Hata huku
Wakuu sasa hivi watoto wanalia kila nyumba, ni baada ya tetemeko kubwa sana kupita mida hii.
Taarifa zaidi inafuata wakuu
Muda huu kuna tetemeko la ardhi limepita Mwanza. Limedumu kama sekunde 3
as of today, hakuna teknolojia ya kupredikti matetemeko ya ardhi duniani!!!.Wataalamu wetu wanasemaje?
Nimeona watoa mada reference zao ni USGS (United States Geological Survey) tu, je Department ya Geology pale Dodoma (TGS Tanzania Geological Survey) hawakutoa warning kwa wakazi wa Kanda ya Ziwa? Or they didn't see this coming, kama sisi tu.
Jamanii muda si mrefu tumepitiwa na tetemeko la ardhi hapa Ushirombo
Ni tetemeko Dogo limedumu kwa sekunde kadhaa
Tuwaombee wenzetu wa Bukoba/Kagera na Chato.
View attachment 1429569
View attachment 1429570
Nimelishuhudia tetemeko hili muda huo nilioutaja nikiwa Katika Wilaya ya Mbogwe ( Masumbwe) na mpaka muda huu mbwa wanabweka kuashiria tukio hilo.
Kama umelisikia na wewe kutoka popote pale tujaribu kupeana uzoefu.
Kwa majibu wa US Geological Survey tetemeko hili linaonekana kuwa na kiwango cha 4.5 na limeyokea saa 00:07 kilometa 47 kutokea Nyangwale kutoka hapa nilipo.
🤣🤣🤣🤣Naskia hakufai..nyumba zote chiniii..watu wanasufocate kule nyumba nyeupemwanza ndio limepita, sekunde kama 47 hivi.....Aliyepo Chato tunaomba updates!
Poleni...
Sasa kweli nimeamini mtukufu anapendwa na watu humu, wengi wanataka kujua kama tetemeko naye limempitia...😀
Tusihofu ile ni taasisi, na walinzi wapo makini, watalizuia tetemeko kwa KUSALI na KUJIFUKIZA.
Everyday is Saturday................... 😎
Usikute Leo yuko Goma DRC. Kuna kila dalili jamaa yetu pamoja na mikwara mingi, ni mwoga kuliko Harmorapa yule msanii aliyemkimbia Nape kwa 120kphSasa bwana mkubwa kajificha hukooo na tetemeko limemfuata atakimbia??
Tetemeko hili ni tetetemeko jepesi/ light earth quake kutokana na ukubwa wake wa 4.5.
Tetemeko lenye ukubwa wa 4.0 -4.9 kwenye kizio cha ritcher scale hutambuliwa na baadhi ya wataalamu kuwa ni tetemeko jepesi.
Wataalamu wengine wanaona kuwa tetemeko linalozidi kiwango cha 4.5 kuwa tetemeko kubwa.
Usikute Leo yuko Goma DRC. Kuna kila dalili jamaa yetu pamoja na mikwara mingi, ni mwoga kuliko Harmorapa yule msanii aliyemkimbia Nape kwa 120kph
Sent using Jamii Forums mobile app
Hahahaaa......