secretarybird
JF-Expert Member
- Aug 22, 2024
- 2,998
- 4,948
Kwani wewe ulijuaje kama Kuna kifo kibaya na kizuri ilihali bado hujafa.Sasa ulijuaje kwamba ukikushika ndo utaona moto wake
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwani wewe ulijuaje kama Kuna kifo kibaya na kizuri ilihali bado hujafa.Sasa ulijuaje kwamba ukikushika ndo utaona moto wake
🤣 Hapana aisee,huyu jamaa nikimwona tu naloa...ametoshaHutaki wapenzi?
Nilikwambia lini kwamba kuna kifo kibaya na kizuriKwani wewe ulijuaje kama Kuna kifo kibaya na kizuri ilihali bado hujafa.
Utakufa vibaya wewe!!!
Hiyo☝️ ni nini? Au mutoto alichezea simu.Nilikwambia lini kwamba kuna kifo kibaya na kizuri
Yeah dogo amezingua sanaHiyo☝️ ni nini? Au mutoto alichezea simu.
Eheheh..mara nying mtu akishaoona mbunye haitemi kila cha harufu cha hovyo kama samaki, wengi hushawishika kutovaa mpira.Makampuni ya condoms yamelalamikia soko la condoms kudorora
1. Watu wanajikinga vip dhidi ya Ukimwi?
2. Watu wamepunguza kufanya ngono?
3.Dhana ya kuamini mtu anaishi vyema hata akiwa anatumia ARV?
4. Ukimwi wa Sasa umepungua nguvu?
5. Viongozi wa dini wamefanya kazi Yao vyema?
Kwa uzoefu wangu watu wengi wamelalamikia kutokupenda kutumia kondoms kutokana na harufu mbaya
Nadhani kampuni za condoms zione jinsi ya kuziondolea condoms harufu mbaya
Binafsi sutumii condoms napima Kwa macho, nakadiria hapa Ukimwi na UTI hamna nazama hivo hivo
Ahahaha, watoto mpaka wanafikisha above 18 watakuwa wamedumaa Kwa maana mizigo wanayobebeshwa hayana mfanoYeah dogo amezingua sana
Kwamba una maana gani?kinyume na maumbile pamoja na lube vimechangia labda
Mizigo ipi hiyoAhahaha, watoto mpaka wanafikisha above 18 watakuwa wamedumaa Kwa maana mizigo wanayobebeshwa hayana mfano
Kuna vipimo fulani vya ukimwi wanavyopima kwa kutumia uteute wa fizi...Biashara ya vilainishi imeshika kasi.
Na mazoea pia.
Kuwasigizia kila kitu.Mizigo ipi hiyo
Hehehe!!!Kuwasigizia kila kitu.
Yaani kila kibaya kafanya mtoto. mbaya sana hiiHehehe!!!
Eeeh namba hazidanganyi....mnanipigaga mawe humu kuwa condom ninkupiga nyeto tuu haya sass mambo yote hadharani watu hawatumii condom.Makampuni ya condoms yamelalamikia soko la condoms kudorora
1. Watu wanajikinga vip dhidi ya Ukimwi?
2. Watu wamepunguza kufanya ngono?
3.Dhana ya kuamini mtu anaishi vyema hata akiwa anatumia ARV?
4. Ukimwi wa Sasa umepungua nguvu?
5. Viongozi wa dini wamefanya kazi Yao vyema?
Kwa uzoefu wangu watu wengi wamelalamikia kutokupenda kutumia kondoms kutokana na harufu mbaya
Nadhani kampuni za condoms zione jinsi ya kuziondolea condoms harufu mbaya
Binafsi sutumii condoms napima Kwa macho, nakadiria hapa Ukimwi na UTI hamna nazama hivo hivo
Hapana mbona nzuri tuYaani kila kibaya kafanya mtoto. mbaya sana hii
Ngoja na mimi niwe na watoto nipate wa kumwangushi jumba bovuHapana mbona nzuri tu
Jiangushie mwenyeweNgoja na mimi niwe na watoto nipate wa kumwangushi jumba bovu