Uchaguzi 2020 Kampeni za Uchaguzi mkuu - 2020 mitandaoni ni mtifuano wa kufa mtu kati ya TEAM Tundu Lissu (CHADEMA) vs TEAM John Magufuli (CCM)

Uchaguzi 2020 Kampeni za Uchaguzi mkuu - 2020 mitandaoni ni mtifuano wa kufa mtu kati ya TEAM Tundu Lissu (CHADEMA) vs TEAM John Magufuli (CCM)

Wapiga kura waliojiandikisha ni takribani milioni 29 wametapakaa vijiji elfu 12 na miji yote wakinufaika na mambo aliyoyafanya JPM
. Walioko mitandaoni ni sehemu ndogo sana ya wapiga kura.

JPM ana mtaji wa kutosha wa mamilioni ya wapiga kura vijijini na mijini wanaonufaika na huduma za afya katika zahanati na vituo vya afya kila kijiji na kata, hospitali za wilaya na mikoa zilizojengwa, kukarabatiwa na kupewa madaktari bingwa na madaktari wapya kuajiriwa; elimu bure kuanzia chekechea hadi form IV, huduma za maji safi sehemu nyingi na zile anbazo bado miradi ya maji inajengwa na iko mbioni kukamilika; barabara za lami zimekamilika na zingine zinaendelea kujengwa; madaraja yanayounganisha wilaya na wilaya yamejengwa na mengine yanaendelea kujengwa; meli mpya katika maziwa makuu, bandari katika maziwa makuu zinajengwa na kupanuliwa; relu ya kisasa ya SGR, umeme wa Stigler gorge na wa vyanzo vya gesi Kinyerezi II na kwingineko; stand za mabasi na masoko ya mazao ya wakulima yamejengwa. Hayo ni baadhi tu ya mambo yatakayombeba asubuhi kweupe anashinda tena kwa kishindo.
Unadhani way hujapata like .

Sent from my SM-A605FN using JamiiForums mobile app
 
Isitoshe Uchaguzi Mkuu ujao si kati ya Lissu na Magufuli bali Lissu dhidi ya wagombea wengine wa Urais.

Nguvu na muda mwingi unatumika kumpamba Lissu kupitia mgongoni mwa Magufuli na Lissu naye kakamatwa na ugonjwa huo. Mwisho wa siku Lissu na wapambe wake watashangazwa na matokeo. Kwa utabiri wangu Lissu atapitwa kura na wagombea wengine

Nina mambo mawili kushea nawe;

1. Uchaguzi wowote ni siasa halisi. Uchaguzi unahusu kumpamba kwa uzuri mgombea wako huku upande wa pili wa wapinzani wako wakitafuta udhaifu wako personally na wakati mwingine SERA na MIPANGO yako na kukubomoa....

Kwa hiyo hili la Tundu Lissu kupambwa lisikukere bali fahamu kuwa, mambo ndivyo yalivyo. Na hata wewe unayo nafasi wa kumpamba utakavyo mgombea unayedhani anakufaa hata kama ni Prof. Ibrahimu Lipumba....

2. Kuhusu baadae kushangaa Tundu Lissu kupata kura kidogo pengine hata kuzidiwa na mgombea wa SAU aliyeingia ofisi za NEC akiwa pekupeku....

Sijui umetumia vigezo vipi kuja na wazo hili. Hii inaonesha kuwa, wewe hata kusikia tu huwezi kusikia; ama hata kuona huoni na wala hujisumbui kujifunza historia...

Naomba nikurejeshe kwenye historia ya CHADEMA kwa kigezo cha ushiriki wa chaguzi za huko nyuma....

Tuanze na uchaguzi mkuu wa 2005 ambapo CHADEMA kikiwa chama kichanga sana (siyo kiumri bali kimtandao) kilimsimamisha Ndg Freeman Mbowe kugombea Urais dhidi ya Jakaya Kikwete (CCM) na Prof. Ibrahimu Lipumba (CUF)...

Matokeo yalikuwa mazuri sana. Freeman Mbowe alipata kura karibu 800,000 na wabunge zaidi ya 10 na kuongoza halmshauri kadhaa akifuatiwa na Lipumba aliyekuwa na kura 1,000,000+ na mshindi akawa JK

Mwaka 2010, CHADEMA wakamsimamisha Dr Willbroad Slaa. Graph ikapaa sana kwa kupata kura 2,600,000+ na viti vya ubunge wa majimbo vya kutosha zaidi ya 30 + halmshauri kadhaa....

Mwaka 2015, CHADEMA wakamsimamisha Ndg Edward Lowassa. Pamoja na kuibiwa kura nyingi na kupewa huyu Rais magumashi wa sasa, CHADEMA alipata kura zaidi 6,000,000+ na wabunge wa majimbo zaidi ya 60 + halmashauri zaidi ya 6....

Katika chaguzi za mwaka 1995 na 2000, CHADEMA hawakusimamisha mgombea URAIS...

Kwa takwimu hizi, unaweza kuona kuwa, graph ya CHADEMA iko very stable, haijawahi kushuka wala kutetereka...

Na kwa taarifa yako, hakuna uchaguzi rahisi kati ya chaguzi zote zilizopita kama huu wa mwaka huu 2020. Ni kwa sababu, katika marais wote wa CCM waliotawala nchi, hakuna Rais mbovu na wa hovyo kama ndugu John Pombe Magufuli....!!

And on the other hand, hakuna ktk chaguzi zote zilizopita za 2005, 2010, na 2015 ambapo CHADEMA wameweka mgombea bora wa Urais na mwenye nguvu ya ushawishi kama Tundu A.M Lissu huku chama kikiwa kimeimarika kimtandao na kirasrimali watu na fedha kama ktk uchaguzi mkuu wa mwaka huu 2020....!!

Nakuambia jambo moja muhimu kuwa, nyie watu msioamini juu ya nguvu ya MAJIRA na NYAKATI kuwa, CCM, Magufuli na ninyi wafuasi wake ndiyo ambao mtashangazwa na matokeo ya uchaguzi wa mwaka huu....!

Nikukumbushe hili pia kuwa, JOHN MAGUFULI mwaka 2015 alipata ushindi hafifu wa 56% ya kura zote...

Na historia inaonesha kuwa, hakuna mgombea Urais wa CCM anayerudia muhula wake wa pili aliyewahi kuongeza % ya kura anapogombea ktk muhula wa pili bali wote hushuka....!!!

Sasa huyu Magufuli ambaye ktk miaka yake mitano kaharibu nchi hii kwa viwango vya kutisha na 2015 akishinda ushindi dhaifu wa 56%, unadhani mwaka huu ata drop kwa % ngapi?....

Jibu ni hili: 56% - 20 = 36%....!!
 
Sioni tatizo sana maana sio kila mwenye kitambulisho anapiga kura. 2015, wapiga kura walikuwa 22m+, lakini waliopiga hawakuvuka 15m+.watu milioni 6+ hawakupiga kura. Hiyo maana yake ni kuwa 1/3 hawakupiga kura. Yaani kila watu watatu waliojiandikisha kupiga kura, mmoja hakupiga kura.

Kwa taarifa yako hata idadi ya wapiga kura iliyojiandikisha kupiga kura 2015 inaweza isifikiwe na wapiga kura wa safari hii, na wangalau ujio wa Tundu Lisu ndio utapandisha idadi ya wapiga kura. Kubali kataa, bila cdm kukaza kuwa watashiriki uchaguzi huu, wapiga kura wasingeweza kufika 10m, maana kitendo cha wapinzani wenye ushawishi kususia, automatically uchaguzi unakosa mvuto, ambapo hata wanaccm hawawezi kuhamisika.

