ChoiceVariable
JF-Expert Member
- May 23, 2017
- 66,537
- 75,687
Stori za kusimuliwa,endelea kuzitunza kwenye diaryUkifika mgeni wanakutest kwanza uwezo wako,limishwa sana mashamba Yao dadekiš¤£
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Stori za kusimuliwa,endelea kuzitunza kwenye diaryUkifika mgeni wanakutest kwanza uwezo wako,limishwa sana mashamba Yao dadekiš¤£
Idadi ya Watu maskini ni wengi sana Dardar inaongoza kwa umasikini?
share takwimu za NBS hapa
Kama mna maisha mazuri Kwa nini mnatelekeza ndugu zenu?Bora msema kweli kuliko kuwa mnafiki. Kijana unaye jitafuta usije jaribu kufungasha mizigo kwenda kutafuta maisha huko mikoani, watu wa mikoani ni wabinafsi, roho mbaya, majungu na fitna.
Kijana ukiwa Dar una 85% za kutoboa hapa town, kapuku muuza maji leo mtafute baada muda utamkuta mbali sana, kikubwa creativity na flexibility tu kwenye kazi.
Dar ni hub ya domestic and multilateral companies zote hapa nchini, so fursa yoyote iwe vibarua ajira inaanzia hapa.
Soko la mazao ya wakulima wote wa huko mikoani mwao lipo hapa Dar, infrastructure facilities zote zipo hapa town.
NB: Ukitaka ufubae na uchakae vibaya kajichanganye huko mikoani kwakina Mwakarobo, Mabula Mabele nk, uone utakavyo pigwa vimbola.
Mbeya vyakula bei rahisi kweli, tatizo utafutaji wa pesa mbeya mgumu, hasa biashara zimejaa ushirikina, labda kama umeajiriwa, lakini kama umejiajiri kutoboa ni ngumu sanaKutoboa ni fikra, niko hapa Mbeya kwa sasa, kiasi fulani maisha ni rahisi hasa chakula. Kwa hiyo ukituliza akili unaweza kufikia malengo kirahisi kuliko Dar es salaam.
sawa mkuu, nagombea u rais miaka ya mbeleni.Wadanganye nyumbu wenzio šš
sahihi chief ,kina mwakarobo, mtawa kupambana nao bila tunguli ngumuMbeya vyakula bei rahisi kweli, tatizo utafutaji wa pesa mbeya mgumu, hasa biashara zimejaa ushirikina, labda kama umeajiriwa, lakini kama umejiajiri kutoboa ni ngumu sana
sahihi chiefWat wanaanzia mkoan wanajidunduliza kwa kulima kugunguq bishara za mitaj midog ikikuwa wanakimbilia dar wanatajilika.
Na asilimia kibwa ya ya waliopo kariakoo wanatoka mikoana kwan kuanzia dar moja kwa moja ni kaz kwan mtu anahamia dar pale anakiwa angalau ana million 100 so maisha huanziqamikoan na ukomaa daslam.
Wewe hapo kijijini kwenu ni billionaire wa nini? Au unajaza choo cha shemeji yako tu hapo Simanjiro?Bilionea Laizer katajirikia kijijini Simanjiro
Watu wanakimbia kijijini wanakufa malofa mjini
Yeye kijijini kaibuka bilionea
Ukiwa na pepo la umaskini hata uende ulaya au Marekani utakufa lofa tu
mwambie atoke huko aliko mufindiWewe hapo kijijini kwenu ni billionaire wa nini? Au unajaza choo cha shemeji yako tu?
Akili za hivyo ndio unasababisha waswahili wajazane mbagala kibondemaji,kiburugwa,ulongoni,boko nyakasanga huko wakishindia miguu ya kuku na maji ya viroba huku akili zimedumaa na Kama ni majungu na fitina huko ndio mahala pakeBora msema kweli kuliko kuwa mnafiki. Kijana unaye jitafuta usije jaribu kufungasha mizigo kwenda kutafuta maisha huko mikoani, watu wa mikoani ni wabinafsi, roho mbaya, majungu na fitna.
Kijana ukiwa Dar una 85% za kutoboa hapa town, kapuku muuza maji leo mtafute baada muda utamkuta mbali sana, kikubwa creativity na flexibility tu kwenye kazi.
Dar ni hub ya domestic and multilateral companies zote hapa nchini, so fursa yoyote iwe vibarua ajira inaanzia hapa.
Soko la mazao ya wakulima wote wa huko mikoani mwao lipo hapa Dar, infrastructure facilities zote zipo hapa town.
NB: Ukitaka ufubae na uchakae vibaya kajichanganye huko mikoani kwakina Mwakarobo, Mabula Mabele nk, uone utakavyo pigwa vimbola.
umenifurahisha boya weweAkili za hivyo ndio unasababisha waswahili wajazane mbagala kibondemaji,kiburugwa,ulongoni,boko nyakasanga huko wakishindia miguu ya kuku na maji ya viroba huku akili zimedumaa na Kama ni majungu na fitina huko ndio mahala pake
sahihi chiefKila mtu na mipango yake na fungu lake unaweza kwenda kutafuta nje ya dar ukafanikiwa pia utafutaji hauna formular
huo uchumi si uafiki hata kidogo, naunga mkono mapambano ya mkuu wa mkoa wa dsm -CHALAMILA kupambana na madangulo na wote wanaoshiriki biashara hii chafu na kongwe kwa sababu inapukutisha country work force- aiseeh vijana wataisha kwa HIV/hepatitisHata kimboka na Riverside wadada wanachangamsha uchumi kwa kwenda mbele
shukrani mkuu ,karibu sana dsmEndelea kukaa Dar mkuu ili siku ninayofika huko uniambie nibebe ata unga sado tu,,mara utasikia nimemiss mihogo kumbe njaa tu na maisha magumu
Wanapeana supportUnafikiri ni kwanini mkuu ,ili wengine wajifunze?