Fall Army Worm
JF-Expert Member
- Jan 8, 2015
- 19,355
- 14,408
Pumbafu,Kwani unaenda kumwabudu Mungu au Padri?Halfu utashangaa kesho watajazana kanisani. Ningekuwa nasali pale ningejipa likizo fln ndipo niibuke Tena kanisani
Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
Siwezi juaNa wewe si pisi kali
Haitamsaidia..... ATUBU KWA MUUMBA WAKE na atumikie kifungo chake baaaasTusishangae tukiskia bwana soccer kajipiga kitanzi
Tukienda kanisani hatumfati padri my dear.... Tunamfata MunguHalfu utashangaa kesho watajazana kanisani. Ningekuwa nasali pale ningejipa likizo fln ndipo niibuke Tena kanisani
Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
UnajionajeSiwezi jua
KawaidaUnajionaje
Bora tu akaoe,Sasa kashazoea maisha ya kulelewa na kanisa,life ya kujitegemea ataweeza kweliAstaafu kabisa upadri akaoe mke,ili asiwake tamaa.
Na hiyo michezo ya kulawiti watoto hawajaanza leo, hata humu wapo wengi waliliwa utotoni na hao mabazaziWakisoma hii kina Mlolongo Accumen Mo kahtaan FaizaFoxy adriz na THE BIG SHOW yani full shangwe utadhani wao ni watakatifu.
Ila padri katuangusha sana wagalatia. Yani kobaaz wanavyotucheka sasa
Hao mbona wanaliwa Sana tuHaya mambo acha kuna jamaa anamla sister kabisa wa kanisa kumbe nao wanawaka tamaa.
Wewe pisi kaliKawaida
π π kama umeona hivyo nakubaliWewe pisi kali
Ndio pisi Kali ππ π kama umeona hivyo nakubali
Mungu ila parokia imezingua lzm nitulie nirefesh Kisha nitaendelea na ibada mungu nae anatazama moyo wangu jinsi ilivyo uzunishwa na kanisa litakuwa makini kuchukiwaa taadhari zote vitendo hvyo visiendelee kutokeaaPumbafu,Kwani unaenda kumwabudu Mungu au Padri?
Angekuja kwako ngempimia kimoja ama ndo kumpigisha zunguka??Siwezi jua
Ni kweli ila kesho kausheni kwanza salini manyumbani kwenu then week ijayo muendele na taraibu zenu padri yule kanajis kanisa na waumi wakeTukienda kanisani hatumfati padri my dear.... Tunamfata Mungu
Ningempa. Naanzaje kumnyima mtumishi wa munguAngekuja kwako ngempimia kimoja ama ndo kumpigisha zunguka??