Sasa watoto wa utoto mtakatifu itakuaje itakuaje km huko sio sehemu salama kwao itakuaje kwa hawa wengine maana hao ni watatu walioamua kusema je kwa wale wengine wasiofahamika ambao wao hawakuamua kusema chochote itakuaje hapo?
Wamama wavalisheni watoto wenu nguo za kujifunika maungo yao vizuri wanapoenda kanisani la sivyo huu mchezo wa watoto kutafunwa na mapadri hautaisha maana inaonekana masista wameanza kubana bladfaken I am so mad at this, sorry for that but nmejikuta nmekasirika tu why God why?
Unamvalisha mtoto nguo ya kubana matako kisha unampeleka kanisani ukiangalia mtoto ana miaka 12/13 ila umbo lake km ana miaka 23/24 amekua haraka km kuku wa mwendokasi, kavaa nguo za kubanabana mapaja na kuvimbisha matako kisha anajipitishapitisha mbele ya padri kwanini padri asipite nae
Mimi nawaza tu..
Ni mimi ninaewaza tatizo linaanzia nyumbani sio kanisani