Kumbuka pia population ya Marekani ni zaidi ya watu 332,000,000 (milioni mia tatu thelethini na mbili). Jaribu kuweka uwiano wa waliokufa na population yake, kwa Marekani na kwa TanzaniaMarekani wamekufa watu nusu milioni. Vipi kule nako ukweli ukoje?
Pole sana.nawaza kwa sauti wale watoto wahudumu ambapo nimewahi kuwa si wanapeleka covid 19 nyumbaniKati ya hao Mapdre 25, mmoja Ni kaka yangu baba mmoja mama mmoja. Rest in Peace Our first Born.
Msg zako za Whasap nazisoma Sana naona kama upo hai brother![emoji24][emoji24]
Ni yeye, jee wewe huijui ukweli? Sambaza ufahamu wako wa Covid 19 kwa kila umpendae na yeyote anae paswa kufahamishwa.Jiwe ameshindwa kabisa kuukubali ukweli
Na wewe una mawazo ya kijiwe jiweAiseee sasa Kama Mungu si hirizi kwa nini mapadre na maaskofu katoliki husisitiza watu kumuomba Mungu wakati yeye si hirizi? au kinga au msaada unaoonekana tele wakati wa Mateso yawe ya Corona au vinginevyo? kanisa katoliki matapeli waumini wanaenda jumapili kufanya nini kanisani kila dominika wakati Mungu sio kinga yao na si hirizi? mkatoliki shituka .ina maana lengo watoe sadaka tu na kuondoka wakati huyo Mungu mnayesema mpe sadaka hana msaada kwao wala sio kinga yao?
[emoji3064][emoji3064][emoji3064]poleni kanisa ...poleni watanzania
Polesana ndugu lakini kunawatu humu kwaajili ya buku 7 wakotayali kupinga kilakitu yani kunawakati najifikilia kunawatu ktk nchi hii wanaouwezo wakuishi bila yaubongo kichwaniKati ya hao Mapdre 25, mmoja Ni kaka yangu baba mmoja mama mmoja. Rest in Peace Our first Born.
Msg zako za Whasap nazisoma Sana naona kama upo hai brother![emoji24][emoji24]
Pole sana mkuu.Kati ya hao Mapdre 25, mmoja Ni kaka yangu baba mmoja mama mmoja. Rest in Peace Our first Born.
Msg zako za Whasap nazisoma Sana naona kama upo hai brother![emoji24][emoji24]
Duh! Eeee bhana eee !!
🙏 🙏 🙏 ❣️Ni yeye, jee wewe huijui ukweli? Sambaza ufahamu wako wa Covid 19 kwa kila umpendae na yeyote anae paswa kufahamishwa.
Wanasiasa wote hufanya wanayofaidika nayo na sio Jiwe pekee.
Masista na mapadre hawachanganyiki sana na watu watakuwa Corona wanapeana wenyewe sababu wai huenda sana Roma italia kwa papaaisee
Wewe ushauri wako ni upi mkuu?Marekani wamekufa, Italia wamekufa, wazungu wengi wamekufa na wanaendelea kufa. Hawa ndiyo wataalamu na wanasayansi wa dunia, wanajua kujihami kuliko sisi, na watu makini na wenye maendeleo kuliko sisi. Hawa watu wameweka lockdown lakini korona imewafuata mpaka majumbani, hata viongozi wa nchi zao wamepatwa na huu ugonjwa. Swali ni Je? Nini unaweza kuwa utatuzi? Tusaidiane kutafakari tusiache misimamo ya kisiasa itutawale.
Hao ni pamoja na kwamba walichukua tahadhali,Kumbuka pia population ya Marekani ni zaidi ya watu 332,000,000 (milioni mia tatu thelethini na mbili). Jaribu kuweka uwiano wa waliokufa na population yake, kwa Marekani na kwa Tanzania
Huyo padri atueleze kazi ya sala nini? mtu anasali rozali mpaka anakaribia kuzimia kwa kurudia rudia akisali Salamu Maria anasali nini wakati Mungu sio Hirizi au kinga? si aache ?Mkuu inaelekea una mawazo na fikra finyu sana.Sikuwahi kuwaza kama bado kuna watu wenye sampuli yako duniani 🤣🤣 .Nimemwelewa Nyerere kwann alipiga sana vita ujinga na kuwachukia mno wapumbavu.
Sasa utajuaje vifo ni mara 5 au 10 wakati watawala hawatoi taarifa? Serikali ya US wanawajibika kwa wananchi wao kwa kutoa taarifa sahii-huku kwetu ni siasa tu hata kwenye mambo ya kitaalamHao ni pamoja na kwamba walichukua tahadhali,
Kwa sisi ambao hatukuchua tahadhali tungetegemea sasa hivi vifo viwe mara tano ya hivyo?
... what a saddest moment! Wapumzike kwa amani. Corona ipo; wananchi tuchukue tahadhari tujiepushe na kauli za wanasiasa matapeli! Ukifa umekufa wewe ni simamnzi kwa familia yako huyo anayekudanganya hakuna Corona wala hatakuwa na msaada wowote kwa familia yako in your absence!
Jikinge na uwakinge wengine; jali uhai wako na wa wengine utakuwa umetimiza kwa matendo amri isemayo USIUE.
Muongo wewe !!. Corona uliishinda wapi ?!. Sema watu walijipa matumaini hewa. Achana na wanasiasaKanisa limepoteza Imani hivyo wanavuna walichopanda
Tunasahau hata wimbi la Kwanza hatukulishinda kwa nguvu zetu.
Petro alianza kuzama majini baada ya kupoteza imani