Demi
JF-Expert Member
- Nov 22, 2016
- 40,466
- 88,695
Hii napinga sio kweli...kuna mapadri wanavutia kinoma halafu pesa wanayo. Halafu sio wanawake wote ni lazima waliwe kwa kutumia pesa.Tatizo na nyinyi huwa mnapenda watu wenye mkwanja. Huwa mnatutenga sana sisi mapadri na makatekista.
Ona sasa mpaka tunaingia kwenye majaribu makubwa kiasi hiki!
All in all, mahakama itatenda haki kwa pande zote zenye maslahi kwenye hii kesi.
Ila makatekista wengi walugaluga.