Kanali wa Iran auawa kwa mashambulio ya Pakistan katika ardhi ya Iran

Marekani pamoja kuwa ina mabomu ya nuclear lakini ilipewa kichapo kitakatifu na iran mwaka 2020
Pakistan ni miongoni mwanchi zinazomiliki silaha za nuclear wakati Iran hana hizo silaha. Pakistan sio Iraq hao wapo vizur walishamkung'uta mpaka india
 
sasa wanatuchanganya hawa tusimame na iran au Pakistan anyway both team scores
 
Kijana Iran namba nyengine hata marekani yenyewe inatamani iwe na uhusiano bora na iran ili ifaidike na military tech za IranπŸ˜ƒπŸ˜ƒπŸ˜ƒπŸ˜ƒ
Iran hii hii inayokopi silaha za USA au kuna nyingineπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Biblia inasadiki vyote ni sahihi,kwamba yesu ni Mungu mkuu na ni mwana wa Mungu,na mtume wa Mungu,na wote wapo sahihi.... QUR'AN inasema wakiristo hawana uhakika juu ya Hilo, wanasema waliyosema waliotangulia kabla yao
Yaani Quran hiki kitabu cha juzi tu tena ambacho hakiwezi kujitetea chenyewe ndiyo eti kinasema wakristo hawana uhakika juu Yesu kuwa MunguπŸ€£πŸ˜‚
 
Takbiiiir Jana wazee wa bikra 72 walituaminisha humu kwamba shambulio la Irani ndani ya Pakistan lilikuwa na Baraka zote za serikali ya Pakistan, Kiko wapi sasa!!
Ngoja niwaite

Uharo no 2 uko wapi, Ritz Malaria 2 , bi Faiza mama ake abdallah yasif
 
"Neno aliyetajwa ni Yesu na huyo neno alikuwa mungu mwenyewee. Na huyo yesu ambaye ni Mungu mwenyewe atakuhukumu siku ya mwishoo."
*********************************************
Hiyo πŸ–• imeandikwa wapi..???
 
Kijana Iran namba nyengine hata marekani yenyewe inatamani iwe na uhusiano bora na iran ili ifaidike na military tech za IranπŸ˜ƒπŸ˜ƒπŸ˜ƒπŸ˜ƒ
Mnaambiwa muache bangi hamtaki kusikia sasa unaona hasara yake.😲😲😲😲
 
Kwa hapa Iran inabidi awe mpole asiendelee kuchokozana na Pakstan! Vinginevyo hapa itajikuta inapigwa na Israel na US kutokea Pakstan.
Pakistan huwa imejiandaa kijeshi muda wowote kukabiliana na India, Iran huwa imejiandaa kijeshi muda wowote kupambana na washirika wa NATO kama US, Israel n.k , ipo wazi Iran inakabiliana na adui wenye nguvu, mikakati na ushawishi na hii imemjenga Iran kuwa strong.

Kuhusu nuclear, Iran ina uwezo kutengeneza nuclear ndani ya muda mchache kama kuna threat ya nuclear, pia nuke za Pakistan its not that superior.

Iran inatengeneza silaha kwa wingi nchini mwao tofauti na Pakistan.

Pakistan haiwezi pambana na Iran, nachoona Iran anaweza tumia proxies kuidhoofisha Pakistan kama kawaida yao.
 
Yaani Quran hiki kitabu cha juzi tu tena ambacho hakiwezi kujitetea chenyewe ndiyo eti kinasema wakristo hawana uhakika juu Yesu kuwa MunguπŸ€£πŸ˜‚
Si unaona mnavyogombana,wakatoliki wanasema yesu si Mungu Bali mwana wa Mungu,walokole wanasema yesu Mungu,na wote wako sahihi kwa mujibu wa biblia...siyo wewe,wengi tu wameshindwa kuonesha upogo na mgongano kwenye Qur'an,kitabu Cha mtu hakujua soma Wala kuandika,hakuna mhariri lakini bado hakina makosa
 
Yesu amuhukumu nani yeye mwenyewe alimlilia Mungu wake msalabani!!
 
Upo sawa, naona ni onyo, lakini kwa intelligence ya Iran hivi hawakufahamu kuna consequences zitatokea kwa maana ipo wazi viongozi wa Iran wanaifahamu Pakistan vyema kuliko sisi hapa.

Nachoona Iran inaweza tengeneza proxies , maana kwa hilo wapo vizuri.
 
Yaani wavaa kobazi walichagua kushabikia timu ndumilakuwili, leo wanapigana wenyewe kwa wenyewe

Ila Iran alifikiria nini kupiga kombora Pakistani, πŸ˜… πŸ˜… πŸ˜…
 
Wajnga sana hawa .Mbona siku zote Israel inaua watu wala hawajajibu chochote
Uharaka wa kujibu ni kwa Iran tu na ubabe wa Iran ni kwa Pakistani tu
Pakistani imejibu baada ya kushambuliwa na Iran?
Israeli inahusika Vp?
 
Ukiondoa Nyukilia Pakistan mbele ya Iran ni mwepesi mno Iran inasilaha zenye ubora wa hali ya juu kuliko Pakistan.
 
Hawa Iran walishawahi kulalamika eti Israel inawaibia mawingu ili mvua isinyeshe kwao[emoji23][emoji23][emoji23].
Taifa LA hovyo Sana.
Kwani hujui kwamba nchi za magharibi wamekuwa na technology ya weather modification ya kuweza kusababisha vitu kama mafuriko , ukame nk katika anga au ardhi ya adui ?
Marekani walifanya hivyo Cuba ,Vietnam nk chini ya CIA
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…