Uchaguzi 2020 Kampeni zashika kasi, kishindo cha Tundu Lissu chatikisa Arusha. Shughuli zasimama, wafanyakazi watoroka makazini

Uchaguzi 2020 Kampeni zashika kasi, kishindo cha Tundu Lissu chatikisa Arusha. Shughuli zasimama, wafanyakazi watoroka makazini

Hiyo ndo Arusha watu wanamiminika kama sisimizi katika viwanja vya NMC Relini na wengine wameenda kumlaki Mkombozi Mwanasheria Nguli Barani Afrika TL huko KIA
lile tamasha uchwara watu wamelipuuza wanasema ni mambo ya kitoto kwanini waliandae leo? Wanasema hawana shida ya kuwatazama wasanii shida yao ni matatizo ya maisha yanayowakabili kama uchumi, ajira nk

Picha zinakuja stay tuned hapahapa

Tupe tupe mambo kamanda, usisahau kutupa picha hasa hasa za mabakuli, machalii wa Chuga wakiwa wanaibiwa mchana kweupe 🤣
 
Hiyo ndo Arusha watu wanamiminika kama sisimizi katika viwanja vya NMC Relini na wengine wameenda kumlaki Mkombozi Mwanasheria Nguli Barani Afrika TL huko KIA
lile tamasha uchwara watu wamelipuuza wanasema ni mambo ya kitoto kwanini waliandae leo? Wanasema hawana shida ya kuwatazama wasanii shida yao ni matatizo ya maisha yanayowakabili kama uchumi, ajira nk

Picha zinakuja stay tuned hapahapa
Picha zinakuja kutoka wapi bwashee?!
 
Tatizo mnaleta thread kwa mbwembwe baadaye. Mnaumbuka kwa muitikio hafifu..
Atleast ungesapoti uzi wako kwa hao watu wanapenda kwenye huo uwanja
Fuatilia nyuzi zinazotoka Arusha leo hapahapa kuna chama kinaTUMIWA UJUMBE
 
Hiyo ndo Arusha watu wanamiminika kama sisimizi katika viwanja vya NMC Relini na wengine wameenda kumlaki Mkombozi Mwanasheria Nguli Barani Afrika TL huko KIA
lile tamasha uchwara watu wamelipuuza wanasema ni mambo ya kitoto kwanini waliandae leo? Wanasema hawana shida ya kuwatazama wasanii shida yao ni matatizo ya maisha yanayowakabili kama uchumi, ajira nk

Picha zinakuja stay tuned hapahapa
Kama kuna Tamasha limeandaliwa hii hujuma kwa CCM maana wamewakusanya watu ili LISSU akifika iwe rahisi kwao kukimnilia kwenye tukio.

Waliofanya hivi wachunguzwe.
 
Nyuzi za kujifariji tushazizowea,ila ukweli wa.mambo watanzania tunaujua.
 
Kama kuna Tamasha limeandaliwa hii hujuma kwa CCM maana wamewakusanya watu ili LISSU akifika iwe rahisi kwao kukimnilia kwenye tukio.

Waliofanya hivi wachunguzwe.
Ukishaingia uwanjani amna kutoka
 
Hiyo ndo Arusha watu wanamiminika kama sisimizi katika viwanja vya NMC Relini na wengine wameenda kumlaki Mkombozi Mwanasheria Nguli Barani Afrika TL huko KIA
lile tamasha uchwara watu wamelipuuza wanasema ni mambo ya kitoto kwanini waliandae leo? Wanasema hawana shida ya kuwatazama wasanii shida yao ni matatizo ya maisha yanayowakabili kama uchumi, ajira nk

Picha zinakuja stay tuned hapahapa

Unamaanisha kamanda Lissu kapanda ndege 🙄🙄🙄 ????
Si anatuambia ndege za JPM na miundombinu haina msaada, iwaje tena awe wa kwanza kuitumia ?🤣
Kamanda tuma picha Lissu akiwa ndani ya bombardier ya JPM.🤣
 
Chadema wanadhani mkusanyiko ndio Kura haya mpk sasa mnakura ngapi?
 
Unamaanisha kamanda Lissu kapanda ndege 🙄🙄🙄 ????
Si anatuambia ndege za JPM na miundombinu haina msaada, iwaje tena awe wa kwanza kuitumia ?🤣
Kamanda tuma picha Lissu akiwa ndani ya bombardier ya JPM.🤣
Chopa
 
Hiyo ndo Arusha watu wanamiminika kama sisimizi katika viwanja vya NMC Relini na wengine wameenda kumlaki Mkombozi Mwanasheria Nguli Barani Afrika TL huko KIA
lile tamasha uchwara watu wamelipuuza wanasema ni mambo ya kitoto kwanini waliandae leo? Wanasema hawana shida ya kuwatazama wasanii shida yao ni matatizo ya maisha yanayowakabili kama uchumi, ajira nk

Picha zinakuja stay tuned hapahapa
Mpaka muwakusanye wakae pamoja kisha mrushe?
Onyesha hata hao kidogo wanao miminika?
 
Hiyo ndo Arusha watu wanamiminika kama sisimizi katika viwanja vya NMC Relini na wengine wameenda kumlaki Mkombozi Mwanasheria Nguli Barani Afrika TL huko KIA
lile tamasha uchwara watu wamelipuuza wanasema ni mambo ya kitoto kwanini waliandae leo? Wanasema hawana shida ya kuwatazama wasanii shida yao ni matatizo ya maisha yanayowakabili kama uchumi, ajira nk

Picha zinakuja stay tuned hapahapa
Tutashukuru ukitupia picha humu kuhusu mapokezi ya 'mpendwa' wetu na 'mkombozi' wetu...
 
Back
Top Bottom