Ni ukweli usiopingika kuwa cdm inakubalika zaidi na vijana, huku ccm ikikubalika na wazee zaidi, vijana wenye uelewa finyu na wachache wasaka fursa. Kwa mwenendo wa awamu hii ya tano ilivyonajisi box la kura, imesababisha box la kura kudharauliwa sana na wananchi wengi, hivyo vyama vyote vitagombea wapiga kura chini ya 20m, ambao wengi ni wenye vitambulisho vya 2015.
Ndio maana ni ikakwambia ccm lazima ishinde sababu hao vijana hawana uwezo wa kuwazidi nguvu wazee na kina mama wanaoifagilia ccm,
 
Nina mambo mawili kushea nawe;

1. Uchaguzi wowote ni siasa halisi. Uchaguzi unahusu kumpamba kwa uzuri mgombea wako huku upande wa pili wa wapinzani wako wakitafuta udhaifu wako personally na wakati mwingine SERA na MIPANGO yako na kukubomoa....

Kwa hiyo hili la Tundu Lissu kupambwa lisikukere bali fahamu kuwa, mambo ndivyo yalivyo. Na hata wewe unayo nafasi wa kumpamba utakavyo mgombea unayedhani anakufaa hata kama ni Prof. Ibrahimu Lipumba....

2. Kuhusu baadae kushangaa Tundu Lissu kupata kura kidogo pengine hata kuzidiwa na mgombea wa SAU aliyeingia ofisi za NEC akiwa pekupeku....

Sijui umetumia vigezo vipi kuja na wazo hili. Hii inaonesha kuwa, wewe hata kusikia tu huwezi kusikia; ama hata kuona huoni na wala hujisumbui kujifunza historia...

Naomba nikurejeshe kwenye historia ya CHADEMA kwa kigezo cha ushiriki wa chaguzi za huko nyuma....

Tuanze na uchaguzi mkuu wa 2005 ambapo CHADEMA kikiwa chama kichanga sana (siyo kiumri bali kimtandao) kilimsimamisha Ndg Freeman Mbowe kugombea Urais dhidi ya Jakaya Kikwete (CCM) na Prof. Ibrahimu Lipumba (CUF)...

Matokeo yalikuwa mazuri sana. Freeman Mbowe alipata kura karibu 800,000 na wabunge zaidi ya 10 na kuongoza halmshauri kadhaa akifuatiwa na Lipumba aliyekuwa na kura 1,000,000+ na mshindi akawa JK

Mwaka 2010, CHADEMA wakamsimamisha Dr Willbroad Slaa. Graph ikapaa sana kwa kupata kura 2,600,000+ na viti vya ubunge wa majimbo vya kutosha zaidi ya 30 + halmshauri kadhaa....

Mwaka 2015, CHADEMA wakamsimamisha Ndg Edward Lowassa. Pamoja na kuibiwa kura nyingi na kupewa huyu Rais magumashi wa sasa, CHADEMA alipata kura zaidi 6,000,000+ na wabunge wa majimbo zaidi ya 60 + halmashauri zaidi ya 6....

Katika chaguzi za mwaka 1995 na 2000, CHADEMA hawakusimamisha mgombea URAIS...

Kwa takwimu hizi, unaweza kuona kuwa, graph ya CHADEMA iko very stable, haijawahi kushuka wala kutetereka...

Na kwa taarifa yako, hakuna uchaguzi rahisi kati ya chaguzi zote zilizopita kama huu wa mwaka huu 2020. Ni kwa sababu, katika marais wote wa CCM waliotawala nchi, hakuna Rais mbovu na wa hovyo kama ndugu John Pombe Magufuli....!!

And on the other hand, hakuna ktk chaguzi zote zilizopita za 2005, 2010, na 2015 ambapo CHADEMA wameweka mgombea bora wa Urais na mwenye nguvu ya ushawishi kama Tundu A.M Lissu huku chama kikiwa kimeimarika kimtandao na kirasrimali watu na fedha kama ktk uchaguzi mkuu wa mwaka huu 2020....!!

Nakuambia jambo moja muhimu kuwa, nyie watu msioamini juu ya mabadiliko ya MAJIRA na NYAKATI kuwa, CCM na Magufuli mgombea wenu na ninyi wafuasi wake ndiyo ambao mtashangazwa na matokeo ya uchaguzi wa mwaka huu....!

Nikukumbushe hili pia kuwa, JOHN MAGUFULI mwaka 2015 alishinda kwa kupata kura 56% ya kura zote...

Na historia inaonesha kuwa, hakuna mgombea wa CCM anayerudia muhula wake wa pili aliyewahi kuongeza % ya kura bali wote hushuka....!!!

Sasa huyu Magufuli ambaye ktk miaka yake mitano kaharibu nchi hii na 2015 alishinda kwa 56%, unadhani mwaka huu ata drop mpaka % ngapi?....

Jibu ni hili: 56% - 20 = 36%%%....!!
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] Vituko hivi
 
Ni bao la mkono tu ndilo linaweza kuiokoa ccm mwaka huu.
This is very interesting, kwa kweli...

Kwa mujibu wa Tume ya Uchaguzi ya Taifa (NEC), kampeni rasmi za kila mgombea za nchi kavu, angani au majini za kutembea kijiji kwa kijiji, kata kwa kata, jimbo kwa jimbo Tanzania nzima zitaanza trh 26/8/2020....

Lakini kampeni zisizo rasmi za MTU kwa MTU au NYUMBA kwa NYUMBA na hasahasa za kupitia mitandao ya kijamii (social media) zenyewe hazihitaji ruhusa ya mtu ama chombo chochote cha kisheria. Hizi zilishaanza muda mrefu tangu ama pengine labda kabla hata ya mwezi May, 2020...

Nimefanya utafiti wangu fast fast kwa kupitia baadhi mitandao ya kijamii maarufu zaidi kama JF, Instagram, Twitter, Facebook, Telegram, YouTube nk, mjadala unao - trend kwa sana ni uchaguzi mkuu Tanzania - 2020....

Mijadala hii inawahusisha wagombea wawili; Tundu Lissu (CHADEMA) na Magufuli Pombe ( CCM)....

Kwa uwazi kabisa, mtu aweza kusema kuwa ni timu mbili zinazotifuana na kupambana vilivyo....

Upande huu ipo TEAM TUNDU LISSU - CHADEMA + vyama shindani vilivyo nje ya serikali...

Upande wa pili ipo TEAM POMBE MAGUFULI + serikali nzima + NEC + baadhi ya TISS waasi wa ethics za utumishi wao + baadhi ya maafisa wa polisi waasi wa ethics za Utumishi wao + mahakama ikihusisha baadhi ya Mahakimu/majaji waasi wa ethics zao za utumishi + Msajili wa vyama vya siasa + vyama washirika vilivyo nje ya serikali kama UDP ya Cheyo, TLP ya Mrema, NCCR - Mageuzi ya Mbatia na vingine...

JWTZ sitawaingiza hapa kwa sababu, ktk uchaguzi wa mwaka huu 2020, hawa wameshatoa clear statement kuwa, JESHI HALINA CHAMA CHA SIASA. Kwa hiyo tunawapa "benefit of doubt" ya kuwa wanamaanisha walichokisema....

Mijadala ni mikali sana ktk kila mtandao. Upepo unaonekana kuivumia vibaya TEAM POMBE MAGUFULI - CCM. Wanaonekana kuzidiwa kwa hoja ktk kila idara na mpinzani wao TEAM TUNDU LISSU - CHADEMA....

