Kamwe usithubutu kutafuta maisha mikoani, utakosa hadi nauli ya kurudi Dar!

Kamwe usithubutu kutafuta maisha mikoani, utakosa hadi nauli ya kurudi Dar!

Bora msema kweli kuliko kuwa mnafiki. Kijana unaye jitafuta usije jaribu kufungasha mizigo kwenda kutafuta maisha huko mikoani, watu wa mikoani ni wabinafsi, roho mbaya, majungu na fitna.

Kijana ukiwa Dar una 85% za kutoboa hapa town, kapuku muuza maji leo mtafute baada muda utamkuta mbali sana, kikubwa creativity na flexibility tu kwenye kazi.

Dar ni hub ya domestic and multilateral companies zote hapa nchini, so fursa yoyote iwe vibarua ajira inaanzia hapa.

Soko la mazao ya wakulima wote wa huko mikoani mwao lipo hapa Dar, infrastructure facilities zote zipo hapa town.

NB: Ukitaka ufubae na uchakae vibaya kajichanganye huko mikoani kwakina Mwakarobo, Mabula Mabele nk, uone utakavyo pigwa vimbola.
Kama mna maisha mazuri Kwa nini mnatelekeza ndugu zenu?
 
..shika adabu yako..! Ina maana sisi wa huku sungangwanda tumepauka? kijana wa hovyo sana ww
 
Kutoboa ni fikra, niko hapa Mbeya kwa sasa, kiasi fulani maisha ni rahisi hasa chakula. Kwa hiyo ukituliza akili unaweza kufikia malengo kirahisi kuliko Dar es salaam.
Mbeya vyakula bei rahisi kweli, tatizo utafutaji wa pesa mbeya mgumu, hasa biashara zimejaa ushirikina, labda kama umeajiriwa, lakini kama umejiajiri kutoboa ni ngumu sana
 
Wat wanaanzia mkoan wanajidunduliza kwa kulima kugunguq bishara za mitaj midog ikikuwa wanakimbilia dar wanatajilika.

Na asilimia kibwa ya ya waliopo kariakoo wanatoka mikoana kwan kuanzia dar moja kwa moja ni kaz kwan mtu anahamia dar pale anakiwa angalau ana million 100 so maisha huanziqamikoan na ukomaa daslam.
 
Wat wanaanzia mkoan wanajidunduliza kwa kulima kugunguq bishara za mitaj midog ikikuwa wanakimbilia dar wanatajilika.

Na asilimia kibwa ya ya waliopo kariakoo wanatoka mikoana kwan kuanzia dar moja kwa moja ni kaz kwan mtu anahamia dar pale anakiwa angalau ana million 100 so maisha huanziqamikoan na ukomaa daslam.
sahihi chief
 
Bora msema kweli kuliko kuwa mnafiki. Kijana unaye jitafuta usije jaribu kufungasha mizigo kwenda kutafuta maisha huko mikoani, watu wa mikoani ni wabinafsi, roho mbaya, majungu na fitna.

Kijana ukiwa Dar una 85% za kutoboa hapa town, kapuku muuza maji leo mtafute baada muda utamkuta mbali sana, kikubwa creativity na flexibility tu kwenye kazi.

Dar ni hub ya domestic and multilateral companies zote hapa nchini, so fursa yoyote iwe vibarua ajira inaanzia hapa.

Soko la mazao ya wakulima wote wa huko mikoani mwao lipo hapa Dar, infrastructure facilities zote zipo hapa town.

NB: Ukitaka ufubae na uchakae vibaya kajichanganye huko mikoani kwakina Mwakarobo, Mabula Mabele nk, uone utakavyo pigwa vimbola.
Akili za hivyo ndio unasababisha waswahili wajazane mbagala kibondemaji,kiburugwa,ulongoni,boko nyakasanga huko wakishindia miguu ya kuku na maji ya viroba huku akili zimedumaa na Kama ni majungu na fitina huko ndio mahala pake
 
Akili za hivyo ndio unasababisha waswahili wajazane mbagala kibondemaji,kiburugwa,ulongoni,boko nyakasanga huko wakishindia miguu ya kuku na maji ya viroba huku akili zimedumaa na Kama ni majungu na fitina huko ndio mahala pake
umenifurahisha boya wewe

vp lakini ,za kiteto mkuu !
 
Hata kimboka na Riverside wadada wanachangamsha uchumi kwa kwenda mbele
huo uchumi si uafiki hata kidogo, naunga mkono mapambano ya mkuu wa mkoa wa dsm -CHALAMILA kupambana na madangulo na wote wanaoshiriki biashara hii chafu na kongwe kwa sababu inapukutisha country work force- aiseeh vijana wataisha kwa HIV/hepatitis

kikubwa wapewe training na mikopo hao madada poa
 
Back
Top Bottom