Uchaguzi 2020 Kampeni za Uchaguzi mkuu - 2020 mitandaoni ni mtifuano wa kufa mtu kati ya TEAM Tundu Lissu (CHADEMA) vs TEAM John Magufuli (CCM)

Uchaguzi 2020 Kampeni za Uchaguzi mkuu - 2020 mitandaoni ni mtifuano wa kufa mtu kati ya TEAM Tundu Lissu (CHADEMA) vs TEAM John Magufuli (CCM)

Hawezi kubali hàta akiwa kwenye hatua za mwisho za uhai wake.Aweke Tume Huru hajipendi?Acha ng'ombe achinjwe jinsi alivyolala au alivyonguka.Tutamgeuzia Kiblah wakati wa kumchuna na kumla.
Tusikubali,hata kwa Tume hii tukipiga kura kwa wingi na kuzilinda halafu tunazihesabu tukiwepo hadharani kama walivyofanya wajumbe,tuone kama atapata ngapi.Akishinda kihalali atangazwe,vinginevyo ni ubatili na hatutakuwa tayari. No Hate No Fear.
 
Sema CCM wengi ni mafukara hata mlo wa siku unawashinda wataziweza smartphone?

Wewe ushukuru tu hilo bando la Lumumba vinginevyo tusingekusoma humu!
Ni shida sana mtu unapoamua kuidanganya hata nafsi yako mwenyewe!

Ccm inajua nini inafanya, nyie endeleeni kushabikia kelele za mitandaoni
 
Katika hali ya kawaida CCM itakuwa inajidanganya sana kudhania watanzania na ugumu wa maisha ya watu ulivyo hii awamu wanayo hamu hata kusikia hicho chama. Kila mtu amechoka mno tuvumiliane ifike tu October siyo mbali. Kwa ugumu wa maisha sasa hivi hata angekuwa amejenga flyover mikoa yote na kukamilisha kabisa ujenzi wa SGR asingeweza kupata kura watu wameumizwa sana na ugumu wa maisha. Jana kuna doctor mmoja alisema kuna mgonjwa aliletwa hospitalini mme akawa amebeba kuku kwamba atauza apate pesa ya matibabu alizunguka na kuku siku nzima bila kupata mnunuzi ikabidi amuombe doctor achukuwe huyo kuku na kumtibu mgonjwa wake. Maisha kama hayo ndo mwananchi atapigia kura CCM kweli tusuburi tuone.
Kwa sanduku la kura ccm wataangukia pua saa 2 asubuhi.. ila kwa wizi wanaweza kupeta
 
Hawezi kubali hàta akiwa kwenye hatua za mwisho za uhai wake.Aweke Tume Huru hajipendi?Acha ng'ombe achinjwe jinsi alivyolala au alivyonguka.Tutamgeuzia Kiblah wakati wa kumchuna na kumla.
Tusikubali,hata kwa Tume hii tukipiga kura kwa wingi na kuzilinda halafu tunazihesabu tukiwepo hadharani kama walivyofanya wajumbe,tuone kama atapata ngapi.Akishinda kihalali atangazwe,vinginevyo ni ubatili na hatutakuwa tayari. No Hate No Fear.
Na hii ndo kauli mbiu ya mwaka huu. Tunapiga kura kituoni, tunazilinda, tunashuhudia zikihesabiwa kwa uwazi hapohapo na matokeo yote kuanzia udiwani, ubunge hadi uraisi yanatangazwa hapo hapo kituoni. Mwaka huu ndo mwisho wa udhalimu wote wa CCM kama wanaweza watupige risasi wote. Arrest warrant ya ICC zinawasubiri!
 
Crimea

CCM tangu mwaka 1995, hawajawahi kushinda uchaguzi kwa njia halali...

Ukweli huu CCM wanaujua. Sisi tunaujua. Na kila mtu anaujua...

Hizi tambo za;

".....mtashinda mitandaoni lakini Oktoba 28 tutawaonesha kazi...."

Zimejengwa ktk msingi wa kutumia mbinu zilezile haramu za ushindi wa CCM. Mbinu za kupindua matokeo kwa aliyeshindwa kupewa matokeo ya aliyeshinda...

Crimea, hiyo mbinu mwaka huu 2020 iko "paralyzed", haitafanya kazi tena. Wakitaka kuiamusha, kupora ushindi wa aliyeshinda na kumpa mshindwa, MOTO WAKE UTAKUWA SI WA KITOTO.....!!

Hakuna Jeshi ama polisi ama bunduki ama maji washa yanaweza kuuzima moto huo....

CCM na MAGUFULI kushinda kwa sanduku la kura (ballot box) ni ndoto....