Sasa waneona, the best option kwao ni kuanza kurusha matusi ya nguoni wakijifaragua na kudhani hiyo ndiyo njia ya ku - neutralize hoja za washindani wao. Huu ni utoto wa shule....!

Imefikia mahali wanatishia kuua mtu kwa RISASI za SMG ama AK47. Na pia wanatisha vyombo vya habari Redio na TV kutorusha lolote kuhusu Tundu Lissu. Magazeti yote neutral yalishauwawa na kuzikwa. Kwa kweli hali ya mgombea wao na CCM kwa ujumla haileti matumaini SI NZURI, ni MAHUTUTI inaweza "kufa" wakati wowote....!

Mtifuano wa timu hizi mbili wiki mbili zilizopita ulikuwa unaonesha kuwa PRAISE TEAM MAGUFULI - CCM ingeweza ushinda kwa goli la mkono huku TEAM TUNDU LISSU - CHADEMA, wachezaji wake wakiwa wanyonge na wasio na ari ya mchezo kabisa kutokana na mashambulizi ya wapinzani wao....

Wapinzani wa TEAM TUNDU LISSU - CHADEMA yaani TEAM MAGUFULI - CCM ktk namna fulani ya ajabu, ilianza kupata "back up" kutoka TEAM MEMBE - ACT WAZALENDO....

Lakini baada ya ujio wa Tundu Lissu, hiyo "back up" haina kazi tena. Iko kila dalili kuwa, TIMU MEMBE itaungana na TIMU LISSU dhidi ya TIMU POMBE - CCM....

Mashambulizi ya TEAM PRAISE MAGUFULI - CCM yalilenga zaidi kukata stimu na ari ya TEAM TUNDU LISSU. Hoja zao zilikuwa hizi. Kwamba, TUNDU LISSU;

å Hawezi kurudi huyo toka Ubelgiji...

å Ni mkimbizi wa kisiasa huyo, harudi TZ ...

å Kanunuliwa na "mabeberu" huyo, harudi....

å Akija lazima tumuue huyo, na safari hii hatukosei target...

å Akija huyo, pingu zinamsubiri hapohapo uwanja wa ndege....

Eti hoja yao ikiwa ni "kwa kuichafua serikali na Rais wao" akiwa nje ya nchi....

Looh, hawa jamaa mazuzu kweli kweli. Na hawa eti ndiyo "think tank" ya "JIWE" naarufu kama LB7 FC..!!

å Akija, hana sifa ya "kimaadili" ya kugombea Ubunge ama Urais....!!

HOJA hizi ziliinyong'onyeza kuvunja ari ya mpambano kabisa TEAM TUNDU LISSU - CHADEMA....

Tangazo la kurudi nyumbani tarehe 27/7/2020 la Tundu Lissu, lilianza kuamusha ari ya vita ya TEAM TUNDU LISSU - CHADEMA....

Matumaini ya TEAM TUNDU LISSU - CHADEMA yaliyokuwa ya mashaka, yaligeuka kuwa ya KWELI, HALISI na HAKIKA tarehe 27/7/2020 saa 7.30mchana pale Tundu Lissu alipoikanyaga ardhi ya Tanzania baada ya miaka mitatu kuwa nje kwa matibabu...

Hii iligeuza kabisa sura ya mpambano. Unyonge, kunyong'onyea na kukata tamaa na kukosa ari ukawa upande wa TEAM POMBE MAGUFULI - CCM. Wakawa "paralyzed" ghafla wasijue nini cha kufanya. Ndipo walipogundua kuwa assumptions zao zote zile hapo juu kwa wafuasi wao ilikuwa ni UONGO na KUWALISHA upepo tu....!

Mgeuko huu hasi na wa ghafla dhidi ya PRAISE TEAM MAGUFULI - CCM ukanikumbusha fainali ya mwaka 2004/2005 ya UEFA Champion League kati ya AC MILAN FC (Italy) vs LIVERPOOL FC (England)...

Hii ilikuwa moja ya historical UEFA Champion League finals kuwahi kushuhudiwa na wapenzi wa soka duniani...

Mpaka kipindi cha kwanza kinaisha, AC MILAN FC walikuwa mbele kwa goli 3 huku LIVERPOOL FC wakiwa hawana goli (0)...

Second period ilipoanza, wapenzi wa AC MILAN na wachezaji wao, hawakuamini kilichotokea uwanjani. Liverpool FC, walirudisha goli zote hadi dakika 45 za kipindi cha pili zinamalizika....

Dakika 30 zikaongezwa bila mshindi kupatikana. Wakaingia kwenye matuta (penalties). Liverpool FC wakiubuka kidedea kwa ushindi wa penalties 4 - 2 na kutawazwa mabingwa wa Ulaya msimu wa 2004/2005....!!

Huu mpambano wa TUNDU LISSU vs POMBE MAGUFULI naufananisha pia na fainali hii. Tundu Lissu - CHADEMA (Liverpool FC) na Pombe Magufuli - CCM (AC Milan FC)....

Mpaka mwezi Jana (July), Team Pombe Magufuli - CCM walikuwa mbele kwa goli 3 bila. Wiki mbili tu zimepita, Team Tundu Lissu - CHADEMA wamesharudisha goli zote. Tupo kwenye penalty shoot out na mpaka sasa LIVERPOOL FC TEAM TUNDU LISSU wanaongoza kwa goal penalty 3 dhidi ya 1 PRAISE TEAM MAGUFULI - CCM....

Mashabiki wa TEAM POMBE MAFUGULI CCM hawaamini kinachotokea. Vichwa vimeinama chini. Wenye roho ndogo wanarusha chupa za maji uwanjani. Wengine wanarusha matusi kwa wapinzani wao na wachezaji na kocha wao wakiwatuhumu kwa uzembe..

Kwa kifupi hali si shwari kabisa kwa TEAM POMBE - CCM. Ishara na dalili zote zinaonesha kuwa wanapoteza pambano hili ambalo walilitawala sana kipindi cha kwanza....!!

Heko TEAM TUNDU A.M LISSU - CHADEMA....
Kwa mitandaoni Magufuli aka Yesu kapigwa vibaya mno na mbeba maono mwana wa Africa Tundu Lissu!
Hakika lina heri tumbo lililomzaa
Mkuu,,! Tangu technology hii ya simu za smart iingie nchini utaona tangu 2015 chadema ni washindi wa mitandaoni!

Ccm si watu wa makelele, kuna vigogo wako huko ccm wanajua nini cha kufanya ili kupata ushindi! Wanajua ushindi hauko kwenye kelele za mitandaoni kama chadema wafanyavyo!

Kingine, mashabiki wa Lisu hawana tofauti na wale wa Bob Wine yule wa uganda!
Ni mashabiki mihemuko, hutawaona kwenye foreni ya kupiga kura! Mfano kuna mmoja humu ni mshabiki wa Lisu na anajipinda kweli kushambulia hapa jf, lakini juzi nlishangaa anaulizia kitambulisho cha kupigia kura atakipataje [emoji3][emoji3][emoji3][emoji3].
Hao ndio mashabiki wa chadema.

Kwangu mimi 2015 ilinipa somo kubwa sana na inafanya nisiwe na wasiwasi juu ya ushindi wa ccm hapo oktoba.
Hapo kwenye Chadema ongezea ACT wazalendo nao wametangaza leo kumuunga mkono TL
Hahahha.. Subiri oktoba ndio utajua kama mnaishi kwenye computer au laa
Mkuu, you have nailed it! Kama kungekuwa na uwezo wa kutoa "like" zaidi ya moja, ungezipata nyingi kutoka kwangu. Kongole nyingi zikufikie.

