Uchaguzi 2020 Kampeni zashika kasi, kishindo cha Tundu Lissu chatikisa Arusha. Shughuli zasimama, wafanyakazi watoroka makazini

Uchaguzi 2020 Kampeni zashika kasi, kishindo cha Tundu Lissu chatikisa Arusha. Shughuli zasimama, wafanyakazi watoroka makazini

tulia bwashee wenzako wanatapatapa na katamasha kao kuna Sunami inatokea KIA inakuja KUFAGIA

stay tuned hapahapa
Tuliambiwa msafara unaenda kuitikisa gogo l mboto jana lakini mpaka sasa hatujaona hata picha ya kutikisa hata bua
 
Tuliambiwa msafara unaenda kuitikisa gogo l mboto jana lakini mpaka sasa hatujaona hata picha ya kutikisa hata bua
wenzako wapo hapa na kitamasha uchwara wanatukusanya watu kwenda kumwona MKOMBOZI
 
Hiyo ndo Arusha watu wanamiminika kama sisimizi katika viwanja vya NMC Relini na wengine wameenda kumlaki Mkombozi Mwanasheria Nguli Barani Afrika TL huko KIA
lile tamasha uchwara watu wamelipuuza wanasema ni mambo ya kitoto kwanini waliandae leo? Wanasema hawana shida ya kuwatazama wasanii shida yao ni matatizo ya maisha yanayowakabili kama uchumi, ajira nk

Picha zinakuja stay tuned hapahapa
Uvccm acheni maigizo bavicha
 
Tutashukuru ukitupia picha humu kuhusu mapokezi ya 'mpendwa' wetu na 'mkombozi' wetu...

"Mpendwa na mkombozi wetu" amepanda bombardier halafu akifika NMC kwenye mkutano ataropoka hataki maendeleo ya miundombinu, yeye anataka watu wale pesa tu kwa warsha, mikutano na safari za nje zisizo na umuhimu.
PR wa CDM mmezubaa sana, tupieni picha basi za "Rais" wetu Lissu🤣
 
Hiyo ndo Arusha watu wanamiminika kama sisimizi katika viwanja vya NMC Relini na wengine wameenda kumlaki Mkombozi Mwanasheria Nguli Barani Afrika TL huko KIA
lile tamasha uchwara watu wamelipuuza wanasema ni mambo ya kitoto kwanini waliandae leo? Wanasema hawana shida ya kuwatazama wasanii shida yao ni matatizo ya maisha yanayowakabili kama uchumi, ajira nk

Picha zinakuja stay tuned hapahapa
Sins uhakika kama CCM wanao washauri wa agenda za Wananchi, muziki kweli?Jinsi maisha yalivyokuwa magumu mnatuletea wasanii?Ila haishangazi maana inaonekana hata CCM Mpya ni ya kisanii sanii zaidi kulikoni uhalisia wa maisha ya watu.
Hii ni dharau kwa wananchi.
 
Tuliambiwa msafara unaenda kuitikisa gogo l mboto jana lakini mpaka sasa hatujaona hata picha ya kutikisa hata bua

Aliamua kwenda Kkoo kutafuta picha ya kuwatumia mabeberu, maana za kwenye mikutano zimebuma hadi saivi 🤣 🤣
 
"Mpendwa na mkombozi wetu" amepanda bombardier halafu akifika NMC kwenye mkutano ataropoka hataki maendeleo ya miundombinu, yeye anataka watu wale pesa tu kwa warsha, mikutano na safari za nje zisizo na umuhimu.
PR wa CDM mmezubaa sana, tupieni picha basi za "Rais" wetu Lissu[emoji1787]
Bombardier ndo ndege ya kwanza kuwepo Tz? Kwani kabla ya Bombardier hakukua na ndege?
 
Tatizo mnaleta thread kwa mbwembwe baadaye. Mnaumbuka kwa muitikio hafifu..
Atleast ungesapoti uzi wako kwa hao watu wanapenda kwenye huo uwanja
Sisi hatubebi watu kwenye mafuso ,ma bus,wala hatufanyi matamasha ya wasanii mtu anatembea kwa mguu wake analipa nauli yake kiroho safi kwenda kusikiliza sera kama wakina diamond tunawaona kila siku wajinga ndio waliwaooo
 
Sisi hatubebi watu kwenye mafuso ,ma bus,wala hatufanyi matamasha ya wasanii mtu anatembea kwa mguu wake analipa nauli yake kiroho safi kwenda kusikiliza sera kama wakina diamond tunawaona kila siku wajinga ndio waliwaooo

Kamanda Lissu ameshaingia KIA kwa kutumia bombardier yetu, tujipange barabarani atakuwa anapita na mabakuli.
 
Sisi hatubebi watu kwenye mafuso ,ma bus,wala hatufanyi matamasha ya wasanii mtu anatembea kwa mguu wake analipa nauli yake kiroho safi kwenda kusikiliza sera kama wakina diamond tunawaona kila siku wajinga ndio waliwaooo
swaa dakta MKUU
 
Back
Top Bottom