π π ππππAliamua kwenda Kkoo kutafuta picha ya kuwatumia mabeberu, maana za kwenye mikutano zimebuma hadi saivi π€£ π€£
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
π π ππππAliamua kwenda Kkoo kutafuta picha ya kuwatumia mabeberu, maana za kwenye mikutano zimebuma hadi saivi π€£ π€£
Symptoms of inferiority complexKamanda wewe mzungu kama Amsterdam wa Lissu nini ?
Au na wewe una damu ya Kenya na Belgium π€£ ?
Tupia picha basi za mabakuli ya Segerea kamanda.
Unawezaje sema Bomberdier ya JPM wakati ni kodi zenu ndio zimenunua? Amenunua kwa mshahara wake? Hizo ni ndege za watanzania wote.Unamaanisha kamanda Lissu kapanda ndege πππ ????
Si anatuambia ndege za JPM na miundombinu haina msaada, iwaje tena awe wa kwanza kuitumia ?[emoji1787]
Kamanda tuma picha Lissu akiwa ndani ya bombardier ya JPM.[emoji1787]
HABARI KAMA HII BILA PICHA SIO HABARI.Hiyo ndo Arusha watu wanamiminika kama sisimizi katika viwanja vya NMC Relini na wengine wameenda kumlaki Mkombozi Mwanasheria Nguli Barani Afrika TL huko KIA
lile tamasha uchwara watu wamelipuuza wanasema ni mambo ya kitoto kwanini waliandae leo? Wanasema hawana shida ya kuwatazama wasanii shida yao ni matatizo ya maisha yanayowakabili kama uchumi, ajira nk
Picha zinakuja stay tuned hapahapa
Symptoms of inferiority complex
Mafuriko kuanzia USARIVER watu wamejipanga barabarani MKOMBOZI anakuja weeLissu ana kimavi.. Sikuhizi wanapiga picha cameraman akiwa amechuchumaa.. Zile za drone hawapigi tena πππ
Vp shw ya zuchu na rayvany jna iliendajeMsisahau kutuwekea link makamanda tuone nyomi yenu [emoji16] ...
Wapiga picha wanalalamika mnawalazimisha kuchuchumaa wakitaka kupiga picha za mikutano yenu[emoji1787]
Unawezaje sema Bomberdier ya JPM wakati ni kodi zenu ndio zimenunua? Amenunua kwa mshahara wake? Hizo ni ndege za watanzania wote.
Na habari kama hii bila picha sio habariLissu ana kimavi.. Sikuhizi wanapiga picha cameraman akiwa amechuchumaa.. Zile za drone hawapigi tena [emoji23][emoji23][emoji23]
weka picha weweMafuriko kuanzia USARIVER watu wamejipanga barabarani MKOMBOZI anakuja wee
Naona unahangaika kweli leo! Ile thread yako nyingine umeikimbia umeanzisha nyingine tena? Mods unganisha hizi mada uchwara.Hiyo ndo Arusha watu wanamiminika kama sisimizi katika viwanja vya NMC Relini na wengine wameenda kumlaki Mkombozi Mwanasheria Nguli Barani Afrika TL huko KIA
lile tamasha uchwara watu wamelipuuza wanasema ni mambo ya kitoto kwanini waliandae leo? Wanasema hawana shida ya kuwatazama wasanii shida yao ni matatizo ya maisha yanayowakabili kama uchumi, ajira nk
Picha zinakuja stay tuned hapahapa
Watoroke hata siku ya kupiga kura si kuangalia kampeni tu, maana mwusho wa siku wao ndo watakuwa wanashangilia ushindi upande wa pili.Hii ndio habari inayosambaa kwa kasi Arusha kwa sasa, baadhi ya watu wanaotafuta huduma kwenye maofisi mbalimbali wamelalamika kukosa huduma baada ya maofisa kufika na kusaini kisha kutoroka ili kuwahi Mkutano Mkubwa sana wa Kampeni wa Rais Mtarajiwa Lissu.
Endelea kufuatilia hapa hapa JF kwa habari zaidi
HABARI KAMA HII BILA PICHA SIO HABARI.
Au mmeminya uhuru wa wapiga picha????
Picha zipo studio for editing si unajua picha za Segerea bado hazijatoka!!!weka picha wewe
JIPENDEKEZE TU TUNAKUPA DKK 15Unamaanisha kamanda Lissu kapanda ndege πππ ????
Si anatuambia ndege za JPM na miundombinu haina msaada, iwaje tena awe wa kwanza kuitumia ?π€£
Kamanda tuma picha Lissu akiwa ndani ya bombardier ya JPM.π€£
Vp shw ya zuchu na rayvany jna iliendaje
Ova