Hata kule upande wa Zanzibar, kwa mapokezi ya leo ya ACT Wazalendo, CCM mwaka huu wanalo. Kama kwa kupitia mbinu za medani za kivita, wameshakuwa "manoeuvred" ktk uwanja wa mapambano. Ni Hayati Benjamin William Mkapa pekee ndiye jemedari ambaye angaliweza kuikoa CCM ktk hii hali ya jahazi kutaka kuzama.
Sasa sijui ni kwa vigezo gani Chadema wanadai wameshinda Mitandaoni labda kwa kutukana Sana , hapo nakubali.

Jamaa wanajua kutukana bwana asikwambie mtu.
Isitoshe Uchaguzi Mkuu ujao si kati ya Lissu na Magufuli bali Lissu dhidi ya wagombea wengine wa Urais.

Nguvu na muda mwingi unatumika kumpamba Lissu kupitia mgongoni mwa Magufuli na Lissu naye kakamatwa na ugonjwa huo. Mwisho wa siku Lissu na wapambe wake watashangazwa na matokeo. Kwa utabiri wangu Lissu atapitwa kura na wagombea wengine
Katika hali ya kawaida CCM itakuwa inajidanganya sana kudhania watanzania na ugumu wa maisha ya watu ulivyo hii awamu wanayo hamu hata kusikia hicho chama. Kila mtu amechoka mno tuvumiliane ifike tu October siyo mbali. Kwa ugumu wa maisha sasa hivi hata angekuwa amejenga flyover mikoa yote na kukamilisha kabisa ujenzi wa SGR asingeweza kupata kura watu wameumizwa sana na ugumu wa maisha. Jana kuna doctor mmoja alisema kuna mgonjwa aliletwa hospitalini mme akawa amebeba kuku kwamba atauza apate pesa ya matibabu alizunguka na kuku siku nzima bila kupata mnunuzi ikabidi amuombe doctor achukuwe huyo kuku na kumtibu mgonjwa wake. Maisha kama hayo ndo mwananchi atapigia kura CCM kweli tusuburi tuone.
 
Mkuu,! Ushindi haujawahi kupatikana kupitia coment za jf, fecebook, twitter na Instagram,

Kura zipo huku kitaa huku ndio unaweza kuchukua sample ya ushindi,

Hivi unadhani tulioko huku kwenye mitandao tuko nje ya nchi, na wala hatuko huku mitaani? Ccm walikuwa wanasema wapinzani wana ushawishi mitandaoni tu uchaguzi wa 2015. Matokeo yenye mashaka ya tume isiyo huru yalikuwa mgombea wa ccm kura 8m+, huku wa upinzani akipata 6m+, tena toka kwa mgombea aliyekuwa hawezi kuongea hata dakika 3. Wagombea wa ubunge wa ccm karibia asilimia 20 walishinda ubunge kwa figisu, na wengine kwa tofauti ndogo sana ya kura baina yao na washindani wao.

Baada ya Magufuli kujua hatari wanayoenda kukutana nayo uchaguzi huu, akaanza kutumia madaraka yake vibaya kuzuia wapinzani kufanya siasa kwa mujibu wa sheria, hapa ndio mbinu za kufunga wapinzani zilipoanza, kuteka, kuuwawa kwa wapinzani na ushenzi wote unaojua wewe,ikiwemo kunajisi chaguzi zote ili kuicha ccm ikitamba. Hata kilichowapa ccm nguvu ya kutamka kuwa watashinda uchaguzi huu kabla ya Lisu kurudi, ni mazingira hayo ya hofu waliyopandikiza kwa wapiga kura, na mapenzi bandia waliyoweka.

Na hata uchaguzi huu tayari mazingira ya hatari yanaandaliwa, ili kufanya umafia kwa backup ya vyombo vya dola ili kuibeba ccm. Subiri kampeni zianze na ccm waone mwitikio wa umma kwa vyama vya upinzani. Utaniambia matokeo ya kishenzi yatakavyoshamiri.
 
Hivi unadhani tulioko huku kwenye mitandao tuko nje ya nchi, na wala hatuko huku mitaani? Ccm walikuwa wanasema wapinzani wana ushawishi mitandaoni tu uchaguzi wa 2015. Matokeo yenye mashaka ya tume isiyo huru yalikuwa mgombea wa ccm kura 8m+, huku wa upinzani akipata 6m+, tena toka kwa mgombea aliyekuwa hawezi kuongea hata dakika 3. Wagombea wa ubunge wa ccm karibia asilimia 20 walishinda ubunge kwa figisu, na wengine kwa tofauti ndogo sana ya kura baina yao na washindani wao.

Baada ya Magufuli kujua hatari wanayoenda kukutana nayo uchaguzi huu, akaanza kutumia madaraka yake vibaya kuzuia wapinzani kufanya siasa kwa mujibu wa sheria, hapa ndio mbinu za kufunga wapinzani zilipoanza, kuteka, kuuwawa kwa wapinzani na ushenzi wote unaojua wewe,ikiwemo kunajisi chaguzi zote ili kuicha ccm ikitamba. Hata kilichowapa ccm nguvu ya kutamka kuwa watashinda uchaguzi huu kabla ya Lisu kurudi, ni mazingira hayo ya hofu waliyopandikiza kwa wapiga kura, na mapenzi bandia waliyoweka. Na hata uchaguzi huu tayari mazingira ya hatari yanaandaliwa, ili kufanya umafia kwa backup ya vyombo vya dola ili kuibeba ccm. Subiri kampeni zianze na ccm waone mwitikio wa umma kwa vyama vya upinzani. Utaniambia matokeo ya kishenzi yatakavyoshamiri.
Tusubiri oktoba mkuu
 
Katika hali ya kawaida CCM itakuwa inajidanganya sana kudhania watanzania na ugumu wa maisha ya watu ulivyo hii awamu wanayo hamu hata kusikia hicho chama. Kila mtu amechoka mno tuvumiliane ifike tu October siyo mbali. Kwa ugumu wa maisha sasa hivi hata angekuwa amejenga flyover mikoa yote na kukamilisha kabisa ujenzi wa SGR asingeweza kupata kura watu wameumizwa sana na ugumu wa maisha. Jana kuna doctor mmoja alisema kuna mgonjwa aliletwa hospitalini mme akawa amebeba kuku kwamba atauza apate pesa ya matibabu alizunguka na kuku siku nzima bila kupata mnunuzi ikabidi amuombe doctor achukuwe huyo kuku na kumtibu mgonjwa wake. Maisha kama hayo ndo mwananchi atapigia kura CCM kweli tusuburi tuone.

Very sad indeed...

Wafuasi wa Magufuli watakuja na kusema kuwa, huyo ni mzembe. Alitakiwa afanye kazi kwa sababu eti Magufuli baba yao anasema "HAPA KAZI TU"...
 
Ndio maana ni ikakwambia ccm lazima ishinde sababu hao vijana hawana uwezo wa kuwazidi nguvu wazee na kina mama wanaoifagilia ccm,

Vijana ndio wengi nchi hii. Zamani ccm ilikuwa inasema vijana hawapigi kura, bali akina mama, sasa hivi vijana ndio wapiga kura wengi. Hii ndio maana ccm haitaki tume huru ya uchaguzi, na inategemea zaidi vyombo vya dola. Na sababu hasa ya ccm kupata mbeleko ya vyombo vya dola ni kofia ya mwenyekiti wao ambaye ana kofia ya urais. Ni vigumu sana kujua saa ngapi mwenyekiti wa ccm ni mwenyekiti au rais, na hata taasisi zote zinatii maagizo ya ccm, kwakuwa mwenyekiti wake anaitumia kofia ya urais kuzitisha taasisi za kimamlaka kutokana na katiba mbovu.

