Benjamini Netanyahu
JF-Expert Member
- Aug 7, 2014
- 95,871
- 116,627
Sahivi ni balaa tupuHahahahah haha najua kwa sasa tatizo sio JPM, ni reference tuu kuonyesha tofauti, ila hata kama JPM alikuwa na issues zake ambazo sikuwahi kumuelewa lakini ukiangalia vizuri hawa wa sasa ni disaster 100% ingawaje watu wanapumua kutoka udikteta uchwara
Nimepitia kwa haraka haraka Adani ataendesha hiyo gati kupitia TICTS maana ndiye ana mitambo na muajiri mkuu 😃 Karamagi bado anaendelea kulisongesha gurudumu 🔥🔥🔥Hivi hakuna mtanzania mzawa aliyeweza kuchukua na kuwekeza
Kwenye gati hilo
Au sisi wazawa tunachoweza ni kukataa mauno tu 😄 na kufungua mabar
Ova
Akili za kijamaa hizi, zimeshapitwa na wakati.JPM alikataa bandari ya Bagamoyo na in 3 years alizamisha billioni mbili na zaidi ili kuimarisha bandari ya Dar ifanye kazi Kwa uhakika, na ndio maana SGR ilijengwa ili kupiga Cargo zote za Rwanda, Burundi mpaka Congo na Barabara za kusini zikaimalishwa ili mizigo iingie Malawi,Zambia etc bila shida, sasa kazi yote na capital yote imeenda bure, Leo wanakuja kugawana wapumbavu tuu na mikataba yao isiyoeleweka
Sisi wenyewe tunafanya vituko na wizi acha wageni waje watufundishe namna ya kufanya kazi.zamani zile tulijifunza shuleni habari ya njia kuu za uchumi kumilikiwa na wageni.. sasa hii ndio practical stage mkuu..
Nchi ina wapumbavu wengi hii acha hao wageni waje wainyooshe bandari yetu. Ukiona nyuzi nyingi za kuhoji kuhusu muungano jua ni hao hao wapigaji wa TPA wana hasira za kukosa ulaji wa bure kutoka kwenye bandari ya wajinga.Kwa jinsi ambavyo vyoo vya stendi na sokoni havioshwi ni bora viuzwe tu. Sijawahi kuona nchi ya walalamikaji kama Tanzania.
Uvivu nyinyi, uzembe nyinyi, wizi nyinyi, na bado mnataka raslimali zisiuzwe??? HAIWEZEKANI
Sasa hivi mbinu ya kanisani imeshindwa wamekuja na hii ya kisiasa ya kufungua nyuzi kuhusu muungano wa JMT lengo lao ni kumchafua rais anayetokea kizimkazi Zanzibar na yenyewe itashindwa tu.Na waraka wao kuusoma makanisani kila Jumapili sijui wamepoteaje
Halafu utakuta wanagawiana wahuni wa humu humu nchiniKabakiza kugawa Bagamoyo port, SGR na gas; mengine yote keshauza misitu, mabasi, migodi ilyokuwa reserved na bado anakopa.
Huku wanagawa cash cow assets, halafu huko bungeni wanawaza kodi kwa watu maskini.
Only in Tanzania
Sisi tuendele kukata mauno,uumbea udaku,kushabikia simba yanga konde mondi zuchuSisi wenyewe tunafanya vituko na wizi acha wageni waje watufundishe namna ya kufanya kazi.
Jaji wa mahakama kuu anakuwa sehemu ya njama ya kudhulumu wamiliki halali wa viwanja, wacha wageni waje watunyooshe.
Kiwanja cha brother hapa mbezi beach wanamzungusha kumpa hati kumbe wanacheza mchezo wa kutaka kumuibia waziri kaingilia kati hivi sasa michakato ya kumpatia hati inakwenda kwa kasi, acha kabisa nchi iendeshwe na wawekezaji wenye uwezo sisi ni kelele na ushenzi wa kudhulumiana.
sio mtanzania wwSasa hivi mbinu ya kanisani imeshindwa wamekuja na hii ya kisiasa ya kufungua nyuzi kuhusu muungano wa JMT lengo lao ni kumchafua rais anayetokea kizimkazi Zanzibar na yenyewe itashindwa tu.
Wale wa DP World kuchukua Bandari yote wako wapi? 😂😂
abdul mlimtuma USA kwa Mange akafanye nini??????We bwege na hao mapadre wako ndio wadini. Kila Rais akiwa siyo mkatoliki hamtulizi vitako vyenu hivyo. Mlizoea kupitisha mali zenu bure tunawajua vzr, sasa muda wa ujambazi wenu umeisha
Ni suala la muda tu msijione washindiNa waraka wao kuusoma makanisani kila Jumapili sijui wamepoteaje
Hakuna anayechukia wawekezaji, tatizo ni hiyo mikataba yote ni wizi mtupu na haina faida yeyote zaidi ya 10% za wapigaji, pitia mikataba ya ndege mpaka dhahabu ni uchafu mtupu na hasara kubwa kwa TaifaNchi ina wapumbavu wengi hii acha hao wageni waje wainyooshe bandari yetu. Ukiona nyuzi nyingi za kuhoji kuhusu muungano jua ni hao hao wapigaji wa TPA wana hasira za kukosa ulaji wa bure kutoka kwenye bandari ya wajinga.
Nani kapata ulemavu kupinga uwekezaji wa mzungu!?..maana kifo ni hatua kubwa,hiyo ya ulemavu tu natakaunaishi nchi gani dogo,
Kuna watu wameuwawa Kuna watu ni vilema , Kuna watu ni wakimbizi, kwa kupinga uwekezaji unaodai ni wa wazungu,
mtu mwenye akili timamu anapinga uovu bila kuangalia umefanywa na nani? Madhara ya kuwakaribisha wazungu ni sawa na kuwakadrbisha waarabu wote wanyonyaji tu.
Nyie kwenye dini yenu mwarabu akifanya ouvu mnatukuza na kuabudu
Wenye akili timamu hawawezi kutumia uzushi wa wambea kama referenceMngehangaika kumtuma abdul akaongee na Mange?????
Upumbavu mtupu na limkataba lenu la DP
View attachment 3006165
Eeh! Yaani Mange ndo reference yako!! NshakupuuzaNi suala la muda tu msijione washindi
Hata shetani anajua mkataba wa DP haufaiView attachment 3006176