Mnategemea ushindi kwa mbinu za wizi wa kura?.....Hakika ninyi haziwatoshi....!!!
Ukweli mchungu huu.. hata jecha na Lubuva ni mashahidi
 
Lissu atashangazwa kivipi wakati kwa opinion poll anaongoza kwa asilimia 70+. Hakuna namna magufuli anaweza mshinda Tundu Lissu ndugu yangu nakwambia. There is no way. Never
Weka hapa tuone,

Baada ya oktoba tunataka tuone hizi id zenu zikiwa active kama hivi sasa msije mkajificha kwa id mpya tu
 
Mkuu hayo yote uliyosema ndiyo hayo hayo yatatumiwa na CCM october. Wataiba, watapindua matokeo na maisha yataendelea hivi hivi kama kawaida. Watz tunaongea sana lakini vitendo ni zero. Magu amepiga marufuku mikutano na maandamano ambayo katiba ya nchi inaruhusu kwa miaka mitano, na hakuna chama kilichothubutu kufanya chochote zaidi ya kusema tu na kulalamika.

Watu wamebomolewa nyumba zao kukiwa na zuio la mahakama na wakakaa kimya.Hakuna utawala wa sheria, Nchi hii imeendeshwa kifalme, neno la mkulu ndilo limekuwa sheria, watu kimyaa!

Hiyo october itafika sitegemei maajabu, kura tutapiga na hata LISSU akishinda unategemea hii tume ya uchaguzi ambayo ni ya CCM imtangaze Lissu mshindi?!?!
Thubutu!
Hoja fikirishi.. yanatakiwa majibu makini hapa
 
Crimea

CCM tangu mwaka 1995, hawajawahi kushinda uchaguzi kwa njia halali...

Ukweli huu CCM wanaujua. Sisi tunaujua. Na kila mtu anaujua...

Hizi tambo za;

".....mtashinda mitandaoni lakini Oktoba 28 tutawaonesha kazi...."

Zimejengwa ktk msingi wa kutumia mbinu zilezile haramu za ushindi wa CCM. Mbinu za kupindua matokeo kwa aliyeshindwa kupewa matokeo ya aliyeshinda...

Crimea, hiyo mbinu mwaka huu 2020 iko "paralyzed", haitafanya kazi tena. Wakitaka kuiamusha, kupora ushindi wa aliyeshinda na kumpa mshindwa, MOTO WAKE UTAKUWA SI WA KITOTO.....!!

Hakuna Jeshi ama polisi ama bunduki ama maji washa yanaweza kuuzima moto huo....

CCM na MAGUFULI kushinda kwa sanduku la kura (ballot box) ni ndoto....

Mnategemea ushindi kwa mbinu za wizi wa kura?.....Hakika ninyi haziwatoshi....!!!
Tatizo lako unaiangalia tz kupitia facebook, jf, twitter na Instagram.
 
Weka hapa tuone,

Baada ya oktoba tunataka tuone hizi id zenu zikiwa active kama hivi sasa msije mkajificha kwa id mpya tu
Tukutane October ndugu. Mie nakuonea huruma wewe. Watu tunaenda kuandika historia Tanzania mwaka huu!!
 
Nakuambia hivi, labda mbinu zilezile zilizotumika kwenye uchaguzi wa marudio na uchaguzi wa SM ndio zitumike na sasa. Ni kweli ccm inaweza kushinda lakini sio kwa margin ya kutambia mliyoitegemea. Watu wengi wanaojitambua tuko na kadi zetu za kura, kilichokuwa kimekosekana ni ari baada ya ushenzi wa wazi kwenye uchaguzi, bila kuwa na mtu wa kusema sasa basi.
Ni wewe pekeeako ndio mwenye hicho kitambulisho!

Hivi mtu na akili zake yuko hapa anamshabikia Lisu na kusema Magufuli mwisho wake umefika alafu kesho unamsikia anaulizia kadi ya kura wakati huu?

Hamko serious aisee.
 
Wapiga kura waliojiandikisha ni takribani milioni 29 wametapakaa vijiji elfu 12 na miji yote wakinufaika na mambo aliyoyafanya JPM
. Walioko mitandaoni ni sehemu ndogo sana ya wapiga kura.

JPM ana mtaji wa kutosha wa mamilioni ya wapiga kura vijijini na mijini wanaonufaika na huduma za afya katika zahanati na vituo vya afya kila kijiji na kata, hospitali za wilaya na mikoa zilizojengwa, kukarabatiwa na kupewa madaktari bingwa na madaktari wapya kuajiriwa; elimu bure kuanzia chekechea hadi form IV, huduma za maji safi sehemu nyingi na zile anbazo bado miradi ya maji inajengwa na iko mbioni kukamilika; barabara za lami zimekamilika na zingine zinaendelea kujengwa; madaraja yanayounganisha wilaya na wilaya yamejengwa na mengine yanaendelea kujengwa; meli mpya katika maziwa makuu, bandari katika maziwa makuu zinajengwa na kupanuliwa; relu ya kisasa ya SGR, umeme wa Stigler gorge na wa vyanzo vya gesi Kinyerezi II na kwingineko; stand za mabasi na masoko ya mazao ya wakulima yamejengwa. Hayo ni baadhi tu ya mambo yatakayombeba asubuhi kweupe anashinda tena kwa kishindo.
Kama hizi porojo zako ni kweli, kwa nini mmekuwa mkitumia fedha nyingi saana za umma kununua madiwani na wabunge wa upinzani?? Ccm ishachokwa kitambo mkuu
 
Ni wewe pekeeako ndio mwenye hicho kitambulisho!