Madaraka ya urais ya mwenyekiti wa ccm,
ndio nguvu pekee ya ccm na wala sio ushawishi wa kisiasa,. Hata hii nguvu ambayo ccm wanajisifia wanayo hivi sasa, ni kwakuwa mwenyekiti wake anatumia madaraka yake ya urais vibaya kunyanyasa vyama vya upinzani, huku akikipendelea chama chake waziwazi kinyume kabisa na katiba.
 
Mkuu,,! Tangu technology hii ya simu za smart iingie nchini utaona tangu 2015 chadema ni washindi wa mitandaoni!

Ccm si watu wa makelele, kuna vigogo wako huko ccm wanajua nini cha kufanya ili kupata ushindi! Wanajua ushindi hauko kwenye kelele za mitandaoni kama chadema wafanyavyo!

Kingine, mashabiki wa Lisu hawana tofauti na wale wa Bob Wine yule wa uganda!
Ni mashabiki mihemuko, hutawaona kwenye foreni ya kupiga kura! Mfano kuna mmoja humu ni mshabiki wa Lisu na anajipinda kweli kushambulia hapa jf, lakini juzi nlishangaa anaulizia kitambulisho cha kupigia kura atakipataje [emoji3][emoji3][emoji3][emoji3].
Hao ndio mashabiki wa chadema.

Kwangu mimi 2015 ilinipa somo kubwa sana na inafanya nisiwe na wasiwasi juu ya ushindi wa ccm hapo oktoba.
Unataka kusema technology haina faida? Safi sana, endelea hivyo hivyo na akili zako, dalili ya serikali kuangukia pua ipo karibu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Chadema mnashinda mitandaoni si kwasababu hamna kazi,mlitimuliwa vyeti feki na kwenye upigaji.

Wooh...!!

Nawe umewaza na kisha kuandika kwa kutumia kichwa na mikono yako kweli...!!???

Usitake niamini kuwa umetumia kiungo kingine kuwaza kisha ukaandika...
 
Anapanga kujiondoa na kumuunga mkono lissu bado kutangaza tuu
Membe yuko katika ballot process just in case watamfanyia Lissu figisu. Na kutangaza kumuunga mkono ni kimkakati pia ili kama (iff) Lissu atatenguliwa basi CDM waweze kurejesha favour.

Kwa kifupi tu, joto au baridi, NDULI atoke tu!
 
Hawezi kubali hàta akiwa kwenye hatua za mwisho za uhai wake.Aweke Tume Huru hajipendi?Acha ng'ombe achinjwe jinsi alivyolala au alivyonguka.Tutamgeuzia Kiblah wakati wa kumchuna na kumla.
Tusikubali,hata kwa Tume hii tukipiga kura kwa wingi na kuzilinda halafu tunazihesabu tukiwepo hadharani kama walivyofanya wajumbe,tuone kama atapata ngapi.Akishinda kihalali atangazwe,vinginevyo ni ubatili na hatutakuwa tayari. No Hate No Fear.

Hakika, hili ndilo linalopaswa kufanyika....

Kuna tetesi kuwa JWTZ wamekataa ujinga wa kuhusishwa na siasa....

CDF - Mabeyo ambaye ni "homeboy" wa Jiwe ameshindwa kuwashawishi mabrigedia wakuu wa vikosi kumuunga mkono homeboy wake kufanya kazi ya polisi ya "kuchakaza" raia ktk uchaguzi huu ili mradi ashinde....

Kwa NEC hii, KANUNI hizihizi, Polisi hawahawa, TISS hawahawa, wasimamizi hawahawa, CCM na Magufuli ni mwisho wao...lazima waondoke...

Kama ulivyosema, kampeni zianze sasa kuhamasisha watu kwenda kupiga kura kwa wingi against CCM na tuhakikishe mshindi halali anatangazwa bara na visiwani....

Watu wanahitaji UHURU kamili wa pili toka kwa MKOLONI MWEUSI mwenzetu baada ya ule wa 1961....!!
 
Hivi unadhani tulioko huku kwenye mitandao tuko nje ya nchi, na wala hatuko huku mitaani? Ccm walikuwa wanasema wapinzani wana ushawishi mitandaoni tu uchaguzi wa 2015. Matokeo yenye mashaka ya tume isiyo huru yalikuwa mgombea wa ccm kura 8m+, huku wa upinzani akipata 6m+, tena toka kwa mgombea aliyekuwa hawezi kuongea hata dakika 3. Wagombea wa ubunge wa ccm karibia asilimia 20 walishinda ubunge kwa figisu, na wengine kwa tofauti ndogo sana ya kura baina yao na washindani wao.

Baada ya Magufuli kujua hatari wanayoenda kukutana nayo uchaguzi huu, akaanza kutumia madaraka yake vibaya kuzuia wapinzani kufanya siasa kwa mujibu wa sheria, hapa ndio mbinu za kufunga wapinzani zilipoanza, kuteka, kuuwawa kwa wapinzani na ushenzi wote unaojua wewe,ikiwemo kunajisi chaguzi zote ili kuicha ccm ikitamba. Hata kilichowapa ccm nguvu ya kutamka kuwa watashinda uchaguzi huu kabla ya Lisu kurudi, ni mazingira hayo ya hofu waliyopandikiza kwa wapiga kura, na mapenzi bandia waliyoweka. Na hata uchaguzi huu tayari mazingira ya hatari yanaandaliwa, ili kufanya umafia kwa backup ya vyombo vya dola ili kuibeba ccm. Subiri kampeni zianze na ccm waone mwitikio wa umma kwa vyama vya upinzani. Utaniambia matokeo ya kishenzi yatakavyoshamiri.

Kwa nyongeza, unaweza kunisoma 👇
Hakika, hili ndilo linalopaswa kufanyika....

Kuna tetesi kuwa JWTZ wamekataa ujinga wa kuhusishwa na siasa....

CDF - Mabeyo ambaye ni "homeboy" wa Jiwe ameshindwa kuwashawishi mabrigedia wakuu wa vikosi kumuunga mkono homeboy wake kufanya kazi ya polisi ya "kuchakaza" raia ktk uchaguzi huu ili mradi ashinde....

Kwa NEC hii, KANUNI hizihizi, Polisi hawahawa, TISS hawahawa, wasimamizi hawahawa, CCM na Magufuli ni mwisho wao...lazima waondoke...

Kama ulivyosema, kampeni zianze sasa kuhamasisha watu kwenda kupiga kura kwa wingi against CCM na tuhakikishe mshindi halali anatangazwa bara na visiwani....

Watu wanahitaji UHURU kamili wa pili toka kwa MKOLONI MWEUSI mwenzetu baada ya ule wa 1961....!!
[/QUOTE
 
Vijana ndio wengi nchi hii. Zamani ccm ilikuwa inasema vijana hawapigi kura, bali akina mama, sasa hivi vijana ndio wapiga kura wengi. Hii ndio maana ccm haitaki tume huru ya uchaguzi, na inategemea zaidi vyombo vya dola. Na sababu hasa ya ccm kupata mbeleko ya vyombo vya dola ni kofia ya mwenyekiti wao ambaye ana kofia ya urais. Ni vigumu sana kujua saa ngapi mwenyekiti wa ccm ni mwenyekiti au rais, na hata taasisi zote zinatii maagizo ya ccm, kwakuwa mwenyekiti wake anaitumia kofia ya urais kuzitisha taasisi za kimamlaka kutokana na katiba mbovu.

