Hii ni zamu yake padri tusubiri kidogo tutayasikia ya viongozi wa dini na madhehebu ya wanao oa, hili ni janga la dunia sheria haziwezi kusaidia tena isipokuwa Mungu mwenyewe aingilie kati kwakweli.
Anamiliki ukuni na "kafara yake kama sadaka kwa Mungu ni kutokuutumia ili asipate starehe tunazopata tulioowa na akivunja hiki kiapo ndo kama hivi aibu kubwa!"
Tukumbuke sifa ya kwanza ya padre ni kuwa RIJALI kweli kweli siyo mtu awe hanithi akimbilie wito huo.