Kampuni ya ICTE kutoka Ufilipino imeshinda tenda kuendesha bandari ya Darbun, SA kwa miaka 25

Kampuni ya ICTE kutoka Ufilipino imeshinda tenda kuendesha bandari ya Darbun, SA kwa miaka 25

Fuatilia vitu ambavyo ubongo wako unaweza kuvielewa,issue ya investment ni kubwa sana kwa akili yako kuielewa,hata kukuelewesha ni kazi bure tu.
Unajua mpaka sasa tushalipa mabilioni mangapi kulipia mikataba ya hovyo ya uwekezaji tuliyovunja masharti??
Unajua hadi sasa ni makampuni mangapi yanaishtaki serikali ya Tanzania kwa kuvunja mikataba au makubaliano ya mikataba mbalimbali ya uwekezaji??

Bora watu kukosa akili kuliko kujifikiria una akili kumbe huna na matokeo yake rasimali za taifa zinaangamia.
 
Usituabishe watu wa Kanda ya ziwa.

Sisi ndio wananchi pekee Nchii hii tuliojaaliwa kua na Uwezo mkubwa kichwan, ukifuatia mikoa ya Mbeya .


Watanzania hawajakataa uwekezaji.


INSHU NI LI MKATABA ,LIMKATABA LAKIJINGA LILOJAA UJINGA NA UZUMBUKUKU NA USHENZI , YAAN HUWEZI HATA KULIEKEZEA .


MKTABA UKIREKEBISHWA UKAWA NI WIN-WIN BUSINESS,. SISI HATUNA NENO !!.
 
Yaani Taifa Tajiri Afrika linabinafsisha Bandari kwa Taifa lingine halafu Wengine ni Masikini kuanzia Akilini ( Ubongoni ) hadi katika Kipato ( Kiuchumi ) wanakataa Kubinafsisha Bandari yao ambayo imekaliwa na Kampuni ya Kifisadi kwa miaka zaidi ya Ishirini, haijawa na Ufanisi wowote na bado tu hadi sasa inawafaidisha Mawakala wa Wapigaji ambao wamejaa Unafiki na Kutwa wanazurula mitaani kama Inzi Kuchochea Watu ( Wananchi ) wake wasio na Uelewa ( Oya Oya ) kutoukubali.

Kwa anayetaka Kuisoma zaidi Taarifa hii ya Afrika Kusini Kubinafsisha Bandari yake kwa Ufilipino asome Gazeti la UHURU la Leo Jumatatu tarehe 24 July, 2023 Ukurasa wa Saba ( 7 )

Hongereni mno na sana Afrika Kusini.
Leo umeongeq points kunywa soda nakuja lipa
 
Usituabishe watu wa Kanda ya ziwa.

Sisi ndio wananchi pekee Nchii hii tuliojaaliwa kua na Uwezo mkubwa kichwan, ukifuatia mikoa ya Mbeya .


Watanzania hawajakataa uwekezaji.


INSHU NI LI MKATABA ,LIMKATABA LAKIJINGA LILOJAA UJINGA NA UZUMBUKUKU NA USHENZI , YAAN HUWEZI HATA KULIEKEZEA .


MKTABA UKIREKEBISHWA UKAWA NI WIN-WIN BUSINESS,. SISI HATUNA NENO !!.
Watu wa kanda ya ziwa ipi?

Ambao choo tu mmejenga baada ya mrisho mpoto kupita na kampeni ya nyumba ni choo

Si mlikuwa mnajisaidia popote kama bata hizo ndio akili?
 
Unajua mpaka sasa tushalipa mabilioni mangapi kulipia mikataba ya hovyo ya uwekezaji tuliyovunja masharti??
Unajua hadi sasa ni makampuni mangapi yanaishtaki serikali ya Tanzania kwa kuvunja mikataba au makubaliano ya mikataba mbalimbali ya uwekezaji??

Bora watu kukosa akili kuliko kujifikiria una akili kumbe huna na matokeo yake rasimali za taifa zinaangamia.
Rubbish.
 
Unajua mpaka sasa tushalipa mabilioni mangapi kulipia mikataba ya hovyo ya uwekezaji tuliyovunja masharti??
Unajua hadi sasa ni makampuni mangapi yanaishtaki serikali ya Tanzania kwa kuvunja mikataba au makubaliano ya mikataba mbalimbali ya uwekezaji??

Bora watu kukosa akili kuliko kujifikiria una akili kumbe huna na matokeo yake rasimali za taifa zinaangamia.
Hiyo mikataba alivunja nani? Kwanini alivunja kiholela?
 
Ww jamaa sijakuona tu live ila ni ukweli kuwa hata jamii inakuona mtu uliekosa vyote, huna akili, impotent, you are empty dishhh

Hivi umesoma mkataba wa bandari Kati ya dp world na Tanzania au wewe unakabidhi tu bandari bila mkataba

Hata ukienda kutafuna wahaya wenzako pale wanjawafisi Kuna mkataba mnawekeana kuwa bao moja ni buku tatu sasa unafikili Kuna Malaya atakubali kubutuliwa hata bao kumi Kwa buku tatu yako?
Ukijijua tu kabisa kuwa humpendi / hunipendi GENTAMYCINE " hapa JamiiForums na unamchukia hata kutamani Afe na huvutiwi na Taarifa zake pamoja na Uwasilishaji wake wa Kipekee na usioweza Kuigwa na Yeyote yule kutokana na Upumbavu, Wivu na Uwendawazimu wako Uliokutukuka njia rahisi ni Kuachana nae ( nami ) na uendelee Kuwasoma na Kuwafuatilia hao unaowaona ni Bora Kwako na Unawakubali zaidi sawa?

Kitendo cha Kuonyesha Unanichukia na Hunikubali lakini bado tu 24/7 unawashwawashwa Kunifuatilia kama Jibwa Jike lililo katika Heat ( hali ya kutaka Kupandwa na Dume ) unaonyesha kuwa Unanikubali sana na kukubali uwepo wangu Uliotukuka hapa Jamvini.

Nimemaliza.
 
Angekuwa mwingine ningeshangaa sana kwa alichokiandika ila wewe kawaida tu uzwazwa wako unafahamika
Ukijijua tu kabisa kuwa humpendi / hunipendi GENTAMYCINE " hapa JamiiForums na unamchukia hata kutamani Afe na huvutiwi na Taarifa zake pamoja na Uwasilishaji wake wa Kipekee na usioweza Kuigwa na Yeyote yule kutokana na Upumbavu, Wivu na Uwendawazimu wako Uliokutukuka njia rahisi ni Kuachana nae ( nami ) na uendelee Kuwasoma na Kuwafuatilia hao unaowaona ni Bora Kwako na Unawakubali zaidi sawa?

Kitendo cha Kuonyesha Unanichukia na Hunikubali lakini bado tu 24/7 unawashwawashwa Kunifuatilia kama Jibwa Jike lililo katika Heat ( hali ya kutaka Kupandwa na Dume ) unaonyesha kuwa Unanikubali sana na kukubali uwepo wangu Uliotukuka hapa Jamvini.

Nimemaliza.
 
Wao mikataba yao iko wazi.miaka 25 lakini huku kwetu tanzania haijulikani mwisho wa mkataba ni lini
 
Back
Top Bottom