Madaraka ya urais ya mwenyekiti wa ccm,
ndio nguvu pekee ya ccm na wala sio ushawishi wa kisiasa,. Hata hii nguvu ambayo ccm wanajisifia wanayo hivi sasa, ni kwakuwa mwenyekiti wake anatumia madaraka yake ya urais vibaya kunyanyasa vyama vya upinzani, huku akikipendelea chama chake waziwazi kinyume kabisa na katiba.
Mkuu nenda kwenye page ya Mnyika kule facebook uone maoni ya watu kwenye kile kipande cha hotuba ya Lisu kule dodoma,
 
This is very interesting, kwa kweli...

Kwa mujibu wa Tume ya Uchaguzi ya Taifa (NEC), kampeni rasmi za kila mgombea za nchi kavu, angani au majini za kutembea kijiji kwa kijiji, kata kwa kata, jimbo kwa jimbo Tanzania nzima zitaanza trh 26/8/2020....

Lakini kampeni zisizo rasmi za MTU kwa MTU au NYUMBA kwa NYUMBA na hasahasa za kupitia mitandao ya kijamii (social media) zenyewe hazihitaji ruhusa ya mtu ama chombo chochote cha kisheria. Hizi zilishaanza muda mrefu tangu ama pengine labda kabla hata ya mwezi May, 2020...

Nimefanya utafiti wangu fast fast kwa kupitia baadhi mitandao ya kijamii maarufu zaidi kama JF, Instagram, Twitter, Facebook, Telegram, YouTube nk, mjadala unao - trend kwa sana ni uchaguzi mkuu Tanzania - 2020....

Mijadala hii inawahusisha wagombea wawili; Tundu Lissu (CHADEMA) na Magufuli Pombe ( CCM)....

Kwa uwazi kabisa, mtu aweza kusema kuwa ni timu mbili zinazotifuana na kupambana vilivyo....

Upande huu ipo TEAM TUNDU LISSU - CHADEMA + vyama shindani vilivyo nje ya serikali...

Upande wa pili ipo TEAM POMBE MAGUFULI + serikali nzima + NEC + baadhi ya TISS waasi wa ethics za utumishi wao + baadhi ya maafisa wa polisi waasi wa ethics za Utumishi wao + mahakama ikihusisha baadhi ya Mahakimu/majaji waasi wa ethics zao za utumishi + Msajili wa vyama vya siasa + vyama washirika vilivyo nje ya serikali kama UDP ya Cheyo, TLP ya Mrema, NCCR - Mageuzi ya Mbatia na vingine...

JWTZ sitawaingiza hapa kwa sababu, ktk uchaguzi wa mwaka huu 2020, hawa wameshatoa clear statement kuwa, JESHI HALINA CHAMA CHA SIASA. Kwa hiyo tunawapa "benefit of doubt" ya kuwa wanamaanisha walichokisema....

Mijadala ni mikali sana ktk kila mtandao. Upepo unaonekana kuivumia vibaya TEAM POMBE MAGUFULI - CCM. Wanaonekana kuzidiwa kwa hoja ktk kila idara na mpinzani wao TEAM TUNDU LISSU - CHADEMA....

Sasa waneona, the best option kwao ni kuanza kurusha matusi ya nguoni wakijifaragua na kudhani hiyo ndiyo njia ya ku - neutralize hoja za washindani wao. Huu ni utoto wa shule....!

Imefikia mahali wanatishia kuua mtu kwa RISASI za SMG ama AK47. Na pia wanatisha vyombo vya habari Redio na TV kutorusha lolote kuhusu Tundu Lissu. Magazeti yote neutral yalishauwawa na kuzikwa. Kwa kweli hali ya mgombea wao na CCM kwa ujumla haileti matumaini SI NZURI, ni MAHUTUTI inaweza "kufa" wakati wowote....!

Mtifuano wa timu hizi mbili wiki mbili zilizopita ulikuwa unaonesha kuwa PRAISE TEAM MAGUFULI - CCM ingeweza ushinda kwa goli la mkono huku TEAM TUNDU LISSU - CHADEMA, wachezaji wake wakiwa wanyonge na wasio na ari ya mchezo kabisa kutokana na mashambulizi ya wapinzani wao....

Wapinzani wa TEAM TUNDU LISSU - CHADEMA yaani TEAM MAGUFULI - CCM ktk namna fulani ya ajabu, ilianza kupata "back up" kutoka TEAM MEMBE - ACT WAZALENDO....

Lakini baada ya ujio wa Tundu Lissu, hiyo "back up" haina kazi tena. Iko kila dalili kuwa, TIMU MEMBE itaungana na TIMU LISSU dhidi ya TIMU POMBE - CCM....

Mashambulizi ya TEAM PRAISE MAGUFULI - CCM yalilenga zaidi kukata stimu na ari ya TEAM TUNDU LISSU. Hoja zao zilikuwa hizi. Kwamba, TUNDU LISSU;

å Hawezi kurudi huyo toka Ubelgiji...

å Ni mkimbizi wa kisiasa huyo, harudi TZ ...

å Kanunuliwa na "mabeberu" huyo, harudi....

å Akija lazima tumuue huyo, na safari hii hatukosei target...

å Akija huyo, pingu zinamsubiri hapohapo uwanja wa ndege....

Eti hoja yao ikiwa ni "kwa kuichafua serikali na Rais wao" akiwa nje ya nchi....

Looh, hawa jamaa mazuzu kweli kweli. Na hawa eti ndiyo "think tank" ya "JIWE" naarufu kama LB7 FC..!!

å Akija, hana sifa ya "kimaadili" ya kugombea Ubunge ama Urais....!!

HOJA hizi ziliinyong'onyeza kuvunja ari ya mpambano kabisa TEAM TUNDU LISSU - CHADEMA....

Tangazo la kurudi nyumbani tarehe 27/7/2020 la Tundu Lissu, lilianza kuamusha ari ya vita ya TEAM TUNDU LISSU - CHADEMA....

Matumaini ya TEAM TUNDU LISSU - CHADEMA yaliyokuwa ya mashaka, yaligeuka kuwa ya KWELI, HALISI na HAKIKA tarehe 27/7/2020 saa 7.30mchana pale Tundu Lissu alipoikanyaga ardhi ya Tanzania baada ya miaka mitatu kuwa nje kwa matibabu...

Hii iligeuza kabisa sura ya mpambano. Unyonge, kunyong'onyea na kukata tamaa na kukosa ari ukawa upande wa TEAM POMBE MAGUFULI - CCM. Wakawa "paralyzed" ghafla wasijue nini cha kufanya. Ndipo walipogundua kuwa assumptions zao zote zile hapo juu kwa wafuasi wao ilikuwa ni UONGO na KUWALISHA upepo tu....!

Mgeuko huu hasi na wa ghafla dhidi ya PRAISE TEAM MAGUFULI - CCM ukanikumbusha fainali ya mwaka 2004/2005 ya UEFA Champion League kati ya AC MILAN FC (Italy) vs LIVERPOOL FC (England)...

Hii ilikuwa moja ya historical UEFA Champion League finals kuwahi kushuhudiwa na wapenzi wa soka duniani...

Mpaka kipindi cha kwanza kinaisha, AC MILAN FC walikuwa mbele kwa goli 3 huku LIVERPOOL FC wakiwa hawana goli (0)...

