Kampuni za condoms kutoa taarifa ya kudorora Kwa soko, hii inaniacha na maswali mengi

Kampuni za condoms kutoa taarifa ya kudorora Kwa soko, hii inaniacha na maswali mengi

Makampuni ya condoms yamelalamikia soko la condoms kudorora
1. Watu wanajikinga vip dhidi ya Ukimwi?
2. Watu wamepunguza kufanya ngono?
3.Dhana ya kuamini mtu anaishi vyema hata akiwa anatumia ARV?
4. Ukimwi wa Sasa umepungua nguvu?
5. Viongozi wa dini wamefanya kazi Yao vyema?

Kwa uzoefu wangu watu wengi wamelalamikia kutokupenda kutumia kondoms kutokana na harufu mbaya

Nadhani kampuni za condoms zione jinsi ya kuziondolea condoms harufu mbaya

Binafsi sutumii condoms napima Kwa macho, nakadiria hapa Ukimwi na UTI hamna nazama hivo hivo
Ile ukkishamwaga mzigo usizubae humo amka haraka fua kwa sana huo mtutu. Itsondoa vijidudu vyote. Take time ya kunawawisha mtutu. Ikibidi chukua sabuni antiseptic mfukoni. Ila lkinga muhimu na ya kuaminika zaidi ni huo mpira. Hata ufanyeje huo mpira harufu haiishi. Patina wako atagundua tu kuwa umetoka kucheza rafu. Nakumbuka tulikuwa tunavaa mbilimbili. Ukimwona aliyeathirika alivyokuwa anateseka hauwazi marambili kutumia kinga.
 
Ile ukkishamwaga mzigo usizubae humo amka haraka fua kwa sana huo mtutu. Itsondoa vijidudu vyote. Take time ya kunawawisha mtutu. Ikibidi chukua sabuni antiseptic mfukoni. Ila lkinga muhimu na ya kuaminika zaidi ni huo mpira. Hata ufanyeje huo mpira harufu haiishi. Patina wako atagundua tu kuwa umetoka kucheza rafu. Nakumbuka tulikuwa tunavaa mbilimbili. Ukimwona aliyeathirika alivyokuwa anateseka hauwazi marambili kutumia kinga.
Nimekuelewa sana mkuu
 
Watu wako bize na kulana nyama kwa nyama wakidhani ukimwi ni wakipuuzi
 
Makampuni ya condoms yamelalamikia soko la condoms kudorora
1. Watu wanajikinga vip dhidi ya Ukimwi?
2. Watu wamepunguza kufanya ngono?
3.Dhana ya kuamini mtu anaishi vyema hata akiwa anatumia ARV?
4. Ukimwi wa Sasa umepungua nguvu?
5. Viongozi wa dini wamefanya kazi Yao vyema?

Kwa uzoefu wangu watu wengi wamelalamikia kutokupenda kutumia kondoms kutokana na harufu mbaya

Nadhani kampuni za condoms zione jinsi ya kuziondolea condoms harufu mbaya

Binafsi sutumii condoms napima Kwa macho, nakadiria hapa Ukimwi na UTI hamna nazama hivo hivo
Serikali inatangaza ongezeko la wenye HIV na wanajijua tayari wanao kwanini waendelee kula hasara ya kununua kondom??
Sababu ni ;1. Wazinzi sehemu kubwa tayari you ameungua you anunue za kazi Gani??
2. Watu wamepunguza kujamiana/ kufanya uzinzi
3. Watu wameyumba kiuchumi.

So sababu za kiafya na kiuchumi ndo chanzo
 
Back
Top Bottom