Ni shida sana mtu unapoamua kuidanganya hata nafsi yako mwenyewe!Sema CCM wengi ni mafukara hata mlo wa siku unawashinda wataziweza smartphone?
Wewe ushukuru tu hilo bando la Lumumba vinginevyo tusingekusoma humu!
Kwa sanduku la kura ccm wataangukia pua saa 2 asubuhi.. ila kwa wizi wanaweza kupetaKatika hali ya kawaida CCM itakuwa inajidanganya sana kudhania watanzania na ugumu wa maisha ya watu ulivyo hii awamu wanayo hamu hata kusikia hicho chama. Kila mtu amechoka mno tuvumiliane ifike tu October siyo mbali. Kwa ugumu wa maisha sasa hivi hata angekuwa amejenga flyover mikoa yote na kukamilisha kabisa ujenzi wa SGR asingeweza kupata kura watu wameumizwa sana na ugumu wa maisha. Jana kuna doctor mmoja alisema kuna mgonjwa aliletwa hospitalini mme akawa amebeba kuku kwamba atauza apate pesa ya matibabu alizunguka na kuku siku nzima bila kupata mnunuzi ikabidi amuombe doctor achukuwe huyo kuku na kumtibu mgonjwa wake. Maisha kama hayo ndo mwananchi atapigia kura CCM kweli tusuburi tuone.
Na hii ndo kauli mbiu ya mwaka huu. Tunapiga kura kituoni, tunazilinda, tunashuhudia zikihesabiwa kwa uwazi hapohapo na matokeo yote kuanzia udiwani, ubunge hadi uraisi yanatangazwa hapo hapo kituoni. Mwaka huu ndo mwisho wa udhalimu wote wa CCM kama wanaweza watupige risasi wote. Arrest warrant ya ICC zinawasubiri!Hawezi kubali hàta akiwa kwenye hatua za mwisho za uhai wake.Aweke Tume Huru hajipendi?Acha ng'ombe achinjwe jinsi alivyolala au alivyonguka.Tutamgeuzia Kiblah wakati wa kumchuna na kumla.
Tusikubali,hata kwa Tume hii tukipiga kura kwa wingi na kuzilinda halafu tunazihesabu tukiwepo hadharani kama walivyofanya wajumbe,tuone kama atapata ngapi.Akishinda kihalali atangazwe,vinginevyo ni ubatili na hatutakuwa tayari. No Hate No Fear.
Oktoba siyo mbali mkuu,!Huko huko field mwaka huu tunakuja kuwatumbua mimba
Ukweli mchungu huu.. hata jecha na Lubuva ni mashahidiCrimea
CCM tangu mwaka 1995, hawajawahi kushinda uchaguzi kwa njia halali...
Ukweli huu CCM wanaujua. Sisi tunaujua. Na kila mtu anaujua...
Hizi tambo za;
".....mtashinda mitandaoni lakini Oktoba 28 tutawaonesha kazi...."
Zimejengwa ktk msingi wa kutumia mbinu zilezile haramu za ushindi wa CCM. Mbinu za kupindua matokeo kwa aliyeshindwa kupewa matokeo ya aliyeshinda...
Crimea, hiyo mbinu mwaka huu 2020 iko "paralyzed", haitafanya kazi tena. Wakitaka kuiamusha, kupora ushindi wa aliyeshinda na kumpa mshindwa, MOTO WAKE UTAKUWA SI WA KITOTO.....!!
Hakuna Jeshi ama polisi ama bunduki ama maji washa yanaweza kuuzima moto huo....
CCM na MAGUFULI kushinda kwa sanduku la kura (ballot box) ni ndoto....
Mnategemea ushindi kwa mbinu za wizi wa kura?.....Hakika ninyi haziwatoshi....!!!
Weka hapa tuone,Lissu atashangazwa kivipi wakati kwa opinion poll anaongoza kwa asilimia 70+. Hakuna namna magufuli anaweza mshinda Tundu Lissu ndugu yangu nakwambia. There is no way. Never
Hoja fikirishi.. yanatakiwa majibu makini hapaMkuu hayo yote uliyosema ndiyo hayo hayo yatatumiwa na CCM october. Wataiba, watapindua matokeo na maisha yataendelea hivi hivi kama kawaida. Watz tunaongea sana lakini vitendo ni zero. Magu amepiga marufuku mikutano na maandamano ambayo katiba ya nchi inaruhusu kwa miaka mitano, na hakuna chama kilichothubutu kufanya chochote zaidi ya kusema tu na kulalamika.
Watu wamebomolewa nyumba zao kukiwa na zuio la mahakama na wakakaa kimya.Hakuna utawala wa sheria, Nchi hii imeendeshwa kifalme, neno la mkulu ndilo limekuwa sheria, watu kimyaa!
Hiyo october itafika sitegemei maajabu, kura tutapiga na hata LISSU akishinda unategemea hii tume ya uchaguzi ambayo ni ya CCM imtangaze Lissu mshindi?!?!
Thubutu!
Tatizo lako unaiangalia tz kupitia facebook, jf, twitter na Instagram.Crimea
CCM tangu mwaka 1995, hawajawahi kushinda uchaguzi kwa njia halali...
Ukweli huu CCM wanaujua. Sisi tunaujua. Na kila mtu anaujua...
Hizi tambo za;
".....mtashinda mitandaoni lakini Oktoba 28 tutawaonesha kazi...."
Zimejengwa ktk msingi wa kutumia mbinu zilezile haramu za ushindi wa CCM. Mbinu za kupindua matokeo kwa aliyeshindwa kupewa matokeo ya aliyeshinda...
