Uchaguzi 2020 Kampeni za Tundu Lissu zaingia rasmi kanda ya Nyasa, Mbeya Mjini

Uchaguzi 2020 Kampeni za Tundu Lissu zaingia rasmi kanda ya Nyasa, Mbeya Mjini

Huwezi kulaumiwa, matumaini yanaongeza maisha!! Hapo ukizingatia na dawa, mwaka utaumaliza na mchakato wa transition of power utauona!
Ndoto za mchana bila tathmini ni ndoto zisizo na matumaini.

Hapo Mbeya Tulia atashinda asubuhi, wapiga kura wako home na wengine wanendelea na shughuli zao. Maamuzi wlishafanya zamani sana. Tukutane October 28
 
Ndoto za mchana bila tathmini ni ndoto zisizo na matumaini.

Hapo Mbeya Tulia atashinda asubuhi, wapiga kura wako home na wengine wanendelea na shughuli zao. Maamuzi wlishafanya zamani sana. Tukutane October 28
Na wengine wanaangalia Simba na Ihefu?!😅 Kumbuka kusali pia, stress na kupanic siyo mambo mazuri kwa afya!
 
Ni yeyeeeeee
IMG_4027.jpg

IMG_4028.jpg

IMG_4026.jpg

IMG_4025.jpg

IMG_4024.jpg

IMG_4023.jpg

IMG_4022.jpg

IMG_4021.jpg
 
Na wengine wanaangalia Simba na Ihefu?!😅 Kumbuka kusali pia, stress na kupanic siyo mambo mazuri kwa afya!
Hata hujui kama ligi inaanza kesho. Mbeya hawataki tena porojo za majukwaani, wanataka maendeleo safari hii.

Safari mmeletewa kisiki Tulia. Sugu kesha panic tayari
 
Hapa Tabata Dar es salaam Leo ambapo uzinduzi wa CHADEMA ulidoda .Cheki CCM


Wewe ndo huyo MC? Kila mahali upon vizuri, bonge la Toto! Hata kama kichwani kuna mapungufu, nashauri wadau tumkubali dada yetu Yehodaya, kama alivyo!
 
Hata hujui kama ligi inaanza kesho. Mbeya hawataki tena porojo za majukwaani, wanataka maendeleo safari hii.

Safari mmeletewa kisiki Tulia. Sugu kesha panic tayari
Kumbe ligi ni kesho? Nashukuru kwa kunielewesha! Ila si unamkosea dada yetu kumwita kisiki, labda fito, si ungekua unakaribiana na uhalisia, kama ni lugha ya picha unatumia?!
 
Back
Top Bottom