secretarybird
JF-Expert Member
- Aug 22, 2024
- 2,998
- 4,948
Ipo siku utaniaminiYou're the one
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ipo siku utaniaminiYou're the one
OkIpo siku utaniamini
Kwamba vilainishi vinacheza namba ya condomsView attachment 3237173
Jibu la maswali yote manne ni hili hapa pichani
Ile ukkishamwaga mzigo usizubae humo amka haraka fua kwa sana huo mtutu. Itsondoa vijidudu vyote. Take time ya kunawawisha mtutu. Ikibidi chukua sabuni antiseptic mfukoni. Ila lkinga muhimu na ya kuaminika zaidi ni huo mpira. Hata ufanyeje huo mpira harufu haiishi. Patina wako atagundua tu kuwa umetoka kucheza rafu. Nakumbuka tulikuwa tunavaa mbilimbili. Ukimwona aliyeathirika alivyokuwa anateseka hauwazi marambili kutumia kinga.Makampuni ya condoms yamelalamikia soko la condoms kudorora
1. Watu wanajikinga vip dhidi ya Ukimwi?
2. Watu wamepunguza kufanya ngono?
3.Dhana ya kuamini mtu anaishi vyema hata akiwa anatumia ARV?
4. Ukimwi wa Sasa umepungua nguvu?
5. Viongozi wa dini wamefanya kazi Yao vyema?
Kwa uzoefu wangu watu wengi wamelalamikia kutokupenda kutumia kondoms kutokana na harufu mbaya
Nadhani kampuni za condoms zione jinsi ya kuziondolea condoms harufu mbaya
Binafsi sutumii condoms napima Kwa macho, nakadiria hapa Ukimwi na UTI hamna nazama hivo hivo
Nimekuelewa sana mkuuIle ukkishamwaga mzigo usizubae humo amka haraka fua kwa sana huo mtutu. Itsondoa vijidudu vyote. Take time ya kunawawisha mtutu. Ikibidi chukua sabuni antiseptic mfukoni. Ila lkinga muhimu na ya kuaminika zaidi ni huo mpira. Hata ufanyeje huo mpira harufu haiishi. Patina wako atagundua tu kuwa umetoka kucheza rafu. Nakumbuka tulikuwa tunavaa mbilimbili. Ukimwona aliyeathirika alivyokuwa anateseka hauwazi marambili kutumia kinga.
kimazoea CD zinatumika kuzuia mimba, wanaofanya kinyume na maumbile wanafanya kama mbadalaKwamba una maana gani?
Serikali inatangaza ongezeko la wenye HIV na wanajijua tayari wanao kwanini waendelee kula hasara ya kununua kondom??Makampuni ya condoms yamelalamikia soko la condoms kudorora
1. Watu wanajikinga vip dhidi ya Ukimwi?
2. Watu wamepunguza kufanya ngono?
3.Dhana ya kuamini mtu anaishi vyema hata akiwa anatumia ARV?
4. Ukimwi wa Sasa umepungua nguvu?
5. Viongozi wa dini wamefanya kazi Yao vyema?
Kwa uzoefu wangu watu wengi wamelalamikia kutokupenda kutumia kondoms kutokana na harufu mbaya
Nadhani kampuni za condoms zione jinsi ya kuziondolea condoms harufu mbaya
Binafsi sutumii condoms napima Kwa macho, nakadiria hapa Ukimwi na UTI hamna nazama hivo hivo