Kampuni ya New Habari yasitisha uchapishaji wa Magazeti yake kufuatia mwenendo mbaya wa biashara


si unaona sasa, hio inaitwa indirect tax, unanunua kiberiti income unatoa wap, lazima ulipe direct tax! umeelewa?
 
Kwani hiyo ilinunuliwa kwa malengo maalumu ishamaliza kazi yake!
 
si unaona sasa, hio inaitwa indirect tax, unanunua kiberiti income unatoa wap, lazima ulipe direct tax! umeelewa?
Wewe Hauku toa option ulisema tu kuwa silipi tax !?? So Hilo sio kosa langu Ni lako

Though me nalipa tax zote jombaa ..viongozi wako wenyewe tu ndio wanafanya ulafi katika mapato ya wananchi
 
sasa jiulize sababu nini? unazalisha magazeti unauza kidogo na kodi kubwa sijui kama utakubali hata wewe unaweza kukimbia na huyo dangote akimbie tu bila ya sababu maalumu?
 
Hivi ndio wenye Habari Leo na Mtanzania sio...
Habari leo ni gazeti la serikali, wako sambamba na Daily NOISE. Mtanzania, Rai, Dimba na Bingwa ni magazeti ya Rostam Azizi.
 
Hiyo ni kampuni inazaliwa kisheria na inakufa kisheria pia.

Ili izaliwe kuna vigezo na masharti na ili ife kuna vigezo na masharti pia

[emoji23] msichoelewa nn sasa
 
Online media imeua sana print media. Huu ni ukweli usioepukika. Duniani kote the situation is the same. Huwezi kuilaumu serikali katika hili, kama una akili timamu of course.
Sasa mtu na akili zake timamu anunuwe gazeti kila siku kusoma ngonjera za Jiwe?

Kwa mfano vile vijarida vya Musiba vya praise and worship vya Tanzanite kama hawapewi ruzuku na serikali utamuuzia nani takataka zile?

Magazeti yatakayosalia ni ya michezo wapenzi wa porojo za Simba na Yanga wataendelea kununuwa.
 
Duh bora nilijitoaga mapema kwenye kazi za uandishi, moja ya gazeti lao niliandika makala yangu ya kwanza ilikuwa ikihusiana na ukuaji wa teknolojia utakavyoathiri biashara ya magazeti,
Kweli muda umeenda na mambo yamedhihiirika.

Maisha ya sahivi ni kwenda na gap tu hamna namna
 
Huyu social network mnamsingizia tu, kwenye nchi zenye demokrasia una subscribe online newspaper na unalipia miezi sita mbele.
Mkuu hapa unaleta siasa. Issue hapa ni teknolojia na mabadiliko ya kizazi. Unasema nchi zenye demokrasia una subscribe online, maana yake unakiri kuwa print media 'haipo tena'. Social medias zimetatua changamoto kubwa tatu za print media i.e uharaka wa kupata habari, uchujaji na gharama. Pili Tanzania sasa median age ni miaka 18. Maana yake wengi wamezaliwa >2000, hawa ni generation Z. Kizazi cha social medias.

Fursa waliyonayo Print Media ni kujibu changamoto za social medias i.e fake news, uchambuzi wa kina, documentaries na story balancing. Ni mwehu tu, ndiye atanunua gazeti saa 2 asubuhi wakati anasoma headline kwenye front page, habari zake zote anazifahamu siku moja kabla. Print media has to supplement social medias.
 
Huyu social network mnamsingizia tu, kwenye nchi zenye demokrasia una subscribe online newspaper na unalipia miezi sita mbele.
Kwa hiyo unishauri kila kitu tuige nchi zilizoendelea sio?
 
hahhaa ushaambiwa biashara imekua ngumu we ushaaanza siasa! vijana mnakwama wap, mbna nokia ilikufa, dunia inabadilika na pesa znakuondoka kila sku we endelea kungangania hicho kiyoyozi apo gorofani
Kiyoyozi cha wapi, yupo kwa mjomba anakula analala hajui hatma ya maisha yake
 
The issue here is the contents of newspapers, are they persuading buyres to buy? If the contents base on prising chama dola, I’m not surprised the business is going down.
 
hahhaa ushaambiwa biashara imekua ngumu we ushaaanza siasa! vijana mnakwama wap, mbna nokia ilikufa, dunia inabadilika na pesa znakuondoka kila sku we endelea kungangania hicho kiyoyozi apo gorofani
Nokia ipi iliyokufa mkuu?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…