Akili huna Kodi silipi ninaishi vipi sasa ilhali ikiwa serikali imeshajiwekea mfumo was kukata Kodi kwa wananchi kwa kila mahitaji ambayo mwananchi huyo atakayo kuwa anajipatia..mfano hata nikinunua kiberiti cha tsh100 dukani au vocha ya 500 tu serikali tayari inakuwa imesha jikatia makato yake ya Kodi so how comes unasema kwamba Kodi silipi !??
Wewe Hauku toa option ulisema tu kuwa silipi tax !?? So Hilo sio kosa langu Ni lakosi unaona sasa, hio inaitwa indirect tax, unanunua kiberiti income unatoa wap, lazima ulipe direct tax! umeelewa?
sasa jiulize sababu nini? unazalisha magazeti unauza kidogo na kodi kubwa sijui kama utakubali hata wewe unaweza kukimbia na huyo dangote akimbie tu bila ya sababu maalumu?Gazeti la nchi gani hili mkuu🤔??
Kama ni tz nini chanzo? Je nini hatima ta mambo haya? Jana Dangote manusura afunge kakiwanda kake ka visiment leo hiki kikampuni☺😐?
Any way mwisho wa siku tutaona nani winner kati ya wanaoiombea shari serikali na sisi wazalendo.
#jr (uvccm - taifa)
Habari leo ni gazeti la serikali, wako sambamba na Daily NOISE. Mtanzania, Rai, Dimba na Bingwa ni magazeti ya Rostam Azizi.Hivi ndio wenye Habari Leo na Mtanzania sio...
Sasa mtu na akili zake timamu anunuwe gazeti kila siku kusoma ngonjera za Jiwe?Online media imeua sana print media. Huu ni ukweli usioepukika. Duniani kote the situation is the same. Huwezi kuilaumu serikali katika hili, kama una akili timamu of course.
Huu ndio uchawi wao uliowamalizaWao kila siku habari zao za kumsifia jiwe sasa nani atanunua gazeti
Kama social media zimeua Magazeti (hardcopy) basi hata Daily News na The Guarden ya Marekani yangekufa.Online media imeua sana print media. Huu ni ukweli usioepukika. Duniani kote the situation is the same. Huwezi kuilaumu serikali katika hili, kama una akili timamu of course.
Mkuu hapa unaleta siasa. Issue hapa ni teknolojia na mabadiliko ya kizazi. Unasema nchi zenye demokrasia una subscribe online, maana yake unakiri kuwa print media 'haipo tena'. Social medias zimetatua changamoto kubwa tatu za print media i.e uharaka wa kupata habari, uchujaji na gharama. Pili Tanzania sasa median age ni miaka 18. Maana yake wengi wamezaliwa >2000, hawa ni generation Z. Kizazi cha social medias.Huyu social network mnamsingizia tu, kwenye nchi zenye demokrasia una subscribe online newspaper na unalipia miezi sita mbele.
Mkuu kuna gazeti la Habari Leo limeorodheshwa hapo?Hivi ndio wenye Habari Leo na Mtanzania sio...
Kwa hiyo unishauri kila kitu tuige nchi zilizoendelea sio?Huyu social network mnamsingizia tu, kwenye nchi zenye demokrasia una subscribe online newspaper na unalipia miezi sita mbele.
Kiyoyozi cha wapi, yupo kwa mjomba anakula analala hajui hatma ya maisha yakehahhaa ushaambiwa biashara imekua ngumu we ushaaanza siasa! vijana mnakwama wap, mbna nokia ilikufa, dunia inabadilika na pesa znakuondoka kila sku we endelea kungangania hicho kiyoyozi apo gorofani
The issue here is the contents of newspapers, are they persuading buyres to buy? If the contents base on prising chama dola, I’m not surprised the business is going down.Mkuu hapa unaleta siasa. Issue hapa ni teknolojia na mabadiliko ya kizazi. Unasema nchi zenye demokrasia una subscribe online, maana yake unakiri kuwa print media 'haipo tena'. Social medias zimetatua changamoto kubwa tatu za print media i.e uharaka wa kupata habari, uchujaji na gharama. Pili Tanzania sasa median age ni miaka 18. Maana yake wengi wamezaliwa >2000, hawa ni generation Z. Kizazi cha social medias.
Fursa waliyonayo Print Media ni kujibu changamoto za social medias i.e fake news, uchambuzi wa kina, documentaries na story balancing. Ni mwehu tu, ndiye atanunua gazeti saa 2 asubuhi wakati anasoma headline kwenye front page, habari zake zote anazifahamu siku moja kabla. Print media has to supplement social medias.
Nokia ipi iliyokufa mkuu?hahhaa ushaambiwa biashara imekua ngumu we ushaaanza siasa! vijana mnakwama wap, mbna nokia ilikufa, dunia inabadilika na pesa znakuondoka kila sku we endelea kungangania hicho kiyoyozi apo gorofani