Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
- Thread starter
- #21
Hapana mkuu , hilo jambo limenisikitisha sana !Kwa hio umefurahi wananchi mnaowaomba kura kukosa huduma kwenye muda wa kazi?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hapana mkuu , hilo jambo limenisikitisha sana !Kwa hio umefurahi wananchi mnaowaomba kura kukosa huduma kwenye muda wa kazi?
DC wa meru naona akielekea maeneo ya viwanja vya relini arusha,,Ni mwalikwa au katoroka kazini?Hii ndio habari inayosambaa kwa kasi Arusha kwa sasa, baadhi ya watu wanaotafuta huduma kwenye maofisi mbalimbali wamelalamika kukosa huduma baada ya maofisa kufika na kusaini kisha kutoroka ili kuwahi Mkutano Mkubwa sana wa Kampeni wa Rais Mtarajiwa Lissu.
Endelea kufuatilia hapa hapa JF kwa habari zaidi
Ila kusema tu ukweli Chadema wakipata hata asilimia 5 ya kura watakuwa wamejitahidi sana..Msisahau kutuwekea link makamanda tuone nyomi yenu 😁 ...
Wapiga picha wanalalamika mnawalazimisha kuchuchumaa wakitaka kupiga picha za mikutano yenu🤣
Mkuu agiza mchemsho nakuja kulipaArusha imezizma niko hapa mataa ya Esso naelekea kumwona Rais
Mkuu maofisi ni matupu kabisa !DC wa meru naona akielekea maeneo ya viwanja vya relini arusha,,Ni mwalikwa au katoroka kazini?
Halafu wenyewe wanakuambia wanashinda Oct, tuna wagonjwa wengi wa akili Tz. 🤣Ila kusema tu ukweli Chadema wakipata hata asilimia 5 ya kura watakuwa wamejitahidi sana..
Walioko maofisini wakumbuke kuusoma waraka na.5 wa mwaka 2014.Mkuu maofisi ni matupu kabisa !
Shukrani kwa kuitambua nguvu ya Chadema KyelaErythrocyte kamanda vipi kampeni Kyela huko, ushindi si saa nne asubuhi tu ?
Fanya mambo basi tajiri, kibopa, billionea wetu Erythrocyte kampeni za kamanda Lissu ziende, raia wamechoka kupitishiwa mabakuli. 😁
Tume ya uchaguzi iangalie uwezekano wa mikutano hii kufanyika week end , maana hizi siku za kazi hizi ni balaa !
Vipi kuhusu mchango wa mabakuli kamanda....Shukrani kwa kuitambua nguvu ya Chadema Kyela
Wewe dada acha uongo! Lema analalamika huko twita nenda kamwone!Hii ndio habari inayosambaa kwa kasi Arusha kwa sasa, baadhi ya watu wanaotafuta huduma kwenye maofisi mbalimbali wamelalamika kukosa huduma baada ya maofisa kufika na kusaini kisha kutoroka ili kuwahi Mkutano Mkubwa sana wa Kampeni wa Rais Mtarajiwa Lissu.
Endelea kufuatilia hapa hapa JF kwa habari zaidi
Kama kawaida, ila haikuhusu. #NiYeyE2020.Mwisho wasiku kura ndo zitaongea kutoroka si inshu sana, vipi mkuu mtapitisha mabakuli?
Mjini Nangurukuru au Sentani NanjilinjiTundu Lissu ndiyo habari ya mjini
Hajalalamika ametoka taarifa. Arusha hawanaga ushamba. Hawajawahi kutuangusha na hawatotuangusha.Wewe dada acha uongo! Lema analalamika huko twita nenda kamwone!