Kanisa Katoliki mnazingua, michango imekuwa kero

Hebu hudhuria kanisani ujionee michango kama utitiri
 
Sasa si bora huku bongo, njooo huku Monrovia uone watu wanavyolazimishwa muchango
 
Umeongea kitemi
 
duuh safi mkuu naona umeamua kujivika mabomu kwa maslahi ya wengi
 
duuh safi mkuu naona umeamua kujivika mabomu kwa maslahi ya wengi
Kosa wanalofanya ni kutozingatia saikolojia,kipato na muda.Wangekuwa wanapopiga harambee isichukuwe muda mrefu na kufanya kama mashindano unachosha akili ya za watu.kuhusu muda wasiambatanishe michango mingi muhimu wakati mmoja.mf kama kuna michango ya ujenzi wa parokia wasimame na hili hadi liishe ndipo waanze lingine.Ila zaka ni wajibu kila mmoja atalipa kwa wakati wake .kuhusu kipato unakuta michango sawa hata haanagaliwi mgane mwenye hali ngumu walau wangempunguzia huyu.Mwisho kwa nyongeza wafanye sensa ya waumini kwenye jumuiya ili wakinuwa idadi michango iliyoratibiwa vizuri igawanywe kulingana na sensa.Vinginevyo itakuwa watoaji ni wale wale kila siku hatimaye wanakata tamaa.
 
Ofisi zipo Kaka, katoe maoni
 
Mkuu mbona huko afadhari?
Njoo kwenye madhehebu ya kilokole sasa!
Utajuta!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…