Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
MtoroDC wa meru naona akielekea maeneo ya viwanja vya relini arusha,,Ni mwalikwa au katoroka kazini?
Bendela zinapepea CHADEMA USIPIMEKumekucha A-town
Barabara imechangamka
wamejifichaUzi upo mchaka mchaka kama vile mkutano umeanza...
CCM leo wapi , tupate update za huko?
Au Polepole leo ndiyo anatoa ratiba za kampeni.
Bora leo hamjatumia ile picha yenye background ya nyomi la Lowasa.Hii ndio habari inayosambaa kwa kasi Arusha kwa sasa, baadhi ya watu wanaotafuta huduma kwenye maofisi mbalimbali wamelalamika kukosa huduma baada ya maofisa kufika na kusaini kisha kutoroka ili kuwahi Mkutano Mkubwa sana wa Kampeni wa Rais Mtarajiwa Lissu.
Endelea kufuatilia hapa hapa JF kwa habari zaidi
Nyomi kuanzia KIA USARIVER TENGERU NGULELO PHILIPS SANAWARI MIANZINI then tunashuka stand KUBWA breki RELINI NMCTupeni updates
Ndio tutapitisha bakuri, unateseka ?Mwisho wasiku kura ndo zitaongea kutoroka si inshu sana, vipi mkuu mtapitisha mabakuli?
mpaka sasa magu kapotezwa kabisa pamoja na wanamuziki wake 200Tundu Lissu ndiyo habari ya mjini
Hatareeempaka sasa magu kapotezwa kabisa pamoja na wanamuziki wake 200
meko kalagabaho watu walishamchoka hawaongezewi mshahara,watu wanamtaka lisuThubutuu 😂😂, labda waliojiajiri, sio kazi za meko.
Those who think TL can be president of TZ, have no brain.Chadema inaonekana kama kagenge flan ka wahalifu , waendelee Tu kumpa pressure JPM ili atambue wajibu wa kuwa kiongozi wa juu wa nchi cse still mwamba ni far better, ila kumpa uraisi TL itakuwa mistake ya Karne and should fill it with a terrible resolve
wacha tu Mkuu kibano 5 years tena NEVAAAisee hata ningekuwa ni mimi mtumishi, lazima ningetoroka kijiweni angalau nikapate neno la faraja na tumaini! Nimemsikiliza mgombea wa CCM majuzi , yaani pamoja malalamiko yote haya ya watumishi wa umma bado anazungumziaga kununua mindege mingine mitano, hapo piga hesabu wewe mwenyewe hivi kweli hapo watumishi wana chao kweli? Kuna daraja jipya au increament hapo? Aisee watumishi zidisheni sala Mungu akafanye wepesi wa ushindi wa Lissu!
South Carolina Columbia + Arusha Tanzania
31 Aug 2020
Arusha
Tundu Lissu amechachamaa, Arusha Mjini Ngome ya Chadema, Ally Bananga Asisitiza!
Source : Swahili villa
hahahah MKUU kweli kabisameko kalagabaho watu walishamchoka hawaongezewi mshahara,watu wanamtaka lisu