Kanali wa Iran auawa kwa mashambulio ya Pakistan katika ardhi ya Iran

Kanali wa Iran auawa kwa mashambulio ya Pakistan katika ardhi ya Iran

Marekani pamoja kuwa ina mabomu ya nuclear lakini ilipewa kichapo kitakatifu na iran mwaka 2020
Pakistan ni miongoni mwanchi zinazomiliki silaha za nuclear wakati Iran hana hizo silaha. Pakistan sio Iraq hao wapo vizur walishamkung'uta mpaka india
 
sasa wanatuchanganya hawa tusimame na iran au Pakistan anyway both team scores
 
Biblia inasadiki vyote ni sahihi,kwamba yesu ni Mungu mkuu na ni mwana wa Mungu,na mtume wa Mungu,na wote wapo sahihi.... QUR'AN inasema wakiristo hawana uhakika juu ya Hilo, wanasema waliyosema waliotangulia kabla yao
Yaani Quran hiki kitabu cha juzi tu tena ambacho hakiwezi kujitetea chenyewe ndiyo eti kinasema wakristo hawana uhakika juu Yesu kuwa Mungu🤣😂
 
Naye neno alivaa mwili akaja kwetu nasi tumeuona utukufu wake. Soma msitari wa kwanza na pili. Neno aliyetajwa ni Yesu na huyo neno alikuwa mungu mwenyewee. Na huyo yesu ambaye ni Mungu mwenyewe atakuhukumu siku ya mwishoo.

Soma isaya 9:6-7 mtoto huyo aliye zaliwa ni mungu mwenyenguvu baba wa milelee.

Karibu kwa yesu uokoke sio kwa yule jamaa aliekua anafanya mapenzi na tumabinti twa miaka tisaa
"Neno aliyetajwa ni Yesu na huyo neno alikuwa mungu mwenyewee. Na huyo yesu ambaye ni Mungu mwenyewe atakuhukumu siku ya mwishoo."
*********************************************
Hiyo 🖕 imeandikwa wapi..???
 
Kijana Iran namba nyengine hata marekani yenyewe inatamani iwe na uhusiano bora na iran ili ifaidike na military tech za Iran😃😃😃😃
Mnaambiwa muache bangi hamtaki kusikia sasa unaona hasara yake.😲😲😲😲
 
Kwa hapa Iran inabidi awe mpole asiendelee kuchokozana na Pakstan! Vinginevyo hapa itajikuta inapigwa na Israel na US kutokea Pakstan.
Pakistan huwa imejiandaa kijeshi muda wowote kukabiliana na India, Iran huwa imejiandaa kijeshi muda wowote kupambana na washirika wa NATO kama US, Israel n.k , ipo wazi Iran inakabiliana na adui wenye nguvu, mikakati na ushawishi na hii imemjenga Iran kuwa strong.

Kuhusu nuclear, Iran ina uwezo kutengeneza nuclear ndani ya muda mchache kama kuna threat ya nuclear, pia nuke za Pakistan its not that superior.

Iran inatengeneza silaha kwa wingi nchini mwao tofauti na Pakistan.

Pakistan haiwezi pambana na Iran, nachoona Iran anaweza tumia proxies kuidhoofisha Pakistan kama kawaida yao.
 
Yaani Quran hiki kitabu cha juzi tu tena ambacho hakiwezi kujitetea chenyewe ndiyo eti kinasema wakristo hawana uhakika juu Yesu kuwa Mungu🤣😂
Si unaona mnavyogombana,wakatoliki wanasema yesu si Mungu Bali mwana wa Mungu,walokole wanasema yesu Mungu,na wote wako sahihi kwa mujibu wa biblia...siyo wewe,wengi tu wameshindwa kuonesha upogo na mgongano kwenye Qur'an,kitabu Cha mtu hakujua soma Wala kuandika,hakuna mhariri lakini bado hakina makosa
 
Bibulia sio kwa ajiri ya wazungu. Wazungu wanamhitaji Yesu. Hata kama kizazi chochote kitamukataa Yesu kijue huku iko pale palee. Kana imani moja tapeli wanamfananisha eti yesu ni nabiii wakawaida na kumuita jina lake kwa watoto wake.yaani wana ole kubwa kwakuwa wamelikataaa jina pekee la Munguu. Nawatahadharisha tuu kwamba kurudi kwake mwana wa adamu kumekaribia na anakuja kuhukumu kila mtu kwa matendo yake. Okokeni mwaminini Yesu sio hao wenginee. Yesu yu mlangoniii.
Yesu amuhukumu nani yeye mwenyewe alimlilia Mungu wake msalabani!!
 
Pakistan ilikuwa lazima ijibu ili kuzuia tukio kama hilo kujirudia siku zijazo kama ambavyo Iran hufanya inavyojisikia kule Syria na Iraq.

Pakistan nae ni regional power maana wana nyuklia alafu ni taifa la kiislamu la Kisuni, hawawezi kukubali kuchezewa na Iran Washia.

T14 Armata
Upo sawa, naona ni onyo, lakini kwa intelligence ya Iran hivi hawakufahamu kuna consequences zitatokea kwa maana ipo wazi viongozi wa Iran wanaifahamu Pakistan vyema kuliko sisi hapa.

Nachoona Iran inaweza tengeneza proxies , maana kwa hilo wapo vizuri.
 
Yaani wavaa kobazi walichagua kushabikia timu ndumilakuwili, leo wanapigana wenyewe kwa wenyewe

Ila Iran alifikiria nini kupiga kombora Pakistani, 😅 😅 😅
 
Wajnga sana hawa .Mbona siku zote Israel inaua watu wala hawajajibu chochote
Uharaka wa kujibu ni kwa Iran tu na ubabe wa Iran ni kwa Pakistani tu
Pakistani imejibu baada ya kushambuliwa na Iran?
Israeli inahusika Vp?
 
Pakistan huwa imejiandaa kijeshi muda wowote kukabiliana na India, Iran huwa imejiandaa kijeshi muda wowote kupambana na washirika wa NATO kama US, Israel n.k , ipo wazi Iran inakabiliana na adui wenye nguvu, mikakati na ushawishi na hii imemjenga Iran kuwa strong.

Kuhusu nuclear, Iran ina uwezo kutengeneza nuclear ndani ya muda mchache kama kuna threat ya nuclear, pia nuke za Pakistan its not that superior.

Iran inatengeneza silaha kwa wingi nchini mwao tofauti na Pakistan.

Pakistan haiwezi pambana na Iran, nachoona Iran anaweza tumia proxies kuidhoofisha Pakistan kama kawaida yao.
Ukiondoa Nyukilia Pakistan mbele ya Iran ni mwepesi mno Iran inasilaha zenye ubora wa hali ya juu kuliko Pakistan.
 
Hawa Iran walishawahi kulalamika eti Israel inawaibia mawingu ili mvua isinyeshe kwao[emoji23][emoji23][emoji23].
Taifa LA hovyo Sana.
Kwani hujui kwamba nchi za magharibi wamekuwa na technology ya weather modification ya kuweza kusababisha vitu kama mafuriko , ukame nk katika anga au ardhi ya adui ?
Marekani walifanya hivyo Cuba ,Vietnam nk chini ya CIA
 
Back
Top Bottom