Kampuni ya ICTE kutoka Ufilipino imeshinda tenda kuendesha bandari ya Darbun, SA kwa miaka 25

Fuatilia vitu ambavyo ubongo wako unaweza kuvielewa,issue ya investment ni kubwa sana kwa akili yako kuielewa,hata kukuelewesha ni kazi bure tu.
Unajua mpaka sasa tushalipa mabilioni mangapi kulipia mikataba ya hovyo ya uwekezaji tuliyovunja masharti??
Unajua hadi sasa ni makampuni mangapi yanaishtaki serikali ya Tanzania kwa kuvunja mikataba au makubaliano ya mikataba mbalimbali ya uwekezaji??

Bora watu kukosa akili kuliko kujifikiria una akili kumbe huna na matokeo yake rasimali za taifa zinaangamia.
 
Usituabishe watu wa Kanda ya ziwa.

Sisi ndio wananchi pekee Nchii hii tuliojaaliwa kua na Uwezo mkubwa kichwan, ukifuatia mikoa ya Mbeya .


Watanzania hawajakataa uwekezaji.


INSHU NI LI MKATABA ,LIMKATABA LAKIJINGA LILOJAA UJINGA NA UZUMBUKUKU NA USHENZI , YAAN HUWEZI HATA KULIEKEZEA .


MKTABA UKIREKEBISHWA UKAWA NI WIN-WIN BUSINESS,. SISI HATUNA NENO !!.
 
Leo umeongeq points kunywa soda nakuja lipa
 
Watu wa kanda ya ziwa ipi?

Ambao choo tu mmejenga baada ya mrisho mpoto kupita na kampeni ya nyumba ni choo

Si mlikuwa mnajisaidia popote kama bata hizo ndio akili?
 
Rubbish.
 
Hiyo mikataba alivunja nani? Kwanini alivunja kiholela?
 
Ukijijua tu kabisa kuwa humpendi / hunipendi GENTAMYCINE " hapa JamiiForums na unamchukia hata kutamani Afe na huvutiwi na Taarifa zake pamoja na Uwasilishaji wake wa Kipekee na usioweza Kuigwa na Yeyote yule kutokana na Upumbavu, Wivu na Uwendawazimu wako Uliokutukuka njia rahisi ni Kuachana nae ( nami ) na uendelee Kuwasoma na Kuwafuatilia hao unaowaona ni Bora Kwako na Unawakubali zaidi sawa?

Kitendo cha Kuonyesha Unanichukia na Hunikubali lakini bado tu 24/7 unawashwawashwa Kunifuatilia kama Jibwa Jike lililo katika Heat ( hali ya kutaka Kupandwa na Dume ) unaonyesha kuwa Unanikubali sana na kukubali uwepo wangu Uliotukuka hapa Jamvini.

Nimemaliza.
 
Angekuwa mwingine ningeshangaa sana kwa alichokiandika ila wewe kawaida tu uzwazwa wako unafahamika
Ukijijua tu kabisa kuwa humpendi / hunipendi GENTAMYCINE " hapa JamiiForums na unamchukia hata kutamani Afe na huvutiwi na Taarifa zake pamoja na Uwasilishaji wake wa Kipekee na usioweza Kuigwa na Yeyote yule kutokana na Upumbavu, Wivu na Uwendawazimu wako Uliokutukuka njia rahisi ni Kuachana nae ( nami ) na uendelee Kuwasoma na Kuwafuatilia hao unaowaona ni Bora Kwako na Unawakubali zaidi sawa?

Kitendo cha Kuonyesha Unanichukia na Hunikubali lakini bado tu 24/7 unawashwawashwa Kunifuatilia kama Jibwa Jike lililo katika Heat ( hali ya kutaka Kupandwa na Dume ) unaonyesha kuwa Unanikubali sana na kukubali uwepo wangu Uliotukuka hapa Jamvini.

Nimemaliza.
 
Wao mikataba yao iko wazi.miaka 25 lakini huku kwetu tanzania haijulikani mwisho wa mkataba ni lini
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…