Second period ilipoanza, wapenzi wa AC MILAN na wachezaji wao, hawakuamini kilichotokea uwanjani. Liverpool FC, walirudisha goli zote hadi dakika 45 za kipindi cha pili zinamalizika....

Dakika 30 zikaongezwa bila mshindi kupatikana. Wakaingia kwenye matuta (penalties). Liverpool FC wakiubuka kidedea kwa ushindi wa penalties 4 - 2 na kutawazwa mabingwa wa Ulaya msimu wa 2004/2005....!!

Huu mpambano wa TUNDU LISSU vs POMBE MAGUFULI naufananisha pia na fainali hii. Tundu Lissu - CHADEMA (Liverpool FC) na Pombe Magufuli - CCM (AC Milan FC)....

Mpaka mwezi Jana (July), Team Pombe Magufuli - CCM walikuwa mbele kwa goli 3 bila. Wiki mbili tu zimepita, Team Tundu Lissu - CHADEMA wamesharudisha goli zote. Tupo kwenye penalty shoot out na mpaka sasa LIVERPOOL FC TEAM TUNDU LISSU wanaongoza kwa goal penalty 3 dhidi ya 1 PRAISE TEAM MAGUFULI - CCM....

Mashabiki wa TEAM POMBE MAFUGULI CCM hawaamini kinachotokea. Vichwa vimeinama chini. Wenye roho ndogo wanarusha chupa za maji uwanjani. Wengine wanarusha matusi kwa wapinzani wao na wachezaji na kocha wao wakiwatuhumu kwa uzembe..

Kwa kifupi hali si shwari kabisa kwa TEAM POMBE - CCM. Ishara na dalili zote zinaonesha kuwa wanapoteza pambano hili ambalo walilitawala sana kipindi cha kwanza....!!

Heko TEAM TUNDU A.M LISSU - CHADEMA....
Asante sana mzee
 
Kwa nyongeza, unaweza kunisoma 👇

Mkuu hizo habari kwamba JWTZ wamegoma kuwa makuwadi wa ccm ni za kweli? Kama ni kweli nianze kushawishi kwa nguvu tena jamaa zangu waliogoma kushiriki huo uhuni uitwao uchaguzi.
 
Nina mambo mawili kushea nawe;

1. Uchaguzi wowote ni siasa halisi. Uchaguzi unahusu kumpamba kwa uzuri mgombea wako huku upande wa pili wa wapinzani wako wakitafuta udhaifu wako personally na wakati mwingine SERA na MIPANGO yako na kukubomoa....

Kwa hiyo hili la Tundu Lissu kupambwa lisikukere bali fahamu kuwa, mambo ndivyo yalivyo. Na hata wewe unayo nafasi wa kumpamba utakavyo mgombea unayedhani anakufaa hata kama ni Prof. Ibrahimu Lipumba....

2. Kuhusu baadae kushangaa Tundu Lissu kupata kura kidogo pengine hata kuzidiwa na mgombea wa SAU aliyeingia ofisi za NEC akiwa pekupeku....

Sijui umetumia vigezo vipi kuja na wazo hili. Hii inaonesha kuwa, wewe hata kusikia tu huwezi kusikia; ama hata kuona huoni na wala hujisumbui kujifunza historia...

Naomba nikurejeshe kwenye historia ya CHADEMA kwa kigezo cha ushiriki wa chaguzi za huko nyuma....

Tuanze na uchaguzi mkuu wa 2005 ambapo CHADEMA kikiwa chama kichanga sana (siyo kiumri bali kimtandao) kilimsimamisha Ndg Freeman Mbowe kugombea Urais dhidi ya Jakaya Kikwete (CCM) na Prof. Ibrahimu Lipumba (CUF)...

Matokeo yalikuwa mazuri sana. Freeman Mbowe alipata kura karibu 800,000 na wabunge zaidi ya 10 na kuongoza halmshauri kadhaa akifuatiwa na Lipumba aliyekuwa na kura 1,000,000+ na mshindi akawa JK

Mwaka 2010, CHADEMA wakamsimamisha Dr Willbroad Slaa. Graph ikapaa sana kwa kupata kura 2,600,000+ na viti vya ubunge wa majimbo vya kutosha zaidi ya 30 + halmshauri kadhaa....

Mwaka 2015, CHADEMA wakamsimamisha Ndg Edward Lowassa. Pamoja na kuibiwa kura nyingi na kupewa huyu Rais magumashi wa sasa, CHADEMA alipata kura zaidi 6,000,000+ na wabunge wa majimbo zaidi ya 60 + halmashauri zaidi ya 6....

Katika chaguzi za mwaka 1995 na 2000, CHADEMA hawakusimamisha mgombea URAIS...

Kwa takwimu hizi, unaweza kuona kuwa, graph ya CHADEMA iko very stable, haijawahi kushuka wala kutetereka...

Na kwa taarifa yako, hakuna uchaguzi rahisi kati ya chaguzi zote zilizopita kama huu wa mwaka huu 2020. Ni kwa sababu, katika marais wote wa CCM waliotawala nchi, hakuna Rais mbovu na wa hovyo kama ndugu John Pombe Magufuli....!!

And on the other hand, hakuna ktk chaguzi zote zilizopita za 2005, 2010, na 2015 ambapo CHADEMA wameweka mgombea bora wa Urais na mwenye nguvu ya ushawishi kama Tundu A.M Lissu huku chama kikiwa kimeimarika kimtandao na kirasrimali watu na fedha kama ktk uchaguzi mkuu wa mwaka huu 2020....!!

Nakuambia jambo moja muhimu kuwa, nyie watu msioamini juu ya nguvu ya MAJIRA na NYAKATI kuwa, CCM, Magufuli na ninyi wafuasi wake ndiyo ambao mtashangazwa na matokeo ya uchaguzi wa mwaka huu....!

Nikukumbushe hili pia kuwa, JOHN MAGUFULI mwaka 2015 alipata ushindi hafifu wa 56% ya kura zote...

Na historia inaonesha kuwa, hakuna mgombea Urais wa CCM anayerudia muhula wake wa pili aliyewahi kuongeza % ya kura anapogombea ktk muhula wa pili bali wote hushuka....!!!

Sasa huyu Magufuli ambaye ktk miaka yake mitano kaharibu nchi hii kwa viwango vya kutisha na 2015 akishinda ushindi dhaifu wa 56%, unadhani mwaka huu ata drop kwa % ngapi?....

Jibu ni hili: 56% - 20 = 36%....!!
Fact
 
This is very interesting, kwa kweli...

Kwa mujibu wa Tume ya Uchaguzi ya Taifa (NEC), kampeni rasmi za kila mgombea za nchi kavu, angani au majini za kutembea kijiji kwa kijiji, kata kwa kata, jimbo kwa jimbo Tanzania nzima zitaanza trh 26/8/2020....

Lakini kampeni zisizo rasmi za MTU kwa MTU au NYUMBA kwa NYUMBA na hasahasa za kupitia mitandao ya kijamii (social media) zenyewe hazihitaji ruhusa ya mtu ama chombo chochote cha kisheria. Hizi zilishaanza muda mrefu tangu ama pengine labda kabla hata ya mwezi May, 2020...

Nimefanya utafiti wangu fast fast kwa kupitia baadhi mitandao ya kijamii maarufu zaidi kama JF, Instagram, Twitter, Facebook, Telegram, YouTube nk, mjadala unao - trend kwa sana ni uchaguzi mkuu Tanzania - 2020....

Mijadala hii inawahusisha wagombea wawili; Tundu Lissu (CHADEMA) na Magufuli Pombe ( CCM)....

