Uchaguzi 2020 Kampeni zashika kasi, kishindo cha Tundu Lissu chatikisa Arusha. Shughuli zasimama, wafanyakazi watoroka makazini

Uchaguzi 2020 Kampeni zashika kasi, kishindo cha Tundu Lissu chatikisa Arusha. Shughuli zasimama, wafanyakazi watoroka makazini

Maboya wamebaki kukusanya watoto na leo wamekodi WAKONGO KUKATA MAUNO
Ndio sababu tuna hela za kuwalipa, ata wewe ukitaka kukata poa tu tutakulipa sio unamkatikia yuke dosti wako kila siku.
 
Nashukuru tusi limekufikia na limekuuma ndo maana umehamisha goli kwa kutonitusi me direct ! unajua ukiwa na akili za ngamia ndo ukomo wa kufikiri unapoishia /// ungekuwa ndungu yangu ningekubadilisha na gunia la ufuta
Ningekuwa na uwezo, ningeruhusu lizaliwe creti la soda au bia watu wanywe wafurahi, kuliko wewe tutusa.Wewe unapowaita wenzako mbweha bila hata kuwajua,hujui kuwa unaweza kuwa unatusi hata mtu mkubwa sawa na babaako au mamaako.? Au ndo ulimbukeni wa mitandaon , na kumiliki smartphone ukubwani ndo kinakusumbua🤔? Ndomaana nimeamua kulihamisha Hilo tusi lako kwa mzazi wako wa kike,ili ujisikie raha...!
 
Utoroke kazi inayokuweka mjini

This is insane, nadhani mboga yako umeweka chumvi nyingi kupindukia

hakuna mpumbavu anayeweza kufanya upumbavu huo.

Anyway wana wa arusha wanategemea kusikia sera zitakazobadilisha maisha yao na uchumi wao na mkoa mzima,
 
Haya hebu niondolee usiku hapa
Ningekuwa na uwezo, ningeruhusu lizaliwe creti la soda au bia watu wanywe wafurahi, kuliko wewe tutusa.Wewe unapowaita wenzako mbweha bila hata kuwajua,hujui kuwa unaweza kuwa unatusi hata mtu mkubwa sawa na babaako au mamaako.? Au ndo ulimbukeni wa mitandaon , na kumiliki smartphone ukubwani ndo kinakusumbua[emoji848]? Ndomaana nimeamua kulihamisha Hilo tusi lako kwa mzazi wako wa kike,ili ujisikie raha...!
 
Tinaomba tu picha za kwenye drone ........huku daslama mlitubania
 
Chadema inaonekana kama kagenge flan ka wahalifu , waendelee Tu kumpa pressure JPM ili atambue wajibu wa kuwa kiongozi wa juu wa nchi cse still mwamba ni far better, ila kumpa uraisi TL itakuwa mistake ya Karne and should fill it with a terrible resolve
Ni mawazo yako hayo.
 
Kwa hiyo kamanda unagombania ubunge na darasa la saba wa CCM, ila Dr Mwakyembe ana dharau sana 🤣 .
Interesting part ni huyo darasa la saba anaenda kudondosha vichwa vingine Kyela, billionea Erythrocyte anaenda kula za uso za la saba B.
Toa mchango wa mabakuli billionea Erythrocyte 🤣🤣🤣🤣🤣
Mwakyembe amevuna alichopanda
 
Mm nafatilia mauno n misambwanda tu ya wacheza show wa bongo fleva, na kuangalia mipja ya Wasani bongo movie tu mambo ya segerea hkna burdan mzee

Ova

Nimekukubali kiongozi 🤣
Kwa kuwa CDM tulikuwa tukiwaambia chochote wanatukejeli, sasa ni muda wa mimi pia kulipiza kisasi, nitawazodea na kuwa kejeli maana CDM iliamini yenyewe ni malaika, haitakiwi kushauriwa au kuambiwa chochote.
 
Taarifa zinaonyesha kwamba umedharauliwa nabkila mwana jf , na hivi nikimaliza kuandika hapa nakuweka kwenye ignore list , ni aibu sana kuchangia jukwaa moja na wewe .
Na kila mwana JF? Ha ha ha haaaaaaaa. Unachekeshaaaaaaaaaaaa
 
Back
Top Bottom