kasulavenance
JF-Expert Member
- Jan 23, 2020
- 759
- 914
Upo Arusha ipi? Mbona tumejaa nyomi kwenye tamasha la bure huku
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hiyo ndo Arusha watu wanamiminika kama sisimizi katika viwanja vya NMC Relini na wengine wameenda kumlaki Mkombozi Mwanasheria Nguli Barani Afrika TL huko KIA
lile tamasha uchwara watu wamelipuuza wanasema ni mambo ya kitoto kwanini waliandae leo? Wanasema hawana shida ya kuwatazama wasanii shida yao ni matatizo ya maisha yanayowakabili kama uchumi, ajira nk
Picha zinakuja stay tuned hapahapa
Picha zinakuja kutoka wapi bwashee?!Hiyo ndo Arusha watu wanamiminika kama sisimizi katika viwanja vya NMC Relini na wengine wameenda kumlaki Mkombozi Mwanasheria Nguli Barani Afrika TL huko KIA
lile tamasha uchwara watu wamelipuuza wanasema ni mambo ya kitoto kwanini waliandae leo? Wanasema hawana shida ya kuwatazama wasanii shida yao ni matatizo ya maisha yanayowakabili kama uchumi, ajira nk
Picha zinakuja stay tuned hapahapa
Fuatilia nyuzi zinazotoka Arusha leo hapahapa kuna chama kinaTUMIWA UJUMBETatizo mnaleta thread kwa mbwembwe baadaye. Mnaumbuka kwa muitikio hafifu..
Atleast ungesapoti uzi wako kwa hao watu wanapenda kwenye huo uwanja
Kama kuna Tamasha limeandaliwa hii hujuma kwa CCM maana wamewakusanya watu ili LISSU akifika iwe rahisi kwao kukimnilia kwenye tukio.Hiyo ndo Arusha watu wanamiminika kama sisimizi katika viwanja vya NMC Relini na wengine wameenda kumlaki Mkombozi Mwanasheria Nguli Barani Afrika TL huko KIA
lile tamasha uchwara watu wamelipuuza wanasema ni mambo ya kitoto kwanini waliandae leo? Wanasema hawana shida ya kuwatazama wasanii shida yao ni matatizo ya maisha yanayowakabili kama uchumi, ajira nk
Picha zinakuja stay tuned hapahapa
Andika kiswahili kinachoeleweka.🤣 🤣 🤣 🤣
Poaa kamanda, tumuambie Lissu afanye mikutano weekend tu kwa kuwa weekdays anadharirika.
NEC hawajamlazimisha mgombea afanye kampeni kila siku kamanda.
Picha za mabakuli Arusha usisahau kutuma jioni.
Ukishaingia uwanjani amna kutokaKama kuna Tamasha limeandaliwa hii hujuma kwa CCM maana wamewakusanya watu ili LISSU akifika iwe rahisi kwao kukimnilia kwenye tukio.
Waliofanya hivi wachunguzwe.
Hiyo ndo Arusha watu wanamiminika kama sisimizi katika viwanja vya NMC Relini na wengine wameenda kumlaki Mkombozi Mwanasheria Nguli Barani Afrika TL huko KIA
lile tamasha uchwara watu wamelipuuza wanasema ni mambo ya kitoto kwanini waliandae leo? Wanasema hawana shida ya kuwatazama wasanii shida yao ni matatizo ya maisha yanayowakabili kama uchumi, ajira nk
Picha zinakuja stay tuned hapahapa
tulia bwashee wenzako wanatapatapa na katamasha kao kuna Sunami inatokea KIA inakuja KUFAGIAPicha zinakuja kutoka wapi bwashee?!
Ule Msafara wa LISSU utapita hapo ukielekea NMC RELINI labda wawafunge kambaUkishaingia uwanjani amna kutoka
ChopaUnamaanisha kamanda Lissu kapanda ndege 🙄🙄🙄 ????
Si anatuambia ndege za JPM na miundombinu haina msaada, iwaje tena awe wa kwanza kuitumia ?🤣
Kamanda tuma picha Lissu akiwa ndani ya bombardier ya JPM.🤣
Waulize wenye nazo watakwambia..!Kazi za huyo meko zina nini?
Wewe 'snitch' mbona unahangaika sana? Link link nenda TBfisiem katafute hiyo link .
Wanaume tunakuchora tu.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Ule Msafara wa LISSU utapita hapo ukielekea NMC RELINI labda wawafunge kamba
Andika kiswahili kinachoeleweka.
Mpaka muwakusanye wakae pamoja kisha mrushe?Hiyo ndo Arusha watu wanamiminika kama sisimizi katika viwanja vya NMC Relini na wengine wameenda kumlaki Mkombozi Mwanasheria Nguli Barani Afrika TL huko KIA
lile tamasha uchwara watu wamelipuuza wanasema ni mambo ya kitoto kwanini waliandae leo? Wanasema hawana shida ya kuwatazama wasanii shida yao ni matatizo ya maisha yanayowakabili kama uchumi, ajira nk
Picha zinakuja stay tuned hapahapa
Tutashukuru ukitupia picha humu kuhusu mapokezi ya 'mpendwa' wetu na 'mkombozi' wetu...Hiyo ndo Arusha watu wanamiminika kama sisimizi katika viwanja vya NMC Relini na wengine wameenda kumlaki Mkombozi Mwanasheria Nguli Barani Afrika TL huko KIA
lile tamasha uchwara watu wamelipuuza wanasema ni mambo ya kitoto kwanini waliandae leo? Wanasema hawana shida ya kuwatazama wasanii shida yao ni matatizo ya maisha yanayowakabili kama uchumi, ajira nk
Picha zinakuja stay tuned hapahapa
Chopa