Kwa uwazi kabisa, mtu aweza kusema kuwa ni timu mbili zinazotifuana na kupambana vilivyo....

Upande huu ipo TEAM TUNDU LISSU - CHADEMA + vyama shindani vilivyo nje ya serikali...

Upande wa pili ipo TEAM POMBE MAGUFULI + serikali nzima + NEC + baadhi ya TISS waasi wa ethics za utumishi wao + baadhi ya maafisa wa polisi waasi wa ethics za Utumishi wao + mahakama ikihusisha baadhi ya Mahakimu/majaji waasi wa ethics zao za utumishi + Msajili wa vyama vya siasa + vyama washirika vilivyo nje ya serikali kama UDP ya Cheyo, TLP ya Mrema, NCCR - Mageuzi ya Mbatia na vingine...

JWTZ sitawaingiza hapa kwa sababu, ktk uchaguzi wa mwaka huu 2020, hawa wameshatoa clear statement kuwa, JESHI HALINA CHAMA CHA SIASA. Kwa hiyo tunawapa "benefit of doubt" ya kuwa wanamaanisha walichokisema....

Mijadala ni mikali sana ktk kila mtandao. Upepo unaonekana kuivumia vibaya TEAM POMBE MAGUFULI - CCM. Wanaonekana kuzidiwa kwa hoja ktk kila idara na mpinzani wao TEAM TUNDU LISSU - CHADEMA....

Sasa waneona, the best option kwao ni kuanza kurusha matusi ya nguoni wakijifaragua na kudhani hiyo ndiyo njia ya ku - neutralize hoja za washindani wao. Huu ni utoto wa shule....!

Imefikia mahali wanatishia kuua mtu kwa RISASI za SMG ama AK47. Na pia wanatisha vyombo vya habari Redio na TV kutorusha lolote kuhusu Tundu Lissu. Magazeti yote neutral yalishauwawa na kuzikwa. Kwa kweli hali ya mgombea wao na CCM kwa ujumla haileti matumaini SI NZURI, ni MAHUTUTI inaweza "kufa" wakati wowote....!

Mtifuano wa timu hizi mbili wiki mbili zilizopita ulikuwa unaonesha kuwa PRAISE TEAM MAGUFULI - CCM ingeweza ushinda kwa goli la mkono huku TEAM TUNDU LISSU - CHADEMA, wachezaji wake wakiwa wanyonge na wasio na ari ya mchezo kabisa kutokana na mashambulizi ya wapinzani wao....

Wapinzani wa TEAM TUNDU LISSU - CHADEMA yaani TEAM MAGUFULI - CCM ktk namna fulani ya ajabu, ilianza kupata "back up" kutoka TEAM MEMBE - ACT WAZALENDO....

Lakini baada ya ujio wa Tundu Lissu, hiyo "back up" haina kazi tena. Iko kila dalili kuwa, TIMU MEMBE itaungana na TIMU LISSU dhidi ya TIMU POMBE - CCM....

Mashambulizi ya TEAM PRAISE MAGUFULI - CCM yalilenga zaidi kukata stimu na ari ya TEAM TUNDU LISSU. Hoja zao zilikuwa hizi. Kwamba, TUNDU LISSU;

å Hawezi kurudi huyo toka Ubelgiji...

å Ni mkimbizi wa kisiasa huyo, harudi TZ ...

å Kanunuliwa na "mabeberu" huyo, harudi....

å Akija lazima tumuue huyo, na safari hii hatukosei target...

å Akija huyo, pingu zinamsubiri hapohapo uwanja wa ndege....

Eti hoja yao ikiwa ni "kwa kuichafua serikali na Rais wao" akiwa nje ya nchi....

Looh, hawa jamaa mazuzu kweli kweli. Na hawa eti ndiyo "think tank" ya "JIWE" naarufu kama LB7 FC..!!

å Akija, hana sifa ya "kimaadili" ya kugombea Ubunge ama Urais....!!

HOJA hizi ziliinyong'onyeza kuvunja ari ya mpambano kabisa TEAM TUNDU LISSU - CHADEMA....

Tangazo la kurudi nyumbani tarehe 27/7/2020 la Tundu Lissu, lilianza kuamusha ari ya vita ya TEAM TUNDU LISSU - CHADEMA....

Matumaini ya TEAM TUNDU LISSU - CHADEMA yaliyokuwa ya mashaka, yaligeuka kuwa ya KWELI, HALISI na HAKIKA tarehe 27/7/2020 saa 7.30mchana pale Tundu Lissu alipoikanyaga ardhi ya Tanzania baada ya miaka mitatu kuwa nje kwa matibabu...

Hii iligeuza kabisa sura ya mpambano. Unyonge, kunyong'onyea na kukata tamaa na kukosa ari ukawa upande wa TEAM POMBE MAGUFULI - CCM. Wakawa "paralyzed" ghafla wasijue nini cha kufanya. Ndipo walipogundua kuwa assumptions zao zote zile hapo juu kwa wafuasi wao ilikuwa ni UONGO na KUWALISHA upepo tu....!

Mgeuko huu hasi na wa ghafla dhidi ya PRAISE TEAM MAGUFULI - CCM ukanikumbusha fainali ya mwaka 2004/2005 ya UEFA Champion League kati ya AC MILAN FC (Italy) vs LIVERPOOL FC (England)...

Hii ilikuwa moja ya historical UEFA Champion League finals kuwahi kushuhudiwa na wapenzi wa soka duniani...

Mpaka kipindi cha kwanza kinaisha, AC MILAN FC walikuwa mbele kwa goli 3 huku LIVERPOOL FC wakiwa hawana goli (0)...

Second period ilipoanza, wapenzi wa AC MILAN na wachezaji wao, hawakuamini kilichotokea uwanjani. Liverpool FC, walirudisha goli zote hadi dakika 45 za kipindi cha pili zinamalizika....

Dakika 30 zikaongezwa bila mshindi kupatikana. Wakaingia kwenye matuta (penalties). Liverpool FC wakiubuka kidedea kwa ushindi wa penalties 4 - 2 na kutawazwa mabingwa wa Ulaya msimu wa 2004/2005....!!

Huu mpambano wa TUNDU LISSU vs POMBE MAGUFULI naufananisha pia na fainali hii. Tundu Lissu - CHADEMA (Liverpool FC) na Pombe Magufuli - CCM (AC Milan FC)....

Mpaka mwezi Jana (July), Team Pombe Magufuli - CCM walikuwa mbele kwa goli 3 bila. Wiki mbili tu zimepita, Team Tundu Lissu - CHADEMA wamesharudisha goli zote. Tupo kwenye penalty shoot out na mpaka sasa LIVERPOOL FC TEAM TUNDU LISSU wanaongoza kwa goal penalty 3 dhidi ya 1 PRAISE TEAM MAGUFULI - CCM....

Mashabiki wa TEAM POMBE MAFUGULI CCM hawaamini kinachotokea. Vichwa vimeinama chini. Wenye roho ndogo wanarusha chupa za maji uwanjani. Wengine wanarusha matusi kwa wapinzani wao na wachezaji na kocha wao wakiwatuhumu kwa uzembe..

Kwa kifupi hali si shwari kabisa kwa TEAM POMBE - CCM. Ishara na dalili zote zinaonesha kuwa wanapoteza pambano hili ambalo walilitawala sana kipindi cha kwanza....!!

Heko TEAM TUNDU A.M LISSU - CHADEMA....
Ni mtifuano kati ya watu wanaojielewa versus mazwazwa ya lumumba.
 
Back
Top Bottom