Kanda ya Ziwa: Tetemeko la Ardhi la ukubwa wa 4.5 kwa vipimo vya Richa latikisa

Poleni...
Sasa kweli nimeamini mtukufu anapendwa na watu humu, wengi wanataka kujua kama tetemeko naye limempitia...😀
Tusihofu ile ni taasisi, na walinzi wapo makini, watalizuia tetemeko kwa KUSALI na KUJIFUKIZA.

Everyday is Saturday................... 😎
 
kanda ya ziwa mnatakiwa kurepent haraka sana
 
Hilo tetemeko japo lilichukua mda mfupi ila ni balaa.

Mimi hapa Mwanza nimelisikia vyema kabisa. Kwakweli huu mwaka kazi tunayo, huku mvua, huku korona mara matetemeko; balaa tupu.
 
as of today, hakuna teknolojia ya kupredikti matetemeko ya ardhi duniani!!!.

ingekuwepo, basi nchi kama Japan ungekuta hawapati madhara kabisa wakati wa matetemeko...ikumbukwe nchi ya Japan hupata matetemeko makubwa ya ardhi mara kwa mara.

Sent using Jamii Forums mobile app
 

Duh had mwasumbwe🤔🤔🤔
 


🤣🤣🤣🤣🤣😙coment yako imenifanya nicheke sana jamani.hahaahaj
 

Aisee mziki wale ulikuwa si mchezo. Labda kwasababu ilikuwa usiku kumetulia. Madirisha na kila kitu ndani vilikuwa vinatingishwa mnooo.
Sasa kama hili ni dogo sijui picha ya kubwa linakuwaje.

Asante kwa maarifa mjomba/shangazi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…