tulia anahitajika Mbeya na nani ?
Jiwe mwenyewe hahitajiki ije kuwa huyo Tulia aliyeingizwa bungeni kwa mlango wa nyuma. Asisahau kuwataja wazee wa goli la mkono waliopitisha ubunge wa viti maalum bila kupingwa ili waende Zanzibar kusaidia kuiba kura kama walivyofanya 2015 kwenye chumba chao masaki .
Screenshot_20200904-134627.png
 
Wakuu natanguliza salamu , baada ya salamu naanza na kuomba radhi kwa usumbufu wetu wa habari zetu za kampeni zinazomiminika kama mvua za masika , hatuna jinsi ni lazima tuhakikishe nchi inakombolewa .

Taarifa ya leo inaonyesha kwamba Mgombea wa Chadema anayepewa nafasi kubwa ya kushinda Urais wa Tanzania Mh Lissu atakuwepo Viwanja vya Ruanda Nzovwe , ambapo atazindua kampeni za kanda hiyo , lakini kubwa zaidi ni kuwataja hadharani viongozi wote wanaohujumu uchaguzi huu na ahadi walizopewa na hata hela walizolipwa .

View attachment 1559139

UPDATES
========

View attachment 1559436


Video : Mapokezi yake mazito yasababisha barabara kuanza kupata nyufa , jionee mwenyewe
Lissu hali ya hewa inamwendea vizuri sana.
 
Jiwe mwenyewe hahitajiki ije kuwa huyo Tulia aliyeingizwa bungeni kwa mlango wa nyuma. Asisahau kuwataja wazee wa goli la mkono waliopitisha ubunge wa viti maalum bila kupingwa ili waende Zanzibar kusaidia kuiba kura kama walivyofanya 2015 kwenye chumba chao masaki .View attachment 1559451
Anauliza ana dhambi gani?? Hazijui?
 
Wakuu natanguliza salamu , baada ya salamu naanza na kuomba radhi kwa usumbufu wetu wa habari zetu za kampeni zinazomiminika kama mvua za masika , hatuna jinsi ni lazima tuhakikishe nchi inakombolewa .

Taarifa ya leo inaonyesha kwamba Mgombea wa Chadema anayepewa nafasi kubwa ya kushinda Urais wa Tanzania Mh Lissu atakuwepo Viwanja vya Ruanda Nzovwe , ambapo atazindua kampeni za kanda hiyo , lakini kubwa zaidi ni kuwataja hadharani viongozi wote wanaohujumu uchaguzi huu na ahadi walizopewa na hata hela walizolipwa .

View attachment 1559139

UPDATES
========

View attachment 1559436


Video : Mapokezi yake mazito yasababisha barabara kuanza kupata nyufa , jionee mwenyewe
ASNTE KWA TAARIFA MURUA. endelea kutuhabarisha safari za Rais TAL
 
Back
Top Bottom