Mapadre25 watawa 60 so tuliambiwa corona Inauwa Wanaume zaidi au hii ya South Africa imegeuza kibao
Poleni sana wale wote mliopoteza Ndugu na jamaa na marafiki
Kwa nini hatujiulizi - iweje mataifa yaliyo kubali baadhi ya raia wake kufanyiwa majaribio ya chanjo za Oxford, ndio mataifa hayo hayo yaliyo kumbwa na aina mpya hatarishi ya ugonjwa wa COVID-21 - hii inaleta picha gani?
Jana nilishangaa sana nilipo wasikia wataalamu wa immunology wa huko Ulaya na Merikani wakisema kwamba variant mpya ina uwezo mkubwa wa kukwepa/by pass kinga ya mwili - hivi inaingia akilini kwamba virusi hivi vime mutate tu ili vikwepe kinga ya mwili au kuna wataalamu wenye ajenda zao za siri ndio wame chezea virus hivi ili viwe more virulent - wanafanya hivo baada ya kuona COVID-19 haiwui Waafrika wengi kama mkewe Bill Gates alivyo tabiria Bara la Afrika kwamba ugonjwa huu ungetuuwa kama nzinge!!
Tukumbuke kwamba mfuko wa Bill Gates na mkewe ndio wanafadhili Big Pharma Companies zinazo zalisha chanjo, wana sayansi wa makampuni hayo wana uwezo mkubwa wa kutekeleza kile mfadhili wao anacho wa-instruct wafanye - moja wapo ikiwa ni kutujia na variant mpya ya virus kama plan "B" wakiwa na lengo la kuzifanya Nchi/Mataifa yapate taharuki mwisho wa siku Serikali zao zilazimike kununua chanjo za Bill Gates fasta maana hazitakuwa na jinsi/lakufanya tuk Afrika zitaingizwa batch ya chanjo zenye malengo ya ku- depopulate gracefully Bara la Afrika kwa kupitia chanjo zao kuingilia mfumo wa uzazi wa akina mama,pia chanjo hizo zitaongezewa/rutubishwa na vichocheo vya kufanya kinga ya mwili ku-over react na allergies za kawaida tu mfano mafua nawbaadhi ya vyakula watu wataanza kudhulika na wengine kufariki kutokana na vifo vyenye utata na haitakuwa rahisi kukumbuka kwamba madhala hayo yanatokana na chanjo tulizo chanjwa miezi/miaka iliyo pita .
Sasa ukweli huu niliyo utaja hapo juu ndio unamfanya Rais wetu JPM akatae kuingiza nchini chanjo zenye utata mkubwa, hivi sasa kuna baadhi ya Watanzania wana mbeza beza kutokana na aidha na uelewa wao mdogo kuhusu kinga ya mwili inavyo fanya kazi inapo pata boost kupitia chanjo,na bila shaka anajua utofauti wa chanjo zinazo zalishwa kupitia conventional method ya kutumia attenuated virus,pia anajuwa vile vile mbinu za hivi karibuni ambazo zinatumia njia ya kijinetiki (mRNA) zinazo tumika na predominantly nchi za magharibi kuzalisha chanjo za corona, ukweli ni kwamba no knows for certain njia hii ya kijinetiki inaweza kusababishi madhala gani ya short na long term kwa wale watakao kubali kuchanjwa kwa chanjo zinazotokana na mRNA - sasa JPM akikataa Watanzania kugeuzwa ma Guinea Ping mnamuona mbaya - JPM hajakataza watu wanao taka kwenda nchi nyingine kudungwa chanjo - nendeni Kenya, Afrika Kusini, Ghana na Ivory Coast mkisha chanjwa tupatie mrejesho baada ya miezi sita/mwaka kupita - mtakuja kukumbuka busara za JPM alipo toa tahadhali kubwa kwa Watanzania kuhusu chanjo hizi zenye utata.
FYI wanajeshi wengi wa huko Merikani wamekataa kuchanjwa chanjo ambazo hazijawahi kufanyiwa tafiti na majaribio ya kutosha, Dunia ikajiridhisha kwamba chanjo hizo ni salama na hazikukimbizwa kuingizwa sokoni na Big Pharma Companies kwa lengo la kupiga hela ndefu wakishirikiana na WHO na Bill Gates na mkewe. Tukubali kwamba JPM ana kalama ya kuona mbali. Hayo ni maoni yangu.