mtanzania1989
JF-Expert Member
- May 20, 2010
- 4,068
- 6,758
Kwa hiyo kamanda unagombania ubunge na darasa la saba wa CCM, ila Dr Mwakyembe ana dharau sana 🤣 .Shukrani kwa kuitambua nguvu ya Chadema Kyela
Interesting part ni huyo darasa la saba anaenda kudondosha vichwa vingine Kyela, billionea Erythrocyte anaenda kula za uso za la saba B.
Toa mchango wa mabakuli billionea Erythrocyte 🤣🤣🤣🤣🤣