Kapwil
JF-Expert Member
- Apr 3, 2018
- 2,625
- 3,735
Hii ndio yenyewe
Magufuli anastahiki kazi ndogo ndogo..... Tundu Lissu ndio rais wetu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Magufuli anastahiki kazi ndogo ndogo..... Tundu Lissu ndio rais wetu
Subiri. Weka kwanza Corona pembeni. Tunataka kieleweke kwanza halafu tutapambana na Korona baadaye.Kwanini anatengeneza misururu ya watu huyu tundulisu kwa kipindi hiki cha korona?
Inamaana chadema na nyie mumekubali kuua wanainchi wa Tanzania jamaaniii?
Chadema na tundulisu kwanini mnatengeneza misongamano ya watu huku mkijua korona ipoo??
Au mnaunangana na MAGUFULI anasema korona haipo Tanzania?
Semeni ukweli au nanyie mumeshaunga juhudi za raisi magufuli???
Jiwe mwenyewe hahitajiki ije kuwa huyo Tulia aliyeingizwa bungeni kwa mlango wa nyuma. Asisahau kuwataja wazee wa goli la mkono waliopitisha ubunge wa viti maalum bila kupingwa ili waende Zanzibar kusaidia kuiba kura kama walivyofanya 2015 kwenye chumba chao masaki .Tulia anahitajika Mbeya na nani ?
Lissu hali ya hewa inamwendea vizuri sana.Wakuu natanguliza salamu , baada ya salamu naanza na kuomba radhi kwa usumbufu wetu wa habari zetu za kampeni zinazomiminika kama mvua za masika , hatuna jinsi ni lazima tuhakikishe nchi inakombolewa .
Taarifa ya leo inaonyesha kwamba Mgombea wa Chadema anayepewa nafasi kubwa ya kushinda Urais wa Tanzania Mh Lissu atakuwepo Viwanja vya Ruanda Nzovwe , ambapo atazindua kampeni za kanda hiyo , lakini kubwa zaidi ni kuwataja hadharani viongozi wote wanaohujumu uchaguzi huu na ahadi walizopewa na hata hela walizolipwa .
View attachment 1559139
UPDATES
========
View attachment 1559436
Video : Mapokezi yake mazito yasababisha barabara kuanza kupata nyufa , jionee mwenyewe
Hivi chadema huwa furaha mnaipata wapi. Cheki watu walivyo na furaha na simu zao mikononi na hata mmoja hatalalamika kuibiwa simu. Njoo sasa huku dodoma kwa wanaccm unaibiwa hadi chupi uliyovaaVideo :Mapokezi y Lissu yasababisha Tetemeko la ardhi .
Anauliza ana dhambi gani?? Hazijui?Jiwe mwenyewe hahitajiki ije kuwa huyo Tulia aliyeingizwa bungeni kwa mlango wa nyuma. Asisahau kuwataja wazee wa goli la mkono waliopitisha ubunge wa viti maalum bila kupingwa ili waende Zanzibar kusaidia kuiba kura kama walivyofanya 2015 kwenye chumba chao masaki .View attachment 1559451
✌✌✌Lissu for lifeee
Mtamuua jiwe nyie jamaa...Video :Mapokezi y Lissu yasababisha Tetemeko la ardhi .
This time jimbo la Rungwe ccm watalipoteza.Nimefurahi kuona hata bendera ya A. C. T wazalendo inapepea vijiji vingi tu wilaya ya RUNGWE na wafuasi wake wakiongezeka.
Kyela hesabu tayari wamepotezaThis time jimbo la Rungwe ccm watalipoteza.
Na Kyela huenda wakalipoteza pia
ASNTE KWA TAARIFA MURUA. endelea kutuhabarisha safari za Rais TALWakuu natanguliza salamu , baada ya salamu naanza na kuomba radhi kwa usumbufu wetu wa habari zetu za kampeni zinazomiminika kama mvua za masika , hatuna jinsi ni lazima tuhakikishe nchi inakombolewa .
Taarifa ya leo inaonyesha kwamba Mgombea wa Chadema anayepewa nafasi kubwa ya kushinda Urais wa Tanzania Mh Lissu atakuwepo Viwanja vya Ruanda Nzovwe , ambapo atazindua kampeni za kanda hiyo , lakini kubwa zaidi ni kuwataja hadharani viongozi wote wanaohujumu uchaguzi huu na ahadi walizopewa na hata hela walizolipwa .
View attachment 1559139
UPDATES
========
View attachment 1559436
Video : Mapokezi yake mazito yasababisha barabara kuanza kupata nyufa , jionee mwenyewe
utawekewaNaomba link ya kuangalia mkutano live!
Huko mbeya ni sheeeeeeeeeda
Tuwekeeni jamaniutawekewa