Crimea, hiyo mbinu mwaka huu 2020 iko "paralyzed", haitafanya kazi tena. Wakitaka kuiamusha, kupora ushindi wa aliyeshinda na kumpa mshindwa, MOTO WAKE UTAKUWA SI WA KITOTO.....!!
Hakuna Jeshi ama polisi ama bunduki ama maji washa yanaweza kuuzima moto huo....
CCM na MAGUFULI kushinda kwa sanduku la kura (ballot box) ni ndoto....
Mnategemea ushindi kwa mbinu za wizi wa kura?.....Hakika ninyi haziwatoshi....!!!
Tukutane October ndugu. Mie nakuonea huruma wewe. Watu tunaenda kuandika historia Tanzania mwaka huu!!Weka hapa tuone,
Baada ya oktoba tunataka tuone hizi id zenu zikiwa active kama hivi sasa msije mkajificha kwa id mpya tu
Ni wewe pekeeako ndio mwenye hicho kitambulisho!Nakuambia hivi, labda mbinu zilezile zilizotumika kwenye uchaguzi wa marudio na uchaguzi wa SM ndio zitumike na sasa. Ni kweli ccm inaweza kushinda lakini sio kwa margin ya kutambia mliyoitegemea. Watu wengi wanaojitambua tuko na kadi zetu za kura, kilichokuwa kimekosekana ni ari baada ya ushenzi wa wazi kwenye uchaguzi, bila kuwa na mtu wa kusema sasa basi.
Kama hizi porojo zako ni kweli, kwa nini mmekuwa mkitumia fedha nyingi saana za umma kununua madiwani na wabunge wa upinzani?? Ccm ishachokwa kitambo mkuuWapiga kura waliojiandikisha ni takribani milioni 29 wametapakaa vijiji elfu 12 na miji yote wakinufaika na mambo aliyoyafanya JPM
. Walioko mitandaoni ni sehemu ndogo sana ya wapiga kura.
JPM ana mtaji wa kutosha wa mamilioni ya wapiga kura vijijini na mijini wanaonufaika na huduma za afya katika zahanati na vituo vya afya kila kijiji na kata, hospitali za wilaya na mikoa zilizojengwa, kukarabatiwa na kupewa madaktari bingwa na madaktari wapya kuajiriwa; elimu bure kuanzia chekechea hadi form IV, huduma za maji safi sehemu nyingi na zile anbazo bado miradi ya maji inajengwa na iko mbioni kukamilika; barabara za lami zimekamilika na zingine zinaendelea kujengwa; madaraja yanayounganisha wilaya na wilaya yamejengwa na mengine yanaendelea kujengwa; meli mpya katika maziwa makuu, bandari katika maziwa makuu zinajengwa na kupanuliwa; relu ya kisasa ya SGR, umeme wa Stigler gorge na wa vyanzo vya gesi Kinyerezi II na kwingineko; stand za mabasi na masoko ya mazao ya wakulima yamejengwa. Hayo ni baadhi tu ya mambo yatakayombeba asubuhi kweupe anashinda tena kwa kishindo.
Koma kutamka jina la YESU kwenye upuuzi wako..Kwa mitandaoni Magufuli aka Yesu kapigwa vibaya mno na mbeba maono mwana wa Africa Tundu Lissu!
Hakika lina heri tumbo lililomzaa
Mi mwenyewe nawashangaaa eti Lissu aingie ikulu 😆😆Ni wewe pekeeako ndio mwenye hicho kitambulisho!
Hivi mtu na akili zake yuko hapa anamshabikia Lisu na kusema Magufuli mwisho wake umefika alafu kesho unamsikia anaulizia kadi ya kura wakati huu?
Hamko serious aisee.
Mkuu,! Ushindi haujawahi kupatikana kupitia coment za jf, fecebook, twitter na Instagram,Huko kwenye kombe si ndio kama ule uchaguzi wa SM za mitaa ambao hata mnaona aibu kuungolea?
Mkuu kwani sasa si ufanye hivyo? Au unasubiri nani afanye?Unajua ndo maana Mimi natamani sana matumizi ya nguvu kuiondoa ccm madarakani maana mwanaccm hata akienda shule bado hawezi kuelemika.Serikali ni Mali ya watanzania wote na inatumia pesa inayolipwa na watanzania wote kujiendesha na kutatua kero za watanzania.Ccm tumewapa tu waiongoze, Ila kitendo Cha kujimilikisha serikali yetu na Kisha kuzitumia kwa maslahi ya chama Chao ni dharau na matumizi mabaya ya pesa zetu.ninavyotamani nguvu itumike then itokee nimkute mtu fulani kwenye mtaro? Lazima nimnyonye mate kwanza aisee
Utaratibu unaopendekeza hapa ni mzuri, lkn je umeidhinishwa? Maana policcm watafukuza watu vituoni ili kupisha wizi wa ccm yao!Na hii ndo kauli mbiu ya mwaka huu. Tunapiga kura kituoni, tunazilinda, tunashuhudia zikihesabiwa kwa uwazi hapohapo na matokeo yote kuanzia udiwani, ubunge hadi uraisi yanatangazwa hapo hapo kituoni. Mwaka huu ndo mwisho wa udhalimu wote wa CCM kama wanaweza watupige risasi wote. Arrest warrant ya ICC zinawasubiri!
Wajaribu kufukuza tu ila wajue kuna arrest warrant zipo standby ICCUtaratibu unaopendekeza hapa ni mzuri, lkn je umeidhinishwa? Maana policcm watafukuza watu vituoni ili kupisha wizi wa ccm yao!
Ni wewe pekeeako ndio mwenye hicho kitambulisho!
Hivi mtu na akili zake yuko hapa anamshabikia Lisu na kusema Magufuli mwisho wake umefika alafu kesho unamsikia anaulizia kadi ya kura wakati huu?
Hamko serious aisee.