Hivi mtu na akili zake yuko hapa anamshabikia Lisu na kusema Magufuli mwisho wake umefika alafu kesho unamsikia anaulizia kadi ya kura wakati huu?

Hamko serious aisee.
Mi mwenyewe nawashangaaa eti Lissu aingie ikulu 😆😆
 
Huko kwenye kombe si ndio kama ule uchaguzi wa SM za mitaa ambao hata mnaona aibu kuungolea?
Mkuu,! Ushindi haujawahi kupatikana kupitia coment za jf, fecebook, twitter na Instagram,

Kura zipo huku kitaa huku ndio unaweza kuchukua sample ya ushindi,
 
Unajua ndo maana Mimi natamani sana matumizi ya nguvu kuiondoa ccm madarakani maana mwanaccm hata akienda shule bado hawezi kuelemika.Serikali ni Mali ya watanzania wote na inatumia pesa inayolipwa na watanzania wote kujiendesha na kutatua kero za watanzania.Ccm tumewapa tu waiongoze, Ila kitendo Cha kujimilikisha serikali yetu na Kisha kuzitumia kwa maslahi ya chama Chao ni dharau na matumizi mabaya ya pesa zetu.ninavyotamani nguvu itumike then itokee nimkute mtu fulani kwenye mtaro? Lazima nimnyonye mate kwanza aisee
Mkuu kwani sasa si ufanye hivyo? Au unasubiri nani afanye?
 
Na hii ndo kauli mbiu ya mwaka huu. Tunapiga kura kituoni, tunazilinda, tunashuhudia zikihesabiwa kwa uwazi hapohapo na matokeo yote kuanzia udiwani, ubunge hadi uraisi yanatangazwa hapo hapo kituoni. Mwaka huu ndo mwisho wa udhalimu wote wa CCM kama wanaweza watupige risasi wote. Arrest warrant ya ICC zinawasubiri!
Utaratibu unaopendekeza hapa ni mzuri, lkn je umeidhinishwa? Maana policcm watafukuza watu vituoni ili kupisha wizi wa ccm yao!
 
Utaratibu unaopendekeza hapa ni mzuri, lkn je umeidhinishwa? Maana policcm watafukuza watu vituoni ili kupisha wizi wa ccm yao!
Wajaribu kufukuza tu ila wajue kuna arrest warrant zipo standby ICC
 
Ni wewe pekeeako ndio mwenye hicho kitambulisho!

Hivi mtu na akili zake yuko hapa anamshabikia Lisu na kusema Magufuli mwisho wake umefika alafu kesho unamsikia anaulizia kadi ya kura wakati huu?

Hamko serious aisee.

Sioni tatizo sana maana sio kila mwenye kitambulisho anapiga kura. 2015, wapiga kura walikuwa 22m+, lakini waliopiga hawakuvuka 15m+.watu milioni 6+ hawakupiga kura. Hiyo maana yake ni kuwa 1/3 hawakupiga kura. Yaani kila watu watatu waliojiandikisha kupiga kura, mmoja hakupiga kura.

Kwa taarifa yako hata idadi ya wapiga kura iliyojiandikisha kupiga kura 2015 inaweza isifikiwe na wapiga kura wa safari hii, na wangalau ujio wa Tundu Lisu ndio utapandisha idadi ya wapiga kura. Kubali kataa, bila cdm kukaza kuwa watashiriki uchaguzi huu, wapiga kura wasingeweza kufika 10m, maana kitendo cha wapinzani wenye ushawishi kususia, automatically uchaguzi unakosa mvuto, ambapo hata wanaccm hawawezi kuhamisika.

Ni ukweli usiopingika kuwa cdm inakubalika zaidi na vijana, huku ccm ikikubalika na wazee zaidi, vijana wenye uelewa finyu na wachache wasaka fursa. Kwa mwenendo wa awamu hii ya tano ilivyonajisi box la kura, imesababisha box la kura kudharauliwa sana na wananchi wengi, hivyo vyama vyote vitagombea wapiga kura chini ya 20m, ambao wengi ni wenye vitambulisho vya 2015.
 
Kwa humu Jf hakika chadema imechukua nchi! Shida ni kwenye box la kura....
 
Back
Top Bottom