Kampuni ya ICTE kutoka Ufilipino imeshinda tenda kuendesha bandari ya Darbun, SA kwa miaka 25

Kampuni ya ICTE kutoka Ufilipino imeshinda tenda kuendesha bandari ya Darbun, SA kwa miaka 25

Mkataba wa uendeshaji wa bandari kati ya Dp world na TPA bado, hatua hio itakavyofikia muda wa mkataba na mambo mengine yatawekwa humo. Mkataba ulioridhiwa na Bunge unahusu mashirikiano kati ya Dubai na Tanzania.
Usiwe mwongo. Dubai siyo nchi. Hakuna mahusiano kati ya nchi na jimbo la nchi nyingine.

Ujinga utawaondoka lini ninyi watu?
 
Hivi ngozi nyeupe imetuzidi ngozi nyeusi ujanja? Hiyo ufilipino si tulikuwa tunaambiwa ni nchi maskini?

Lakini inavyoonekana, ngozi nyeupe hata ikiwa maskini wa mali, ila akili zao zinafanya kazi vizuri kuliko akili za ngozi nyeusi? Yaani hadi kampuni za South Africa zimeshindwa kuendesha bandari zao?

Sent from my Infinix X612 using JamiiForums mobile app
 
Hivi ngozi nyeupe imetuzidi ngozi nyeusi ujanja? Hiyo ufilipino si tulikuwa tunaambiwa ni nchi maskini?

Lakini inavyoonekana, ngozi nyeupe hata ikiwa maskini wa mali, ila akili zao zinafanya kazi vizuri kuliko akili za ngozi nyeusi? Yaani hadi kampuni za South Africa zimeshindwa kuendesha bandari zao?

Sent from my Infinix X612 using JamiiForums mobile app
Tatizo Waafrika majungu nakubaniana ili waliopo kwenye mfumo wale vizuri hebu jiulize hata kandarasi ndogndogo za barabara zitaa chamsingi iwe rami Tz lazima apewe mchina haya makampuniye yasubili tenda zakujenga vizahanat
 
DP pia waliomba huko Durban walitupwa chini ingawaje DP Dunia walianza kujenga ofisi Durban na Mpumalanga kwa ajili ya port yao ya Nchi kavu kwa bidhaa zinazopelekwa Maputo...

Hiyo Tenda imetangazwa wazi kabisa karibu mwaka imechukua na imeenda kujadiliwa Bungeni na waliangalia vile vipengele ambavyo having faida kwa SA vikatolewa walichokifanya ni kuwa wanapewa Kampuni ya kigeni ili kuboresha kwa miaka 25 ila baada ya hapo watachukua wenyewe hawataingia mikataba na makampuni ya kigeni na pia kuajiri Wazawa wenye Elimu bandari ili wajifunze pindi watakapoachiwa wenyewe...vitu vipo wazi kabisa...
 
Mkataba wa uendeshaji wa bandari kati ya Dp world na TPA bado, hatua hio itakavyofikia muda wa mkataba na mambo mengine yatawekwa humo. Mkataba ulioridhiwa na Bunge unahusu mashirikiano kati ya Dubai na Tanzania.
Kwan dubai ni nchi?
 
Yaani Taifa Tajiri Afrika linabinafsisha Bandari kwa Taifa lingine halafu Wengine ni Masikini kuanzia Akilini ( Ubongoni ) hadi katika Kipato ( Kiuchumi ) wanakataa Kubinafsisha Bandari yao ambayo imekaliwa na Kampuni ya Kifisadi kwa miaka zaidi ya Ishirini, haijawa na Ufanisi wowote na bado tu hadi sasa inawafaidisha Mawakala wa Wapigaji ambao wamejaa Unafiki na Kutwa wanazurula mitaani kama Inzi Kuchochea Watu ( Wananchi ) wake wasio na Uelewa ( Oya Oya ) kutoukubali.

Kwa anayetaka Kuisoma zaidi Taarifa hii ya Afrika Kusini Kubinafsisha Bandari yake kwa Ufilipino asome Gazeti la UHURU la Leo Jumatatu tarehe 24 July, 2023 Ukurasa wa Saba ( 7 )

Hongereni mno na sana Afrika Kusini.
 
Yaani Taifa Tajiri Afrika linabinafsisha Bandari kwa Taifa lingine halafu Wengine ni Masikini kuanzia Akilini ( Ubongoni ) hadi katika Kipato ( Kiuchumi ) wanakataa Kubinafsisha Bandari yao ambayo imekaliwa na Kampuni ya Kifisadi kwa miaka zaidi ya Ishirini, haijawa na Ufanisi wowote na bado tu hadi sasa inawafaidisha Mawakala wa Wapigaji ambao wamejaa Unafiki na Kutwa wanazurula mitaani kama Inzi Kuchochea Watu ( Wananchi ) wake wasio na Uelewa ( Oya Oya ) kutoukubali.

Kwa anayetaka Kuisoma zaidi Taarifa hii ya Afrika Kusini Kubinafsisha Bandari yake kwa Ufilipino asome Gazeti la UHURU la Leo Jumatatu tarehe 24 July, 2023 Ukurasa wa Saba ( 7 )

Hongereni mno na sana Afrika Kusini.
Uhuru wanatengeneza precedent ya kuloby na siye tubinafsishe ya kwetu Kwa kua SA kabinafsisha ya kwake.....

Pathetic
 
Hatari sana
 

Attachments

  • Screenshot_20230723-195242.png
    Screenshot_20230723-195242.png
    108 KB · Views: 2
Je!
1. South Africa wamebinafsisha bandari zao zote mwambao wa bahari na zile ziwa muhimu kwa Ufilipino??

2. Mkataba wao wa ubinafsishaji ni wa milele kama huu wetu??

Watanzania wengi hawapingi uwekezaji ila wanapinga terms za huo mkataba wenyewe.
 
Je!
1. South Africa wamebinafsisha bandari zao zote mwambao wa bahari na zile ziwa muhimu kwa Ufilipino??

2. Mkataba wao wa ubinafsishaji ni wa milele kama huu wetu??

Watanzania wengi hawapingi uwekezaji ila wanapinga terms za huo mkataba wenyewe.
Maswali kuntu sana
 
Ww jamaa sijakuona tu live ila ni ukweli kuwa hata jamii inakuona mtu uliekosa vyote, huna akili, impotent, you are empty dishhh

Hivi umesoma mkataba wa bandari Kati ya dp world na Tanzania au wewe unakabidhi tu bandari bila mkataba

Hata ukienda kutafuna wahaya wenzako pale wanjawafisi Kuna mkataba mnawekeana kuwa bao moja ni buku tatu sasa unafikili Kuna Malaya atakubali kubutuliwa hata bao kumi Kwa buku tatu yako?
 
Back
Top Bottom