Bambushka
JF-Expert Member
- Jan 9, 2020
- 3,952
- 7,218
Poleni...
Sasa kweli nimeamini mtukufu anapendwa na watu humu, wengi wanataka kujua kama tetemeko naye limempitia...😀
Tusihofu ile ni taasisi, na walinzi wapo makini, watalizuia tetemeko kwa KUSALI na KUJIFUKIZA.
Everyday is Saturday................... 😎
Sasa kweli nimeamini mtukufu anapendwa na watu humu, wengi wanataka kujua kama tetemeko naye limempitia...😀
Tusihofu ile ni taasisi, na walinzi wapo makini, watalizuia tetemeko kwa KUSALI na KUJIFUKIZA.
Everyday is Saturday................... 😎