ngara23
JF-Expert Member
- Aug 31, 2019
- 9,091
- 21,087
Makampuni ya condoms yamelalamikia soko la condoms kudorora
1. Watu wanajikinga vip dhidi ya Ukimwi?
2. Watu wamepunguza kufanya ngono?
3.Dhana ya kuamini mtu anaishi vyema hata akiwa anatumia ARV?
4. Ukimwi wa Sasa umepungua nguvu?
5. Viongozi wa dini wamefanya kazi Yao vyema?
Kwa uzoefu wangu watu wengi wamelalamikia kutokupenda kutumia kondoms kutokana na harufu mbaya
Nadhani kampuni za condoms zione jinsi ya kuziondolea condoms harufu mbaya
Binafsi sutumii condoms napima Kwa macho, nakadiria hapa Ukimwi na UTI hamna nazama hivo hivo
1. Watu wanajikinga vip dhidi ya Ukimwi?
2. Watu wamepunguza kufanya ngono?
3.Dhana ya kuamini mtu anaishi vyema hata akiwa anatumia ARV?
4. Ukimwi wa Sasa umepungua nguvu?
5. Viongozi wa dini wamefanya kazi Yao vyema?
Kwa uzoefu wangu watu wengi wamelalamikia kutokupenda kutumia kondoms kutokana na harufu mbaya
Nadhani kampuni za condoms zione jinsi ya kuziondolea condoms harufu mbaya
Binafsi sutumii condoms napima Kwa macho, nakadiria hapa Ukimwi na UTI hamna nazama hivo hivo