Hawezi kubali hàta akiwa kwenye hatua za mwisho za uhai wake.Aweke Tume Huru hajipendi?Acha ng'ombe achinjwe jinsi alivyolala au alivyonguka.Tutamgeuzia Kiblah wakati wa kumchuna na kumla.
Tusikubali,hata kwa Tume hii tukipiga kura kwa wingi na kuzilinda halafu tunazihesabu tukiwepo hadharani kama walivyofanya wajumbe,tuone kama atapata ngapi.Akishinda kihalali atangazwe,vinginevyo ni ubatili na hatutakuwa tayari. No Hate No Fear.
Tusikubali,hata kwa Tume hii tukipiga kura kwa wingi na kuzilinda halafu tunazihesabu tukiwepo hadharani kama walivyofanya wajumbe,tuone kama atapata ngapi.Akishinda kihalali atangazwe,vinginevyo ni ubatili na hatutakuwa tayari. No Hate No Fear.